Madereva wa subaru, IST, Alteza Na Cown sikieni

Madereva wa subaru, IST, Alteza Na Cown sikieni

😃😃😄😁😆😅🤣🤣😂😂😂😆😁😄😄😃😃
 
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.

Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]

SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Halafu hao utakuta gari Zina Bomba mbili za exhaust,Sasa anaona Raha kusikia zile kelele,zinampa jeuri ya kuendelea ligi barabarani🏃🏃🏃🏃🏃👨🏾‍🦯🤸
 
Halafu hao utakuta gari Zina Bomba mbili za exhaust,Sasa anaona Raha kusikia zile kelele,zinampa jeuri ya kuendelea ligi barabarani[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji1522]‍🦯[emoji1732]
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.

Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]

SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
IMG_20220413_204334_527.jpg
 
Mie sina hizo gari hapo ila gari yangu huwa siendeshi kama convoy ya harusi na nachukia ukae mbele yangu uendeshe kama soccer mom!

Nikipata upenyo lazma nikuchane kwa ukali tu.

Kuna raia wanasongesha gari kama maderee wa Uber, wanakanyaga breki kila muda...

Hao ni kuwapita na kuwaacha wakiendelea jikongoja...
 
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.

Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]

SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Mkuu usiwakumbushe,waendelee kufa nasi tuendelee kurithi mademu wao,na kazi ofkoz.
 
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.

Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]

SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.

Hao wote siku waje wajitumbukize kwenye ligi ya mtu mwenye hiki kigari.

Screenshot_2022-04-14-10-46-36-734_com.android.chrome.jpg


Nadhani watakuja wasimulie kitakachowapata.
 
Daah...
Ujumbe mzuri..

Lakini kupitwa na passo ya piston 3 iliyoibiwa masega (catalytic converter), hii ni dharau..[emoji2960][emoji2960][emoji85][emoji85]

Hapo hata mimi huwa nakaza, nampita, halafu namwacha aende zake..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mpaka unajua kameibiwa masega? Kweli hutaki dharau
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mpaka unajua kameibiwa masega? Kweli hutaki dharau
Iliyoibiwa masega, akikanyaga mafuta RPM ikafika 3 na kuendelea, unajua kabisa..
Inaliaa mlio flani kama exhaust iliyotoboka.[emoji1]
 
Back
Top Bottom