Mademu bandia wa ELON MUSK marobot wawa gumzo Duniani

Mademu bandia wa ELON MUSK marobot wawa gumzo Duniani

Kama yanaweza kulea mtoto na kuupika chakula na kusafishwa nyumba ,housigeli atakuwa Hilo dude
 
Nitaoa tu! Mtoto mmoja wa kitasha maana I love cold blood at all, Nyinyi wakienyeji mnazingua sana halafu hamporeal sijui kwa nini...Mko after money kwelikweli...
Mi hela ninazo zangu ila siku mpenz akijisikia kunipa huwa inafurahisha sanaaa🤣
Then kuku wa kienyeji mim Im the realiest thing ever.
 
I was aware about this!
Ila bado my plan is to get married with a real white lady...!!
Napenda namna walivyo na mahusiano ya kweli, Na wako na future sana!
Hata suala la family planning halita nisumbua kwakweli..

Nyinyi endeleeni kubanana na wazaramo hapahapa😂😂😂
Sina cha kusema coz inaonekana ushaamua.
Nasubiri uniletee hao mashangaz point five(chotara) niringishie mashoga zangu.
 
Viwajomba vyakovitakua vyeusiiiii tiii wakikaa na hao wa kwako weupe peee sijui itakuaje🤣
😂😂😂😂 wajomba zangu ni weupe uzuri mmoja kwetu rangi nyeupe ni asili kutoka upande wa mama...🤣🤣🤣
 
Serekali ione namna ya kuyasambaza hayo maroboti kwa raia wake, hii ni huduma muhimu na ya dharura kuondoa invoices and mizinga ya kudumu
Pia itakuwa njia nzur ya kupunguza maambukiz ya U.T.I na HVI

Pesa ya kununua sina ila nataman waweke sehemu tuwe tunaenda kuyakodi
 
Screenshot_20230530-183324.png
 
Back
Top Bottom