Nakazia👏🏾Tatizo linaanzia kwa baba kumuanika mtoto mitandaoni, hili ndio linasababisha mambo kuja kuharibika mbele ya safari, kuna wasumbufu wakishamjua mwanao wataanza kumtafuta kwa njia zote mpaka wampate, wakishampata matokeo yake ndio hayo kumvuruga akili matokeo yake anaanza kujipiga picha zisizofaa.
Wasanii wanatakiwa kuwaacha watoto wao low key, wasiwaanike hovyo mitandaoni, hii itasaidia kuwafanya wawe watulivu kiakili na kimaadili, lakiji kutaka kulazimsisha usanii wa baba kwa mtoto, watavuna wanachopanda.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
sio mtoto, watoto wa maste j, sema jamaa hana sana maisha ya mitandaoni, halafu si walikuwa wanakaa na mama yao au?Mbona mtoto wa Master J hajawahi fanya huu ujinga.
Ni kwel kabsa..........nguvu ya ushawishi inaanzia kwenye machoHata mke kumpostpost siyo poa
Unakuta mtu anampost mke wake
Kila muda, alafu utakuta mke Ana chura mguu wa maana
Walafi lazima watataka wapime maji kina hapo
Ova
Mlee mtoto katika njia impasayo, naye hatoiacha hata atakapokuwa Mzee.
Mithali 22:6
Ujumbe wetu Wazazi kutoka kwenye hekima za mfalme suleiman Kitabu cha Mithali
Page gan zipo [emoji41]Kwa picha hizi kwa huku Bongo kazingua, ila binafsi sijaona maajabu.
Sijui kwann mtu unaweza muona mzuri nje, ila ndani anatishaa, sio kwa harage hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa ambao hatujaona mnatusaidiaje tuzione?Hapana mkuu...
Usifike huko, hata kama wewe sio mzazi huenda mbeleni utapata binti.
Huyu nae analeta taarifa nusu nusu kama chizi 😂😂😂😂Jina la page
Wanaume malaya wengi hupewa watoto wa kike washuhu
Hata picha yake mhusika akiwa na mavazi salama watu wamjueBila picha huu uzi ni sawa na umbea
Mnaonea watoto wa manzese tu uswazi njaa kali,mfate mtoto wa Mbowe
Watoto wa kiswazi ndivyo walivyo......nadhangaa mnaosumbua vichwa bureJuzi niliandika Uzi hapa nikisema Mtoto wa kike anakuwaga mzuri sana kwa baba akiwa bado hajavunga ungo ila akisha vunja ungo anakuwa an alien to her daddy.
Watoto wadogo waliniponda lakini watu wazima walikubaliana na nilicho kiandika. Hazijapita hata siku mbili tumeyaona ya mtoto wa Madee. Mtandaoni kuna habari ya mtoto wa Madee kuachia picha za utupu..
Madee my brother usipanic kwa hilo la mtoto wako.
Mtoto wa kike akisha vunja ungo anakuwaga stranger to her dad.
Nasema stranger to her dad kwa sababu wanawake huwaga haiwasumbui sana kwa vile wanajijua.
Ili uendelee kumpenda mtoto wako wa kike alie kwisha vunja ungo usimfuatilie kabisa kujua mambo yake coz the truth is utamchukia sana lakini itakuwa ni kazi bure tu kwa sababu hivyo ndivyo walivyo umbwa and there is nothing you can do about it.
Mtoto wa kike akifika puberty age ndio utaujua umuhimu wa mashangazi.( dada zako)
Kwa alicho kifanya binti wa Madee sidhani kama madee atakuwa tena proud kupiga nae picha mtandaoni..
Ushauri wangu kwa wewe proud dad ambae bado binti yako hajavunja ungo👇
Akisha vunja ungo jiandae kisaikolojia kumpenda hivyo hivyo kama jinsi atakavyo kuwa or else utamchukia bure
mimi kama baba na mlezi nimeguswa sana na hili tukio.Juzi niliandika Uzi hapa nikisema Mtoto wa kike anakuwaga mzuri sana kwa baba akiwa bado hajavunga ungo ila akisha vunja ungo anakuwa an alien to her daddy.
Watoto wadogo waliniponda lakini watu wazima walikubaliana na nilicho kiandika. Hazijapita hata siku mbili tumeyaona ya mtoto wa Madee. Mtandaoni kuna habari ya mtoto wa Madee kuachia picha za utupu..
Madee my brother usipanic kwa hilo la mtoto wako.
Mtoto wa kike akisha vunja ungo anakuwaga stranger to her dad.
Nasema stranger to her dad kwa sababu wanawake huwaga haiwasumbui sana kwa vile wanajijua.
Ili uendelee kumpenda mtoto wako wa kike alie kwisha vunja ungo usimfuatilie kabisa kujua mambo yake coz the truth is utamchukia sana lakini itakuwa ni kazi bure tu kwa sababu hivyo ndivyo walivyo umbwa and there is nothing you can do about it.
Mtoto wa kike akifika puberty age ndio utaujua umuhimu wa mashangazi.( dada zako)
Kwa alicho kifanya binti wa Madee sidhani kama madee atakuwa tena proud kupiga nae picha mtandaoni..
Ushauri wangu kwa wewe proud dad ambae bado binti yako hajavunja ungo[emoji116]
Akisha vunja ungo jiandae kisaikolojia kumpenda hivyo hivyo kama jinsi atakavyo kuwa or else utamchukia bure
huna akili. nyinyi ndio wale mnaobaka watoto wenu.Picha ziko wapi.
Bila ya picha uzi haujakamilika huu.
huna akili. nyinyi ndio wale mnaobaka watoto wenu.Picha ziko wapi.
Bila ya picha uzi haujakamilika huu.
View attachment 2851355
Sura imehifadhiwa kwa sababu za kimaadili (?)
View attachment 2851358
Rais wa Manzese, Madee amekabidhiwa rasmi mwanae wa kike kuishi naye.
Madee akiwa amemfuata mtoto wake shule
Akizungumzana Bongo5 leo, Madee alisema mtoto huyo alikaa kwa mama yake kwakuwa umri wa kukabidhiwa ulikuwa haujafika.
“Unajua yule ni mtoto wangu na sikuwa nae kwa sababu alikuwa hajafika umri wa kukadhiwa ili niweze kukaa naye. Na sheria yetu inasema mpaka miaka 8, mama yake anakaa kwake na mimi nakaa kwangu.
Kwahiyo muda mwingi sana alikuwa na mama yake ila baada ya kutimiza umri kukabidhiwa na kuweza kukaa naye ndo umefika. Sasa hivi nipo naye, nafurahi sana.”
Hii ni taarifa ya mwaka 2015
Haya mambo ni magumu sana. Ila kuna umuhimu wa kuendelea kuwa "Dingi" badala ya kuwa "Dady:Maana ake ni kwamba amezaliwa mwaka 2007 duh
U can c urself from the picture. Madee was a very proud dad kwa sababu dogo alikuwa bado mtoto.
But now amesha onja utamu wa tunda she can never be the same.
Wanakujaga kujirudi wakifikisha miaka 20-25 hivi..
Kwa kashfa hii sidhani kama madee atakuwa proud kupiga picha na mtoto wake.
Halafu unaweza kukuta analiwa na muhuni bodaboda.
Anakuwa amachoresha dingi.
Mtaani watu wanakuwa like " fala wewe unahangaika kutoa mamilioni kusomesha toto lako la kike wahuni tunakula hadi jicho"