B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,443
- 3,002
Achaa unoko unataka tulaleee njianiTumetoka hapa Nyegezi Stand muda si mrefu.
Aisee, haya mabasi yanakimbizwa hatari. Naona kuna ligi flani inafanywa barabarani.
RTO wa mikoa husika chukueni hatua.
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app