Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Tutaendelea kuwavua waaarabu wa masaki ili kupunguza makali.. ukiagiza tra ana wewe tuHahahahah sahizi kodi imesimama wima😂 ni balaa zito yani! Itabidi tuangalie namna ya kuweka supercharger tu kwenye toyota zetu.
Hahahahah ni kukaa nao vizuri tu mzee mwendo wa kuchukua mashine kwa bei kitonga maana TPA + TRA ni catastrophy😂Tutaendelea kuwavua waaarabu wa masaki ili kupunguza makali.. ukiagiza tra ana wewe tu
hatarai sanaaaHahahahah ni kukaa nao vizuri tu mzee mwendo wa kuchukua mashine kwa bei kitonga maana TPA + TRA ni catastrophy😂
Utachagua uchukue chuma kwa 18M kwa mwarabu au ukapigike TRA ulipe 40M😅hatarai sanaaa
Ila kwa safari ya zaidi ya kilometre 300 na kuendelea inayohitaji ujuzi wa kucheza na Mabasi na Malori ya masafa huwa wanapigwa hata na mtu wa Toyota Corolla XE ya 1995Hawa watu wanasumbua sana road madereva wa subaru, crown, alteza, bmw sedan yani wanapenda sana kuovertake na kuendesha kwa fujo.
Kuna gari ukiendesha automatically unakua na akili kama za bodaboda
Bora cha mwarabu cha 18m AISEEUtachagua uchukue chuma kwa 18M kwa mwarabu au ukapigike TRA ulipe 40M😅
HahahahahBora cha mwarabu cha 18m AISEE
Kwa BMW huwa nashauri watu waanze kununua zenye engine ya B58 na S58 kama uwezo upo.Hiyo gari ina engine ya N54 kitu kina Cc3000 Twin turbo....
Ikianza kusumbua lazima upate kisukari.....
Uzuri engines za B58 na S58 zina the best fuel consumption haijalishi ni za 3l.Hahahahahah kigari kidunchu kina 3000cc mbona balaa!
aah,Mimi Nina vitz,hata crown ikunipita natulia,namvizia na Mimi nimuonje kidogo,Sasa balaa lake nikisha mpita dah,utafikiri tupo kwenye need for speed game[emoji17]Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
kwaa Nini alteza inahusishwa na vurugu vurugu,team Alteza kila mada ya vurugu za road atukosi kutajwa.
🤣🤣Hahaa Mkuu hao jamaa huwa hawataki uwapite, ukimpita tu anakuungia ili aje akupite, kumpita maana yake anaona umemdharau, kumbe kila mtu na ratiba zake[emoji3]
Asavali hukututaja sisi wa RAUM; ila kiukweli huwa sifurahi ku-drive nyuma ya mtu.Mtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Mkuu, mtu asiye na hela ni mtu ganiWatu tusio na hela stress zetu hua tunamalizia kwenye vitu vya hovyo sana..
Kwa BMW huwa nashauri watu waanze kununua zenye engine ya B58 na S58 kama uwezo upo.
Makosa yote ya N series engines yamezalisha B series na S series.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtu anaeendesha IST, halafu akiona RAUM mbele yake anaanza kutimua mambio kutaka kuiovateki. Akisha iovateki anasikia raaaha anajiona na yeye anamiliki "mashine". Tena anaenda kuhadithia kabisa "nimemkata jamaa kama amesimama, hajaniona tena..." 🤣🤣Mkuu, mtu asiye na hela ni mtu gani
YESU NI BWANA
Mimi nikikupita ukaniungia jiandae kupeleka gari gereji au wewe mwenyewe kupelekwa gereji. Au ndugu zako wataiuza skrepa.Hahaa Mkuu hao jamaa huwa hawataki uwapite, ukimpita tu anakuungia ili aje akupite, kumpita maana yake anaona umemdharau, kumbe kila mtu na ratiba zake[emoji3]