Wanaosukuma IST wamezidi aisee, yani sijui shida ni nini.Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Unajuaje kama anashindana na wewe?Hapo unakuwa sahihi, lakini tunaongelea mtu ambaye kila anayempita anahisi anashindana nae....mtu anakufukuza kumbe wewe unawahi airport au una dharula ya mgonjwa...ila yeye anahisi kadharauliwa
Chukua 140i ya 2014.Hao wote siku waje wajitumbukize kwenye ligi ya mtu mwenye hiki kigari.
View attachment 2186932
Nadhani watakuja wasimulie kitakachowapata.
Havinywi mafuta unakanyaga hadi kibatiHaaaaahaaa hasa wa IST wamekuwa na fujo sana barabarani siku hizi, sijui shida ni nini. Anyway ujumbe ni mzuri
Chukua 140i ya 2014.
Kuna wanakera yan mtu anadrive km kabanwa haga kubwa bhana[emoji23][emoji23]Unakuta mwanaume anaendesha gari kama mtoto wa kike breki za kiboya boya kila mahali yani!
Nafasi ipo wazi badala atembee anapaka paka hina. Taa zimeruhusu anachati chati kiboya yani.
Ukimfata unaeza mbusu taconi akakuletea jam tu ya kijinga.
Kwa hizo kms hio gari lazma ije kula mtajiπHao wote siku waje wajitumbukize kwenye ligi ya mtu mwenye hiki kigari.
View attachment 2186932
Nadhani watakuja wasimulie kitakachowapata.
Kwa hizo kms hio gari lazma ije kula mtajiπ
Wale wenye kushika shika breki kila wakati huwa wanaboa sanaUnakuta mwanaume anaendesha gari kama mtoto wa kike breki za kiboya boya kila mahali yani!
Nafasi ipo wazi badala atembee anapaka paka hina. Taa zimeruhusu anachati chati kiboya yani.
Ukimfata unaeza mbusu taconi akakuletea jam tu ya kijinga.
ππUkiwakuta Nao Muda Wote Mbele Kama Tai Ya MsabatoKumbe rumion nazo zimekua sumbufu hapo mjini,ila hao wa rumion na i.s.t wanatia huruma,gari sio za kuzitia kwenye ligi kabisa!
ππππππ€£π€£π ππIliyoibiwa masega, akikanyaga mafuta RPM ikafika 3 na kuendelea, unajua kabisa..
Inaliaa mlio flani kama exhaust iliyotoboka.[emoji1]
Hahahahahah kigari kidunchu kina 3000cc mbona balaa!Hiyo gari ina engine ya N54 kitu kina Cc3000 Twin turbo....
Ikianza kusumbua lazima upate kisukari.....
Hatari sana,tunazipenda gari za kijapan ila kuna zingine sio za kuleta nazo ligi za ajabu ajabu barabarani kama hizo ... na ....... wenyewe wasije kunimeza kwa hasira πππUkiwakuta Nao Muda Wote Mbele Kama Tai Ya Msabato
Na hizo twin turbo kinaaccelerate kama Super Car.Hahahahahah kigari kidunchu kina 3000cc mbona balaa!
Kitakuwa chamoto sana vitu apendavyo 9.8ms squared hivyoNa hizo twin turbo kinaaccelerate kama Super Car.
Aliyekuunganishia ni yupi? Wa subaru, IST, alteza, crow au wote? Ungemsema aliyekuunganishia tu ingetosha, hao wengine umewaoneaMtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Acha tupambane tu.. hizo ndio gari sema mpunga kipengeleeeKitakuwa chamoto sana vitu apendavyo 9.8ms squared hivyo
Hahahahah sahizi kodi imesimama wimaπ ni balaa zito yani! Itabidi tuangalie namna ya kuweka supercharger tu kwenye toyota zetu.Acha tupambane tu.. hizo ndio gari sema mpunga kipengeleee