johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa.......!Hahahah
Nasubiri cartoon ya Ndugai kesho
Madee aende tu kongwa mana hawana muwakilisha kabisa kule
Sifa ya mbunge ni kujua Kusoma na Kuandika ambazo wasanii wote wanazo!Hivi kugombea nafasi za uwakilishi kama majimboni zinataka umaarufu au elimu pia ni muhimu, discipline, na dedication... Sio kwasababu unajua kuimba tu bas
Hoja yangu nakazia sana hiyo ya kila mtu anataka tu kuchukua fomu za kugombea je inatoka moyoni au umaarufu ndiyo umempeleka, okey ndiyo maana majimbo mengine hayana maendeleo yamkiniSifa ya mbunge ni kujua Kusoma na Kuandika ambazo wasanii wote wanazo!
Kwa upande wa CCM sifa hizo zinatosha sana nani atashindwa kugonga meza, kutukana wapinzani, kuzomea na kusema ndiyooooooo!!!!!?Sifa ya mbunge ni kujua Kusoma na Kuandika ambazo wasanii wote wanazo!
CCM ndiyo inapenda wagombea na mibunge mijinga mijinga kama made, diamond, masterj na yule mmakondeHii nchi inaenda kuwa ya kipumbavu sana yani watu wanavaa hereni, kufuga rasita na kuvaa suluari chini ya makario kama Dogo Janja, Hamornaze, Diamond Wawe Wabunge? huu sasa utoto.
Kuwatumikia wananchi sio lazima uwe maarufu au uwe na pesa au uwe masikini au uwe na elimu kinachotakiwa umeshafanya nini kwa jamii mpaka unataka kuwa mbunge?
Mbona Sugu na Mzee Yusuph wameweza!Hii nchi inaenda kuwa ya kipumbavu sana yani watu wanavaa hereni, kufuga rasita na kuvaa suluari chini ya makario kama Dogo Janja, Hamornaze, Diamond Wawe Wabunge? huu sasa utoto.
Kuwatumikia wananchi sio lazima uwe maarufu au uwe na pesa au uwe masikini au uwe na elimu kinachotakiwa umeshafanya nini kwa jamii mpaka unataka kuwa mbunge?
Maisha yamekuwa magumu mnaenda kutafuta pesa za ubunge me nadhani kipimo cha mtu kupewa ubunge apimwe kwanza ameifanyia nini jamii kwa kipindi kabla ajaingia. Sio wakina Mwana Fa, Dogo Janja Au Madee Kutwa Kucha Wapo Dar Hata shida za Kongwa, Tanga Na Arusha hawazijuwi.
bongo fleva imeshawshinda hawa.Hivi kugombea nafasi za uwakilishi kama majimboni zinataka umaarufu au elimu pia ni muhimu, discipline, na dedication... Sio kwasababu unajua kuimba tu bas
Si waende tu. Kama kweli watapata kitu. Nawashauri waendelee kutafuta wanawake walio vizuri wa kuwalea. Siasa hawaziweziMsanii wa muziki wa kizazi kipya Madee amesema ingawa hajajiandaa kisaikolojia kugombea ubunge lakini marafiki zake wanamshawishi agombee. Madee amesema yeye ameishi sana jimbo la Kongwa linaloongozwa na Ndugai.
Naye Dogo janja amesema yuko tayari kuwatumikia wananchi na kumpongeza Rais Magufuli kwa kazi kubwa aliyoifanya katika miaka 5 ya mwanzo.
Chanzo: Clouds media.
Maendeleo hayana vyama!
Tena akienda Kongwa ajipange haswaa....Ndugai 2015 alileta waganga 3 toka Senegal, jamaa alikuwa akitoka nao uck na kuizunguka Kongwa (Jimbo) yote..Ameandaa tunguli za maana au anaenda kichwa kichwa Ndugayi sio mtu mzuri ajue
Mtoe Mwana Fa kwenye hiyo list unamkosea heshima...havai hereni...haimbi matusi..havai suruali chini ya makalio...ana exposure...amesoma ana masters.Hii nchi inaenda kuwa ya kipumbavu sana yani watu wanavaa hereni, kufuga rasita na kuvaa suluari chini ya makario kama Dogo Janja, Hamornaze, Diamond Wawe Wabunge? huu sasa utoto.
Kuwatumikia wananchi sio lazima uwe maarufu au uwe na pesa au uwe masikini au uwe na elimu kinachotakiwa umeshafanya nini kwa jamii mpaka unataka kuwa mbunge?
Maisha yamekuwa magumu mnaenda kutafuta pesa za ubunge me nadhani kipimo cha mtu kupewa ubunge apimwe kwanza ameifanyia nini jamii kwa kipindi kabla ajaingia. Sio wakina Mwana Fa, Dogo Janja Au Madee Kutwa Kucha Wapo Dar Hata shida za Kongwa, Tanga Na Arusha hawazijuwi.