Ndio makosa yote ya mishandling'Punguza mwendo kuna mteremko mkali' , 'Punguza mwendo kuna kona kali' . Hayo ni baadhi ya maonyo yaliyowekwa na tanroads halafu wewe unasema mwendo hauleti ajali.,
Usifikiri hao Sauli wanazingatia sana sehemu za 'punguza mwendo' la hasha na mbaya zaidi pia wana overtake za kipuuzi.
Ni wale wachawi wanaopenda kuharibu biashara za wenzaoHii stori Haina ukweli wowote.
1- Hakuna mahala mwandishi alipoandika metreAmeandika meter siyo KPH
Angetumia sms zaidiDereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.
Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la wasafiri mojawapo.
Baada ya muhusika kurecord tukio hilo kwenye group alipokea DM za vitisho kutoka kwa namba tofauti.
Baadae kidogo alipgiwa simu na dereva wa gari ilo na kumtaka asogee mbele yani atoke siti iyo akakae mbele kwa dereva,alipofika dereva alimpokonya simu na kumtishia.
Baada ya safari kwenda kwa masaa kadhaa bila muhusika kupewa simu yake ilifika hatua abiria uyo alitaka kushuka sehem inayoitwa uyole wakati anataka kushuka walimzuia na kumtaka asishuke kwamba wanampeleka polisi kwa kosa la kurec na kuwachomea maovu yao.
Abiria alijitahidi kuwaomba na na kuwasisitiza lakini waligoma na kuondoka nae pasipo kumpeleka polisi.(utekaji huu)
Baada ya kufika mwisho wa safari walishusha abiria wote na kubaki wao madereva na baadhi ya watu wachache na kuanza kumhoji na kumpiga kwa kumlazimisha kusema nani amemtuma kurecord maovu ya kampuni yao ya SAUL na ilifikia hatua ya kumlazimisha amtaje moja ya mtu wa kampuni shindani ya New force.
Baada ya kipigo na vitisho vya muda mrefu walikagua simu na kujaribu kuweka namba za baadhi za watu waliohisi wao ndio wamemtuma ila walikuta abiria uyo hana namba za wahusika hao kabisa, ndipo walipomlazimisha kuformat simu yote na vitisho juu.
Baada ya muda walimuachia abiria huyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.
Kutokana na taarifa iyo inaonesha ukanda huo Dar mpk Tunduma kumekuwa na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.
Harafu hao hao wanalaumu serikali 😄😄😄😄Hii ni aina ya jamii tuliyonayo..ukijaribu kurekebisha kosa hakuna anayekuunga mkono maana kila mmoja hataki kufuata taratibu.
hata angeenda polisi asingepata msaada wowote.
Ndugu mbona unakuwa mbishi bila ushahidi ? Soma post yake neno kwa neno1- Hakuna mahala mwandishi alipoandika metre
2-Hakuna standard ya kupima mwendo wa gari kwa kutumia metre.
Mkuu- Unajua maana ya speedmeter? 🤣 🤣 🤣 Ukishaelewa hili neno ndo uanze kutengeneza upya hoja yako otherwise tutakuwa tunapoteza muda hapaNdugu mbona unakuwa mbishi bila ushahidi ? Soma post yake neno kwa neno
Kila ulichokitaja hapa kaka kinaakisi kila kitu kuhusiana na madereva wa sauli. Haya mabasi binafsi sijawahi kuyapanda ila nimeyajua kupitia reckless driving kwenye hichi kipande cha kuanzia ubungo mpaka kimara- Kama una gari lako unalipenda, hili basi likiwa karibu yako kuwa mpole tu otherwise fundi atahusika kama siyo maishaKinacholeta ajali sio mwendo bali mis handling ya gari na overtake za kipuuuzi.
Dereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.
Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la wasafiri mojawapo.
Baada ya muhusika kurecord tukio hilo kwenye group alipokea DM za vitisho kutoka kwa namba tofauti.
Baadae kidogo alipgiwa simu na dereva wa gari ilo na kumtaka asogee mbele yani atoke siti iyo akakae mbele kwa dereva,alipofika dereva alimpokonya simu na kumtishia.
Baada ya safari kwenda kwa masaa kadhaa bila muhusika kupewa simu yake ilifika hatua abiria uyo alitaka kushuka sehem inayoitwa uyole wakati anataka kushuka walimzuia na kumtaka asishuke kwamba wanampeleka polisi kwa kosa la kurec na kuwachomea maovu yao.
Abiria alijitahidi kuwaomba na na kuwasisitiza lakini waligoma na kuondoka nae pasipo kumpeleka polisi.(utekaji huu)
Baada ya kufika mwisho wa safari walishusha abiria wote na kubaki wao madereva na baadhi ya watu wachache na kuanza kumhoji na kumpiga kwa kumlazimisha kusema nani amemtuma kurecord maovu ya kampuni yao ya SAUL na ilifikia hatua ya kumlazimisha amtaje moja ya mtu wa kampuni shindani ya New force.
