saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Angalia huyu mwendawazimu na ukabila wake uchwara. We mpumbavu huu upumbavu wako wa ukabila walijaribu kuufanya watutsi kule Rwanda, hujajifunza we bwege? walikoishia unapakumbuka? Mtu yeyote anayetumia ukabila kujenga hoja ni lofa asiyejiamini. Hiyo ni inferiority complexWale ni wachagga
Nakazia.Haya mambo ni magumu sana. Ila kuna umuhimu wa kuendelea kuwa "Dingi" badala ya kuwa "Dady:
Acha watuite "Daddy" ila upande weyu acha tukamae na kuendelea kuwa "Madingi".
Undugu ukowai?Kwa picha hizi kwa huku Bongo kazingua, ila binafsi sijaona maajabu.
Sijui kwann mtu unaweza muona mzuri nje, ila ndani anatishaa, sio kwa harage hili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
chama gani ndugu?Bado Shetta kile kitoto watakigonga mno hs vizee vya chama
Chama cha Kijani,yupo kwenye chipukizi hukochama gani ndugu?
nidhamu ni jambo muhimuChama cha Kijani,yupo kwenye chipukizi huko
Hakika mkuu umekuwa mtu wa maono na msema kweli daima ni wengi tunaofahamu kipaji chako hikiJuzi niliandika Uzi hapa nikisema Mtoto wa kike anakuwaga mzuri sana kwa baba akiwa bado hajavunga ungo ila akisha vunja ungo anakuwa an alien to her daddy.
Watoto wadogo waliniponda lakini watu wazima walikubaliana na nilicho kiandika. Hazijapita hata siku mbili tumeyaona ya mtoto wa Madee. Mtandaoni kuna habari ya mtoto wa Madee kuachia picha za utupu..
Madee my brother usipanic kwa hilo la mtoto wako.
Mtoto wa kike akisha vunja ungo anakuwaga stranger to her dad.
Nasema stranger to her dad kwa sababu wanawake huwaga haiwasumbui sana kwa vile wanajijua.
Ili uendelee kumpenda mtoto wako wa kike alie kwisha vunja ungo usimfuatilie kabisa kujua mambo yake coz the truth is utamchukia sana lakini itakuwa ni kazi bure tu kwa sababu hivyo ndivyo walivyo umbwa and there is nothing you can do about it.
Mtoto wa kike akifika puberty age ndio utaujua umuhimu wa mashangazi.( dada zako)
Kwa alicho kifanya binti wa Madee sidhani kama madee atakuwa tena proud kupiga nae picha mtandaoni..
Ushauri wangu kwa wewe proud dad ambae bado binti yako hajavunja ungo[emoji116]
Akisha vunja ungo jiandae kisaikolojia kumpenda hivyo hivyo kama jinsi atakavyo kuwa or else utamchukia bure
katika suala la picha hasa wakati wa faragha saa zingine tunajitakiaga tu, kwa kuwa waaminifu wenye mapenzi motomoto yaliyopitiliza kwa wenzi wetu ....Juzi niliandika Uzi hapa nikisema Mtoto wa kike anakuwaga mzuri sana kwa baba akiwa bado hajavunga ungo ila akisha vunja ungo anakuwa an alien to her daddy.
Watoto wadogo waliniponda lakini watu wazima walikubaliana na nilicho kiandika. Hazijapita hata siku mbili tumeyaona ya mtoto wa Madee. Mtandaoni kuna habari ya mtoto wa Madee kuachia picha za utupu..
Madee my brother usipanic kwa hilo la mtoto wako.
Mtoto wa kike akisha vunja ungo anakuwaga stranger to her dad.
Nasema stranger to her dad kwa sababu wanawake huwaga haiwasumbui sana kwa vile wanajijua.
Ili uendelee kumpenda mtoto wako wa kike alie kwisha vunja ungo usimfuatilie kabisa kujua mambo yake coz the truth is utamchukia sana lakini itakuwa ni kazi bure tu kwa sababu hivyo ndivyo walivyo umbwa and there is nothing you can do about it.
Mtoto wa kike akifika puberty age ndio utaujua umuhimu wa mashangazi.( dada zako)
Kwa alicho kifanya binti wa Madee sidhani kama madee atakuwa tena proud kupiga nae picha mtandaoni..
Ushauri wangu kwa wewe proud dad ambae bado binti yako hajavunja ungo👇
Akisha vunja ungo jiandae kisaikolojia kumpenda hivyo hivyo kama jinsi atakavyo kuwa or else utamchukia bure
Watoto sio fitna.Katika moja ya fitna kubwa ambayo mwenyez Mungu alimuumbia mwanadamu, bas moja wapo ni watoto. Haijalishi wa kike au wakiume.
KAma kwako sivyo, iko hivyo kwa wengine. Mshkuru Mungu.Watoto sio fitna.
Nsia Swai alikuwa kabila ganiWale ni wachagga
Mange kagoma kuziposti kazinunuaPicha ziko wapi.
Bila ya picha uzi haujakamilika huu.
NaaamWanaume malaya wengi hupewa watoto wa kike washuhudie
Mange kazinunua tayari na amemuambia aliyemtumia Incase akipost atamsueHizo picha nazihitaji kwa kitita cha Mill 160£
Madee kabila Gani kwani?!!!!Wale ni wachagga