Madereva wa subaru, IST, Alteza Na Cown sikieni

Madereva wa subaru, IST, Alteza Na Cown sikieni

Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.

Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]

SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Wanaosukuma IST wamezidi aisee, yani sijui shida ni nini.
 
Unakuta mwanaume anaendesha gari kama mtoto wa kike breki za kiboya boya kila mahali yani!

Nafasi ipo wazi badala atembee anapaka paka hina. Taa zimeruhusu anachati chati kiboya yani.

Ukimfata unaeza mbusu taconi akakuletea jam tu ya kijinga.
Kuna wanakera yan mtu anadrive km kabanwa haga kubwa bhana[emoji23][emoji23]
 
Unakuta mwanaume anaendesha gari kama mtoto wa kike breki za kiboya boya kila mahali yani!

Nafasi ipo wazi badala atembee anapaka paka hina. Taa zimeruhusu anachati chati kiboya yani.

Ukimfata unaeza mbusu taconi akakuletea jam tu ya kijinga.
Wale wenye kushika shika breki kila wakati huwa wanaboa sana

Ukimbusu matakoni ndo stahiki yake
 
Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.

Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]

SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Aliyekuunganishia ni yupi? Wa subaru, IST, alteza, crow au wote? Ungemsema aliyekuunganishia tu ingetosha, hao wengine umewaonea
 
Back
Top Bottom