Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kufanya kauze mihogobroh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!
bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.
ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%
ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840
hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...
huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.
alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300
tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!
6840-3300=3,540
dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.
2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.
awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.
mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!
tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Unasema bolt wanachukua 24% halafu hawafanyi kazi yoyote akili yako ndogo sana.... kaa kijiweni usubiri abiria uone moto wake.
hivi ushawai kujua kwamba ukiriport kinatokea nini?Ungemreport tu
Noma sanana kuna abiria wanaakili mbovu sana maana wao wanajua huo usafiri ni wa bolt/uber/farasi kwahiyo hata ikitokea dereva amemkatalia kumsogeza abiria sehemu tofauti na alipo request.......anaishia ntakureport bila kujua nini kinatokea baada ya kureport
Ndio sisi location zetu haziko clear sana kama sio sehemu maarufuna kuna abiria wanaakili mbovu sana maana wao wanajua huo usafiri ni wa bolt/uber/farasi kwahiyo hata ikitokea dereva amemkatalia kumsogeza abiria sehemu tofauti na alipo request.......anaishia ntakureport bila kujua nini kinatokea baada ya kureport
Ujiulize sasaKama kazi haikulipi na kampuni ni wanyonyaji si uiache kuliko shida zako kumpa mteja
Ni kweli Uber wakati inaanza huduma ilikuwa nzuri sana na madereva walikuwa professional, siku hizi hakuna tofauti kati ya na bolt, uhuni mwini sana na huduma zao wote ni mbovu mno.Mimi ni mtumiaji wa huu usafiri ila toka mwanzo Bolt mnyeyusho sana angalao uber walikuwa wazuri mno sema walivyoondoka wakarudi mambo pia yamebadilika hakuna madeva waxzuri kama mwanzo. but nakushauiri i vema uchukue Uber, au Farasi kuliko bolt
kwahiyo hapo ulipoweka si karibu na kwako.......utatembea tu......usipende vya bure maana kuongeza pesa umekataa na yeye awezi kuongeza safariNdio sisi location zetu haziko clear sana kama sio sehemu maarufu
24% ya 1000 siyo 260.broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!
bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.
ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%
ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840
hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...
huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.
alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300
tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!
6840-3300=3,540
dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.
2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.
awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.
mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!
tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Ni wapi nimeandika kwenda bure puyuukwahiyo hapo ulipoweka si karibu na kwako.......utatembea tu......usipende vya bure maana kuongeza pesa umekataa na yeye awezi kuongeza safari
Wajinga ndio waliwao😂😂😂Kuna siku nilipanda Gari ya Bolt, tulikuwa wawili na mwenzangu, nauli ilisoma na tukachangia nauli, mimi nilishuka njiani mwenzangu akaendelea, alipofika dereva kamkomalia eti aongeze nauli route ilikuwa ndefu sana, yule jamaa naye kwakuwa hakuwa mzoefu sana ilibidi amuongezee hela...
👏👏👏broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!
bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.
ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%
ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840
hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...
huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.
alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300
tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!
6840-3300=3,540
dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.
2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.
awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.
mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!
tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER
Sasa wewe abiria unahusika vipi na hizo changamoto za hayo makampuni na huyo dereva??broh... jaribu kuifanya hiyo kazi hata kwa siku mojatu... harafu uje na hili andiko lako...!
bolt wanachukua asilimia kubwa sana ni 24% ya nauli yoyote utakayo mlipa dereva.
ukimlipa dereva shilingi 1000/= bolt wanachukua shilingi 260/= ambayo ni sawa na hiyo asilimia 24%
ukifanya trip ya shilingi 9000/= bolt yakwao ni 2,160/= sasa elfu 9000-2160=6,840
hiyo 6840/= atakayo baki nayo dereva atoe pesa ya mafuta nadhani kwa Trip hiyo atatumia Nusu Lita ambayo ni sawa 1800 hivi ...
huku uliko mpeleke huyo dereva anaweza kweli asipate abiria akajikuta anarudi hadi starting point bila abilia.
alivyoenda alitumia nusu Lita ya petroleum kurudi pia ata tumia Nusu lita.
1650+1650=3300
tuchukue sasa ile asilimia 76 aliyobaki nayo dereva tuitoe na hayo mafuta aliyo tumia...!
6840-3300=3,540
dereva anabakiwa na 3540 pekee kwenye safari ambayo wewe ulipi toa pesa yako elfu 9000/= uliiona nyingi kuwa una mfaidisha dereva mwisho wa siku ni maumivu sana kwa huyo dereva.
2160/= wanayo ichukua bolt ni ya bure tu.
awatoi mafuta kwa dereva, awamnunulii hata vocha, chombo cha usafiri ni cha dereva mwenyewe amekipata kwa mbinu zake mwenyewe kwa mkopo au kwa mbinu yoyote.
mwisho wa siku dereva huyu akipata ajari ana baki yeye na ndugu zake... Bolt hawato msaidia chochote...! bila kujali wamechukua 24% kwenye kila trip ya huyu dereva....!
tubishane kwa hoja usiwatetee hayo makampuni ni wanyonyaji sana... bora hata UBER