Gumzo kivipNina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Mi hela ninazo zangu ila siku mpenz akijisikia kunipa huwa inafurahisha sanaaa๐คฃNitaoa tu! Mtoto mmoja wa kitasha maana I love cold blood at all, Nyinyi wakienyeji mnazingua sana halafu hamporeal sijui kwa nini...Mko after money kwelikweli...
Sina cha kusema coz inaonekana ushaamua.I was aware about this!
Ila bado my plan is to get married with a real white lady...!!
Napenda namna walivyo na mahusiano ya kweli, Na wako na future sana!
Hata suala la family planning halita nisumbua kwakweli..
Nyinyi endeleeni kubanana na wazaramo hapahapa๐๐๐
Sawa ni vizuri kusikia hivyo๐๐๐Mi hela ninazo zangu ila siku mpenz akijisikia kunipa huwa inafurahisha sanaaa๐คฃ
Then kuku wa kienyeji mim Im the realiest thing ever.
Sawa watapatikana tu ahsante kwa kubariki hilo๐๐๐Sina cha kusema coz inaonekana ushaamua.
Nasubiri uniletee hao mashangaz point five(chotara) niringishie mashoga zangu.
Viwajomba vyakovitakua vyeusiiiii tiii wakikaa na hao wa kwako weupe peee sijui itakuaje๐คฃSawa watapatikana tu ahsante kwa kubariki hilo๐๐๐
๐๐๐๐ wajomba zangu ni weupe uzuri mmoja kwetu rangi nyeupe ni asili kutoka upande wa mama...๐คฃ๐คฃ๐คฃViwajomba vyakovitakua vyeusiiiii tiii wakikaa na hao wa kwako weupe peee sijui itakuaje๐คฃ
Namaanisha wajomba zako kutoka kwangu mim dada yako ndo.vitakua vyeusi tii๐คฃ๐๐๐๐ wajomba zangu ni weupe uzuri mmoja kwetu rangi nyeupe ni asili kutoka upande wa mama...๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ooh! ๐๐๐ so unasema wewe blackbeauty hiyo safi once nilipenda sana wadada weusi ๐๐๐ wanavutia sana kama alivyo lupita Kenyan ladyNamaanisha wajomba zako kutoka kwangu mim dada yako ndo.vitakua vyeusi tii๐คฃ
Mimi sio mweusi bestie๐คฃ.Ooh! ๐๐๐ so unasema wewe blackbeauty hiyo safi once nilipenda sana wadada weusi ๐๐๐ wanavutia sana kama alivyo lupita Kenyan lady
Pia itakuwa njia nzur ya kupunguza maambukiz ya U.T.I na HVISerekali ione namna ya kuyasambaza hayo maroboti kwa raia wake, hii ni huduma muhimu na ya dharura kuondoa invoices and mizinga ya kudumu
Likipata virus utachezea vichwa utajutaNina mpango wa kukununua moja nimpeleke kwangu aise yanavutia madude unaambiwa yanatoa huduma zote tofauti kuzaa tu View attachment 2639222
Hahahaa! Inamaana jamaa ni mweusi ๐๐๐Mimi sio mweusi bestie๐คฃ.
Ila vitoto vyangu najua vitakua vyeusi๐คฃ
tiiii๐คฃ๐คฃHahahaa! Inamaana jamaa ni mweusi ๐๐๐
๐๐๐๐ umeme ukikata humuoni hadi acheke ndio uone meno๐๐๐tiiii๐คฃ๐คฃ
Yaani,๐คฃ.๐๐๐๐ umeme ukikata humuoni hadi acheke ndio uone meno๐๐๐
Hongera zako na baba mandigo wako๐๐๐Yaani,๐คฃ.
Ila ninavyompenda sasa mandingo wangu๐คฃ
Utakufa kizazi chako cha billion moja kitakuja kusema kama wewe nacho kitapita .Ule mwisho wa Ulimwengu umekaribia!