Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu hao utakuta gari Zina Bomba mbili za exhaust,Sasa anaona Raha kusikia zile kelele,zinampa jeuri ya kuendelea ligi barabarani🏃🏃🏃🏃🏃👨🏾🦯🤸Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Mie sina hizo gari hapo ila gari yangu huwa siendeshi kama convoy ya harusi na nachukia ukae mbele yangu uendeshe kama soccer mom!
Nikipata upenyo lazma nikuchane kwa ukali tu.
Kumbe rumion nazo zimekua sumbufu hapo mjini,ila hao wa rumion na i.s.t wanatia huruma,gari zao sio za kuzitia kwenye ligi kabisa!Ongeza na wa rumion
Bora ukutane na dereva daladala kuliko IST hawa watu muda wote hawajiamini hata kidogoHaaaaahaaa hasa wa IST wamekuwa na fujo sana barabarani siku hizi, sijui shida ni nini. Anyway ujumbe ni mzuri
Babuu!!! Huu ni uongo aisee watu WA rumion ni gentleman hatuna haraka za kishamba wala ligi za kijingaKumbe rumion nazo zimekua sumbufu hapo mjini,ila hao wa rumion na i.s.t wanatia huruma,gari sio za kuzitia kwenye ligi kabisa!
Sawa mzee wa rumion,nilishangaa tu rumion kuwekwa kwenye list ya ligi hakuna kingine mkuuBabuu!!! Huu ni uongo aisee watu WA rumion ni gentleman hatuna haraka za kishamba wala ligi za kijinga
Mkuu usiwakumbushe,waendelee kufa nasi tuendelee kurithi mademu wao,na kazi ofkoz.Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Hasa vile vilivyowekwa "snokel'.😆Ongeza na wa rumion
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Huku Kwa mjerumani huwa wanakuwa wapole Sana kwasababu wanajua ni sayari nyingine ya magariHao wote siku waje wajitumbukize kwenye ligi ya mtu mwenye hiki kigari.
View attachment 2186932
Nadhani watakuja wasimulie kitakachowapata.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mpaka unajua kameibiwa masega? Kweli hutaki dharauDaah...
Ujumbe mzuri..
Lakini kupitwa na passo ya piston 3 iliyoibiwa masega (catalytic converter), hii ni dharau..[emoji2960][emoji2960][emoji85][emoji85]
Hapo hata mimi huwa nakaza, nampita, halafu namwacha aende zake..
Iliyoibiwa masega, akikanyaga mafuta RPM ikafika 3 na kuendelea, unajua kabisa..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]mpaka unajua kameibiwa masega? Kweli hutaki dharau