Madereva wa Formula 1, ni "Marubani" wa Jet za ardhini

Madereva wa Formula 1, ni "Marubani" wa Jet za ardhini

Haha, kwanza kipindi hicho nilikuwa najiuliza Hawa jamaa wanakaa mkao gani kwanza, wanakaa chini wananyoosha miguu ama vipi, nilivyokuja kuona jinsi mikao Yao ilivyo pindi wanaendesha nilichoka sana.
Ukijaribu ule mkao, dakika 10 unaona mateso. Na unaambiwa kiti hakina nyama nyama kabisa. Kupunguza uzito.
 
DSTV wanaonesha aya mashindano sema ni vifurushi vikubwa vya kishua. Mimi (na washkaji) tunachofanya tunaenda Masaki kuangalia kwenye baadhi ya Bar. Wanaonesha F1. Just soda ya buku 2 kama siku iyo tupo broke.
Kipindi hiki ambacho ligi mbalimbali za ulaya zimeisha huwa naangalia kwenye vifurushi vya kawaida ndani ya DStv hasa channel namba 228
 
Leo ndo nomeujua huu mchezo. Bado rugby
Mchezo mtamu sana... ndio mchezo pekee ambao nimeangalia kwa miaka mingi sana... Personally naangalia F1 kuliko hata football.

Zamani kuna race ilikuwepo South Africa, kwenye track inaitwa Kyalami, ila kwa sababu ya gharama kubwa kuendesha, waliacha. Ikirudi nitakuwa sikosi kabisa, na hivi hata Visa hakuna!
 
DSTV wanaonesha aya mashindano sema ni vifurushi vikubwa vya kishua. Mimi (na washkaji) tunachofanya tunaenda Masaki kuangalia kwenye baadhi ya Bar. Wanaonesha F1. Just soda ya buku 2 kama siku iyo tupo broke.
Ongea na watu vizuri....

 
Sorry kuna kitu mtu kuniuliza, kuhusu zawadi ya mshindi.

Tulisema kuna makombe mawili, ya dereva na team.

Dereva akishinda hapewi hela na FIA, ila tunaamini anapewa bonus kwenye mishahara yake na marupurupu. Naamini hii ni kama kwenye football, team ikichukua ubingwa sio hela ya mchezaji mmoja mmoja ni ya club.

Team (constructors) ikichukua ubingwa ndio wanapata pesa ndefu sana. Mfano, Redbull mwaka 2023 walipata $140 Million.

Hii inamaanisha kwamba F1 ni ushindi wa team, sio wa dereva. Ndio maana ukisikiliza interview ya madereva baada ya race wanaongeleaga "we" wanajua mchango wa kila teammate ata wa kubadirisha tyre.
 
Kuna
Ukijaribu ule mkao, dakika 10 unaona mateso. Na unaambiwa kiti hakina nyama nyama kabisa. Kupunguza uzito.
uwezekano hawa madereva wakawa wanalipwa pesa ndefu sana zaidi ya football players maana kuvumilia huo mkao kwa over two hours huku ukishindana na 7-9G forces si mchezo + concentration kubwa usifanye mistake yoyote ile si si Jambo dogo. Nafikiria lakini
 
Hapana nimequote mstari wa Mwana fa kwenye Ngoma Yao ya "Habari ndio hiyo"na Ay, kwenye F1 Nilikuwa namkubali Sana Peter Schumacher,,aendelee kuugua pole
Ata kwenye Mchizi wangu Rmx alisema ivo ivo, ndio nimamalizia ...kila nikiwaza mchizi wangu huenda unateseka...

Screenshot_20240531-135135.png
 
Mtaalam wa hizi kazi, umeelezea vizuri sana. Napenda sana F1 racing, natamani siku moja niendeshe hiko kigari. Namkubali sana Lewis hamiliton.
Kusema kweli kwa sasa bro tumechelewa. Na ubaya zaidi haya magari sio "street leagl" kwamba ukipata pesa uyanunue utembee nalo barabara ya Mwendokasi.

Kwa sasa closest way kuyaendesha ni kutumia racing SIMS (simulators). Au jaribu kuendesha kart ingawa za bongo sio kwaajili ya racing hazina ata mbio.
 
Kuna uwezekano hawa madereva wakawa wanalipwa pesa ndefu sana zaidi ya football players maana kuvumilia huo mkao kwa over two hours huku ukishindana na 7-9G forces si mchezo + concentration kubwa usifanye mistake yoyote ile si si Jambo dogo. Nafikiria lakini
Sure wanalipwa vizuri, ingawa hatuwezi kufananisha na Football.
Screenshot_20240531-135733.png


Nadhani Football ni habari nyingine kabisa.

Screenshot_20240531-135800.png



Ujinga wa F1 Drivers, ni ngumu mtoto kutoka familia ya kawaida kuja kua dereva.

Ukifuatilia utakuta woote ni watoto wa kishua, wa madereva wa F1 zamani, wa wawekezaji kwenye team etc.

Kuna exception kama L Hamilton, na jamaa mmoja wa zamani kdg Semi au Seb baba ake alikua fundi seremala.

Ila wazazi hao walikua wana support watoto wao katika Kart racing. Tatizo je wewe utamsupport mtoto wako? Yaani sometimes aache shule kwenda aende racing?

Challenge inakuja gharama za iko ki gari, maintenance, gharama za training, etc inabidi mzazi uingine.
 
Back
Top Bottom