Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
MmalawiNani?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmalawiNani?!
Nakuona unaomba kwa code 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio nipo naye shem vipi kwani.?Mmalawi
Huwa najituma ili utumie😂😂🤣🤣🤣🤣
Niweke Shem nikimbizsne na usimbeNdio nipo naye shem vipi kwani.?
Eh ukiolewa ndio kupumzika kupendeza na sio kuchaakaKwakweli tumechoka 🤣🤣🤣
sasa mie nakwepa nini apo mama 🤣Unajifanya sungura unakwepa 🤣🤣🤣
we! wapo waliochanganyika na Wagiriki wale walioenda kulima Tumbaku Iringa acha kabisa! yaani acha kabisa! wanacheza miguu yote kazi wanapiga na wako vizuri kichwaniWengi wao ni seedco a.k.a mbegu fupi.
Alaf wakichukia wanajitundika chap. Atawezana?
Toka umpate cocastic, umekuwa na mineno siku hizi 🤣🤣🤣Shida kujiuguza gari Zima husukumwa na gari bovu
Shem la mashem utakaa ba cheque book kabisa😂Nakuona unaomba kwa code 🤣🤣🤣
Umeolewa tyr😂Eh ukiolewa ndio kupumzika kupendeza na sio kuchaaka
Halafu kazi zangu utafanya ww.?!Niweke Shem nikimbizsne na usimbe
Cocastic kila nyakati yeye mitusi ajui kubemberezaToka umpate cocastic, umekuwa na mineno siku hizi 🤣🤣🤣
Wee usinifanye sijui ulichomaanisha 🤣🤣🤣sasa mie nakwepa nini apo mama 🤣
shida ni kwamba unamajibu yako mfukoni mtumishi 🤣
Tutafuta mwingineHalafu kazi zangu utafanya ww.?!
Mkuu, si ungeendelea tu na hao akina Ashura Kwapanene? Au ulikua una test zari la mentali kama lita tick?Demu kupika anasema anachoka, yani kuna muda anapika chakula cha usiku mchana ili usiku asipike tena.
Kufanya usafi ndani ni shida eti anasema mgongo unamuuma akiinama sana.
Vyombo akishakula usiku ni kazi kuvitoa, yani anaweza kuviacha kwenye meza mpka kesho yake.
Kiporo hawezi kula, na anasema tumbo linamuuma akila viporo.
Nafikiria endapo nikimuweka ndani si ndio atakuwa TipwaTipwa huyu, yani Kazi zote si atakuwa anamuchia Dada wa kazi.
JAMANI WATOTO WA KISHUA NI TABU KUISHI NAO.
Unajua kazi ya elimu na exposure? Mademu wa kishua wanakulia kwenye ustaarabu, wanasoma shule nzuri, wanasoma vitabu na kusafiri halafu washindwe kujitambua?Wakisua wamekua wakiosha na dada hata sehemu zao nyeti hawajui kutunza
Unamsingizia mdogo angu, mbona mpole kafundwa kafundika yule..!!Cocastic kila nyakati yeye mitusi ajui kubembereza
😳 humu kumbe wanapatana? Mbona hawatuambiiToka umpate cocastic, umekuwa na mineno siku hizi 🤣🤣🤣
Ww pambana na kina Asha jibwa ndio type zenu 🤣🤣🤣Tutafuta mwingine