nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
Hatari Sana hiyo ..haifaiBora Mkuu! Hiyo siku iligongwa gia na Dereva mmoja alikua anaitwa Mzee Paulo! Tulipotoka Gairo kuitafta msamvu mzee alimwaga moto mpaka nikaanza kujilaum kwanini sikuandaa zuberi au master city!