Madereva wa kampuni za Usafiri Bolt na Uber wanaongoza kuharibu biashara ya usafiri

Madereva wa kampuni za Usafiri Bolt na Uber wanaongoza kuharibu biashara ya usafiri

broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Acha kufanya kauze mihogo
 
Huyo jamaa nikiazi kweli anajua kuanzisha program nirahisi hajui Kuna Kodi, Kuna kulipa wafanyakazi , Kuna matangazo yeye anaropokwa tu kuwa hawafanyi kazi yeyote
Unasema bolt wanachukua 24% halafu hawafanyi kazi yoyote akili yako ndogo sana.... kaa kijiweni usubiri abiria uone moto wake.
 
na kuna abiria wanaakili mbovu sana maana wao wanajua huo usafiri ni wa bolt/uber/farasi kwahiyo hata ikitokea dereva amemkatalia kumsogeza abiria sehemu tofauti na alipo request.......anaishia ntakureport bila kujua nini kinatokea baada ya kureport
 
na kuna abiria wanaakili mbovu sana maana wao wanajua huo usafiri ni wa bolt/uber/farasi kwahiyo hata ikitokea dereva amemkatalia kumsogeza abiria sehemu tofauti na alipo request.......anaishia ntakureport bila kujua nini kinatokea baada ya kureport
Noma sana
 
na kuna abiria wanaakili mbovu sana maana wao wanajua huo usafiri ni wa bolt/uber/farasi kwahiyo hata ikitokea dereva amemkatalia kumsogeza abiria sehemu tofauti na alipo request.......anaishia ntakureport bila kujua nini kinatokea baada ya kureport
Ndio sisi location zetu haziko clear sana kama sio sehemu maarufu
 
Mimi ni mtumiaji wa huu usafiri ila toka mwanzo Bolt mnyeyusho sana angalao uber walikuwa wazuri mno sema walivyoondoka wakarudi mambo pia yamebadilika hakuna madeva waxzuri kama mwanzo. but nakushauiri i vema uchukue Uber, au Farasi kuliko bolt
Ni kweli Uber wakati inaanza huduma ilikuwa nzuri sana na madereva walikuwa professional, siku hizi hakuna tofauti kati ya na bolt, uhuni mwini sana na huduma zao wote ni mbovu mno.
 
Ndio sisi location zetu haziko clear sana kama sio sehemu maarufu
kwahiyo hapo ulipoweka si karibu na kwako.......utatembea tu......usipende vya bure maana kuongeza pesa umekataa na yeye awezi kuongeza safari
 
WATANZANIA TUNA MATATIZO SANA.

Hizi Ubber na Bolt mbona kwingineko zinaoperate bila shida na ndio usafiri salama unaokimbiliwa na watu.

Wabongo hatupendi sana challenge.
 
broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
24% ya 1000 siyo 260.

Kuna siku nipo Mabibo Mwisho nataka kwenda Mkwajuni, nikibolt hua 4000 simu ikawa imezima chaji nikamuuliza boda sh ngapi nikitaka kwenda Mkwajuni akasema 10,000 nikamuambia hua narequest inakua 4000 hapa simu imezima. Nakulipa 6000 akagoma anakomaa 10,000.
 
Kuna siku nilipanda Gari ya Bolt, tulikuwa wawili na mwenzangu, nauli ilisoma na tukachangia nauli, mimi nilishuka njiani mwenzangu akaendelea, alipofika dereva kamkomalia eti aongeze nauli route ilikuwa ndefu sana, yule jamaa naye kwakuwa hakuwa mzoefu sana ilibidi amuongezee hela...
Wajinga ndio waliwao😂😂😂
 
broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
👏👏👏
 
broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!

bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.

ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%

ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840

hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...

huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.

alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300

tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!

6840-3300=3,540

dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.

2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.

awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.

mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!

tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Sasa wewe abiria unahusika vipi na hizo changamoto za hayo makampuni na huyo dereva??

Kwanini dereva asiachane na hizo kampuni akafanya kazi mwenyewe, kama anabond na hizo kampuni ina maana kuna namna ananifaika, ni ishu ya yeye dereva na hizo kampuni kukaa na kupanga hizo bei anazotaka dereva.

Ila hii kumhusisha abiria kwenye ishu za dereva na hao ubar/bolt/farasi sio sawa maana abiria wengi hamna anachoelewa zaidi ya kile hizo kampuni zinakitangaza.
 
Back
Top Bottom