Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Maeneo km yapi?! 🤣🤣🤣angalau ni mwepesi kuwa na engagements hata na publics hii inaweza maanisha unaweza kuwa mwepesi zaid hata maeneo mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maeneo km yapi?! 🤣🤣🤣angalau ni mwepesi kuwa na engagements hata na publics hii inaweza maanisha unaweza kuwa mwepesi zaid hata maeneo mengine
Huko uswazi ndiyo balaa zaidi. Muda wote wako facebook na insta wakichambana.Nenda Tandika Maguruwe mbona utapata tu wa uswazi wenzako
Pita na hawa wa uswahilini hawana mambo mengi wanajua kucare, maintainace yao ndogo af hawachoshi kunakoWatu wanaishi Mkuu, siongelei wakishua unaowajua wewe.
🤣🤣🤣 cocastic una kesi huku🤣🤣🤣🤣🤣Kua na dem wa kishua we kuweza cocastic kaniacha kweupeeee
🤣🤣🤣🙄🤔KhaaaaHuko uswazi ndiyo balaa zaidi. Muda wote wako facebook na insta wakichambana.
Watz wavivu na wanawaza kukubebea mume 🤣🤣🤣Kwer uzalendo umekuisha pambania wakwako
Sina hata hamu kwisha hbr yng🤣🤣🤣 cocastic una kesi huku
Wakisua wamekua wakiosha na dada hata sehemu zao nyeti hawajui kutunzaHuko uswazi ndiyo balaa zaidi. Muda wote wako facebook na insta wakichambana.
Shida kujiuguza gari Zima husukumwa na gari bovuWatz wavivu na wanawaza kukubebea mume 🤣🤣🤣
Na wanaume zetu wa ki tz walivyo na mate hawachelewi kukupandisha cheo
🤣🤣🤣🤣🙌🙌Hakuna tuzo ya mtesekaji bora
Kama unampenda mnunulie machine za kurahisisha kazi au uwe unamsaidia kazi nyingine.
Kula viporo sio ujanja wala ushamba...pikeni chakula cha kutosha kwa wakati huo kiishe.
Kama umemchoka waachie Wana usimtafutie mwenzio sababu
🤣sasa hilo ni somo pana kidogo,Maeneo km yapi?! 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Jf ina wanaume/wavulana washamba sana yani:
1. Huwezi kupata binti mrembo mwenye mvuto halafu awe anafanya kazi kama fuso..never
2. Huwezi pata cheupe mwenye shepu, awe mcheshi, mwenye mahaba na mchapakazi kama msukule.
Note; ni ngumu kupata vyote;
Chukua hii;
Chagua mwenye tako, mrembo...mvivu
Au mchaoakazi kama punda..shapeless, tako less au
NK.
Mwanamke hawezi kupewa vyote, wewe chagua mwenye sifa kadhaa na madhaifu yake iwe ndio gharama ya upendo
Yule mama alieimba huyo ni chaguo lako mpeni maua ykeSi unataka usiombwe pesa mkuu na sisi wa Buza uswazi huku, haya pambana sasa huyo ndiye chaguo lako
Ww tafuta binti wa kazi mmalawi mbona utaenjoy, wizzy had ananisema ananilemaza 🤣🤣🤣Kumbeee🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Umesema kitaalam sana😂😂
Sasa uko nae apoWw tafuta binti wa kazi mmalawi mbona utaenjoy, wizzy had ananisema najilemaza 🤣🤣🤣
Nani?!Sasa uko nae apo
Unajifanya sungura unakwepa 🤣🤣🤣🤣sasa hilo ni somo pana kidogo,
Lakini mathalan anaweza kuwa mwepesi kusamehe na kusahau akikosewa, mwepesi kuomba msamaha akikosea nakadhalika nakadhalika.....