Alice Gisa
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 172
- 417
Siyo battle local bars. Wanuza Tasker lite Kati ya 200 na 250 Ksh. Amabayo Ni kalibia tsh 5000 Hadi 6000 tsh.Hata kwa local level bado umepotosha na naona kama nakushtukia madhumuni ya huu uzi ni ligi za kijinga na ungeiweka mapema tungeshushia ujinga tu maana huwa hatukawii kwenye hilo....waulize ndugu zako ambao huhagaika huku Kenyan news kila siku hehehehe!!!!
Nilifikiri umekuja kishkaji kama mwanaume tujadili kidume dume kumbe mwenzetu upo kwenye ule umbea wa Kitz, haya watakuja Wakenya wakupe makavu maana nimekushtukia hehehehe
Japo mimi sijanunua beer kipindi kirefu lakini hizo bei zako unapotosha kimakusudi, haiwezekani bei ya beer Nairobi iwe mara nne ya Dar kwenye bar za kawaida mtaani.
Wakati bear hiyo Tz katika local bar Ni tsh 1500 Hadi 2000. Ambayo ni Kama ksh 65 Hadi 90
Hivyo na tatu zaidi