Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me sauti za engine tu. Ata nikiwa nje ya track.Mchezo mtamu sana... ndio mchezo pekee ambao nimeangalia kwa miaka mingi sana... Personally naangalia F1 kuliko hata football.
Zamani kuna race ilikuwepo South Africa, kwenye track inaitwa Kyalami, ila kwa sababu ya gharama kubwa kuendesha, waliacha. Ikirudi nitakuwa sikosi kabisa, na hivi hata Visa hakuna!
Jamaa wanapepea si mchezo na zile konaMotoGP khaaa yale ma Ducati shikamoo
MotoGP bikes tend to be around a second to a second-and-a-half faster than World Superbikes,Kuna mtu aliniambia MotoGP hazipo FAST. they're QUICK.
Lipia tangazo mkuušKipindi hiki ambacho ligi mbalimbali za ulaya zimeisha huwa naangalia kwenye vifurushi vya kawaida ndani ya DStv hasa channel namba 228
Ndio hivyo mkuu ni ndoto ambayo naona ilishajifia mda sana. Ila hako kagari kana sound nzuri sana.Kusema kweli kwa sasa bro tumechelewa. Na ubaya zaidi haya magari sio "street leagl" kwamba ukipata pesa uyanunue utembee nalo barabara ya Mwendokasi.
Kwa sasa closest way kuyaendesha ni kutumia racing SIMS (simulators). Au jaribu kuendesha kart ingawa za bongo sio kwaajili ya racing hazina ata mbio.
Mi ndio basi tena sidhan kama itawezekanaUnaambiwa drivers wa hizo gari huandaliwa tangia wadogo, je utaweza na utaipata wapi bila kutembelea nchi vinapopatikana huko mkuu?
Jamaa wanapepea si mchezo na zile kona
š Vestepen anawabeba sana ila kwa SIR watasubiri sanasijui kwanini ila nikionaga tuchezo wowote alafu team moja ikawa na lebo ya redbull basi hiyo ndo team yangu yaan hata kama sjui walianzia wap
Kuna video Hamilton alikua anaojiwa. Uwanjani ila yeye alikua hafanyi racing. Ile V10 ilikua ikipita anasahau alichoulizwa. Ikabidi tu akubali, anakuambia: What a sound..Ndio hivyo mkuu ni ndoto ambayo naona ilishajifia mda sana. Ila hako kagari kana sound nzuri sana.
Zinauzwaje hizo simulators za huu mchezo?.Kusema kweli kwa sasa bro tumechelewa. Na ubaya zaidi haya magari sio "street leagl" kwamba ukipata pesa uyanunue utembee nalo barabara ya Mwendokasi.
Kwa sasa closest way kuyaendesha ni kutumia racing SIMS (simulators). Au jaribu kuendesha kart ingawa za bongo sio kwaajili ya racing hazina ata m
Sisi tubaki kushuhidia races tu kupitia channel no. 228 DSTV bhas. Hii michezo mingine ya wadon maana hata kiingilio chake tu kwa hizo siku tatu balaa....Mi ndio basi tena sidhan kama itawezekana
Huu mchezo uwekezaji wake sio wakitoto, hizo kampuni za magari zinawekeza fedha na ubunifu mkubwa mno.Sisi tubaki kushuhidia races tu kupitia channel no. 228 DSTV bhas. Hii michezo mingine ya wadon maana hata kiingilio chake tu kwa hizo siku tatu balaa....
Hata kama ni mimi ningeropoka, kuna milio ya magari inavutia sana.Kuna video Hamilton alikua anaojiwa. Uwanjani ila yeye alikua hafanyi racing. Ile V10 ilikua ikipita anasahau alichoulizwa. Ikabidi tu akubali, anakuambia: What a sound..