Baada ya kipigo na vitisho vya muda mrefu walikagua simu na kujaribu kuweka namba za baadhi za watu waliohisi wao ndio wamemtuma ila walikuta abiria uyo hana namba za wahusika hao kabisa, ndipo walipomlazimisha kuformat simu yote na vitisho juu.
Baada ya muda walimuachia abiria huyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.
Kutokana na taarifa iyo inaonesha ukanda huo Dar mpk Tunduma kumekuwa na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.
Halafu misala ikitkeaga abiria wote huwa wanamruka dereva kimanga utadhani walikuwa wanakimbizwa huku hawajui wakati ndo walikuwa wanamchochea aongeze mwendo 😁 😁Abiria nao wanapenda gari zinazowahi kufika
Huyo alikuwa boya Mimi ukae na simu yangu,patakuwa hapatoshi vurumai itakayokuwepo Bora hata kichaa wa mirembe,askari wa usalama barabarani wamejaa kote,harafu eti ukae na simu yangu,yaani huyo jamaa alikuwa fala,boya,mjinga na ZEZETA,simu yangu nakubali akae nayo askari polisi sio eti dreva tu ndo aizuie,asingeendesha la sivyo tungeingia mtaroniDereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.
Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la wasafiri mojawapo.
Baada ya muhusika kurecord tukio hilo kwenye group alipokea DM za vitisho kutoka kwa namba tofauti.
Baadae kidogo alipgiwa simu na dereva wa gari ilo na kumtaka asogee mbele yani atoke siti iyo akakae mbele kwa dereva,alipofika dereva alimpokonya simu na kumtishia.
Baada ya safari kwenda kwa masaa kadhaa bila muhusika kupewa simu yake ilifika hatua abiria uyo alitaka kushuka sehem inayoitwa uyole wakati anataka kushuka walimzuia na kumtaka asishuke kwamba wanampeleka polisi kwa kosa la kurec na kuwachomea maovu yao.
Abiria alijitahidi kuwaomba na na kuwasisitiza lakini waligoma na kuondoka nae pasipo kumpeleka polisi.(utekaji huu)
Baada ya kufika mwisho wa safari walishusha abiria wote na kubaki wao madereva na baadhi ya watu wachache na kuanza kumhoji na kumpiga kwa kumlazimisha kusema nani amemtuma kurecord maovu ya kampuni yao ya SAUL na ilifikia hatua ya kumlazimisha amtaje moja ya mtu wa kampuni shindani ya New force.
Baada ya kipigo na vitisho vya muda mrefu walikagua simu na kujaribu kuweka namba za baadhi za watu waliohisi wao ndio wamemtuma ila walikuta abiria uyo hana namba za wahusika hao kabisa, ndipo walipomlazimisha kuformat simu yote na vitisho juu.
Baada ya muda walimuachia abiria huyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.
Kutokana na taarifa iyo inaonesha ukanda huo Dar mpk Tunduma kumekuwa na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.
Hakuna basi lenye huo ustaarabu unaoutaka wewe hasa kwa hicho kipande unachokisema na kwa majira hayo na pia jaribu kuwa dereva wa basi utaelewa ni kwa nn pia madereva wa magari kila kukicha wanawalaumu bodabodaKila ulichokitaja hapa kaka kinaakisi kila kitu kuhusiana na madereva wa sauli. Haya mabasi binafsi sijawahi kuyapanda ila nimeyajua kupitia reckless driving kwenye hichi kipande cha kuanzia ubungo mpaka kimara- Kama una gari lako unalipenda, hili basi likiwa karibu yako kuwa mpole tu otherwise fundi atahusika kama siyo maisha
Ishu hapa siyo ustaarabu ninaoutaka mimi au wewe, ishu ni kila mmoja afuate sheria za barabarani na kujali watumiaji wengine wa barabara ili mwisho wa siku sote turudi nyumbani salama. Ishu ya bodaboda ni swala la utekelezaji wa kanuni- Polisi wafanye kazi yao. Bodaboda wa bongo akipelekwa ulaya lazima abadilike tu, huko huwezi kugonga gari la mtu kizembezembe na kuleta majibu ya kijinga otherwise utarudishwa kwenye coffin.Hakuna basi lenye huo ustaarabu unaoutaka wewe hasa kwa hicho kipande unachokisema na kwa majira hayo na pia jaribu kuwa dereva wa basi utaelewa ni kwa nn pia madereva wa magari kila kukicha wanawalaumu bodaboda
Huyo ni zezeta,anapenda speed Kali ,Kuna siku hawatamutambua hata ndugu zake,wapo wachache wajinga kama yeye,Hongera sana ngoja siku tuje kukusanya mabaki yako kwenye kifungashio cha 500. Wenzako juzi walikuwa wanapenda hivyo hivyo hakuna kulala za Mbeya Dar tunakusanya mabaki yao kwenye vifungashio pale Mafinga. Bado wewe, pendeni sifa tu.