B58 ni BMW ya kuanzia 2015 na hio S58 ni ya kuanzia 2019...Uzuri engines za B58 na S58 zina the best fuel consumption haijalishi ni za 3l.
Nguvu ipo ya kutisha. B58 zinaanzia 350hp na S58 zinaanzia 510hp.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah.B58 ni BMW ya kuanzia 2015 na hio S58 ni ya kuanzia 2019...
Wengine waliongezeka hao....Ongeza na wa rumion
Hivi kwa mfano ist hv ni nini kinawapa kibri au mie sielewi au ni kubwa Sana kwa ndani au inatwin turbo au zinaengine ya Maserati Kuna mmoja alituovertake anafukuzana na Ford rangerMtu aki kuovertake, ame kuovertake kwa haraka zake, Hajakudharau, Hajaovertake safari Yako ni Gari Yako Ndio Kaipita, Punguzeni Ligi barabarani.
Dhana kwamba Mtu akikupita Amekuzidi, au gari yako haina speed Achaneni Nayo. Mimi Nakimbia Traffic Mtu kaniungia balaa Mpaka tumefikishana Mbali[emoji3][emoji3]
SalamAleikum...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
A peaceful Reminder tu Jaman msirushe Ngumi.
Njoo Zenji uone madereva wazembe, Barabara ya kupita gari mbili basi anakaa katikati ya barabara halafu pia hakupishi.Unakuta mwanaume anaendesha gari kama mtoto wa kike breki za kiboya boya kila mahali yani!
Nafasi ipo wazi badala atembee anapaka paka hina. Taa zimeruhusu anachati chati kiboya yani.
Ukimfata unaeza mbusu taconi akakuletea jam tu ya kijinga.
Hao wanaita wenzao machogo wana shida sanaNjoo Zenji uone madereva wazembe, Barabara ya kupita gari mbili basi anakaa katikati ya barabara halafu pia hakupishi.
Kwani barabara ni yako, mpaka usipitwe sababu eti ulimpita.MMimi
Mimi nikikupita ukaniungia jiandae kupeleka gari gereji au wewe mwenyewe kupelekwa gereji. Au ndugu zako wataiuza skrepa.
Ni watani, mmoja kichogo mmoja urojiHao wanaita wenzao machogo wana shida sana
Subaru forester umeuza?Mie sina hizo gari hapo ila gari yangu huwa siendeshi kama convoy ya harusi na nachukia ukae mbele yangu uendeshe kama soccer mom!
Nikipata upenyo lazma nikuchane kwa ukali tu.
Hahahah ndio maanakeSubaru forester umeuza?
Hivi hapa mjini kuna gari ambayo haijawahi kuibiwa masega kweli πDaah...
Ujumbe mzuri..
Lakini kupitwa na passo ya piston 3 iliyoibiwa masega (catalytic converter), hii ni dharau..[emoji2960][emoji2960][emoji85][emoji85]
Hapo hata mimi huwa nakaza, nampita, halafu namwacha aende zake..
Na wengi wao ni madereva wapya hawajui magari,mjuaji gari hawezi kuanzisha ligi na subaru lenye turbo halafu yeye akiwa na ka I.S.TππUkiwakuta Nao Muda Wote Mbele Kama Tai Ya Msabato
Chief ulishindwa kusema una premio ππMie sina hizo gari hapo ila gari yangu huwa siendeshi kama convoy ya harusi na nachukia ukae mbele yangu uendeshe kama soccer mom!
Nikipata upenyo lazma nikuchane kwa ukali tu.
Kata simu kata simu tuko site π€£π€£π€£Chief ulishindwa kusema una premio ππ
Najua hupendi forester kwasababu ya ile driver's seatKata simu kata simu tuko site π€£π€£π€£
Hahahah kweli mzee gari ambayo inakupa manjonjo kama forester ni Crown kwa sasa. Ukienda SUV way unachagua Vanguard au Rav 4Najua hupendi forester kwasababu ya ile driver's seat
Ila hakuna gari mid SUV affordable na inayokupa vtu vingi zaidi ya forester..
Good design
Stability
Comfortability
Spacious
Kama kuna gari nyingine ntajie nzuri zaidi ya hyo
Van guard sio chini ya million 25 chiefHahahah kweli mzee gari ambayo inakupa manjonjo kama forester ni Crown kwa sasa. Ukienda SUV way unachagua Vanguard au Rav 4