Madereva wa kampuni za Usafiri Bolt na Uber wanaongoza kuharibu biashara ya usafiri

Madereva wa kampuni za Usafiri Bolt na Uber wanaongoza kuharibu biashara ya usafiri

broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
We jamaa mzinguaji sana, sasa kama bolt inamnyonga si atumie kampuni nyingine?
 
broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Matatizo uliyoandika, ambayo hata mimi nayakubali, hayahalalishi madereva kufanya mambo anayolalamikia mwanzisha thread. Zaidi haya ni matatizo ya wenye hizo APP na madereva. Kwa nini madereva wasipiganie haki zao kwa wenye APP na badala yake wazihamishie kwa abiria?
 
broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Nyie ndiyo watanzania ninao wajua mimi, wala haihitaji DNA.
Hao madereva hawakuyaona hayo makubaliano na hizi kampuni? Kwanini kama wanaumizwa wasipiganie stahiki yao badala kuwaibia raia?
 
broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Kwani dereva kulazimishwa atumie bolt au Uber sini aache hayo malalamiko mwambie hao wamiliki wabolt au Uber sasa mnawalalamikia abiria ili iweje .
 
haisaidii kitu mkuu... cha msingi kuwe tu na maelewano... hayo mambo ya kukomeshana hayatotufikisha popote...!

lakini siwezi kuwatetea....! kuna baadhi ya madereva wana kera sana kwakweli...!​
dereva ukimwambia unamripot anakua na adabu kinyama naongea kwa uzoefu mkuu unafikili kwanin wanaombaga sana uwa rate 5 stars
 
broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Unasema bolt wanachukua 24% halafu hawafanyi kazi yoyote akili yako ndogo sana.... kaa kijiweni usubiri abiria uone moto wake.
 
broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
wewe umepata wateja kwa sababu ya kutumia nembo yao, unatarajia utumie kibure bure? Kumbuka na wao wanalipa kodi na wanao wafanyakazi vile vile. Mimi naona mtu akiona hakuna maslahi basi aendelee kivyake vyake tu lakini asiharibu jina la kampuni ya watu.
Na pindi kampuni itakapoona haipati faida itajiondoa yenyewe.
 
wewe umepata wateja kwa sababu ya kutumia nembo yao, unatarajia utumie kibure bure? Kumbuka na wao wanalipa kodi na wanao wafanyakazi vile vile. Mimi naona mtu akiona hakuna maslahi basi aendelee kivyake vyake tu lakini asiharibu jina la kampuni ya watu.
Na pindi kampuni itakapoona haipati faida itajiondoa yenyewe.
Nikweli mkuu
 
broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Kwanini usiachane nao ufanye kazi ya Taxi kuliko huo mzigo kumwangushia mteja ambaye hahusiki.
Ki ukweli hakuna tabia inakera kama unachukua bolt halafu mtu ana cancel ionekane umelipa 1000 wakati umelipa 10,000.
 
Back
Top Bottom