Madereva wengine nane wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya baada ya kugunduliwa kuwa na Corona

Madereva wengine nane wa Tanzania wazuiwa kuingia Kenya baada ya kugunduliwa kuwa na Corona

Wakati leo madereva wengine nane (8) wa malori wakikutwa na COVID 19 mpakani Namanga wakitokea Tanzania, naibu waziri wa afya Kenya bi Mercy Mwangangi ametoa wito kwa wakenya waishio mpakani na Tanzania kuanzisha ulinzi shirikishi wa nyumba 10 kubaini watakaoingia nchini humo kupitia njia za panya.

Jana kuna video niliona mtanzania akikokotwa na polisi wa Kenya kurudishwa Tanzania huku akiambulia kipigo. Musiende kwa wenzenu hawawataki. Huku nchi yenu ikiwa haifanyi jitihada zinazokubalika kitaalam kuzuia kuenea kwa ugonjwa huu bado mnaonekana nyinyi ni tatizo sugu la kusambaa kwa COVID 19 kwa majirani zenu.

Kiongozi wenu kajificha chato, anawaambia chapa kazi
 
Nakukubali Sana MK254, nakukaribisha Tanzania 🇹🇿 uje ugombee Urais. Aliyekalia kiti katuacha kwenye mataa🚦🚦🚦🚦🚦🚦🚦

Hehehe!! Huko mnalo, tena miaka ijayo mitano halafu hapo haujahesabu kumi ya Bashite da prince maana nionavyo yeye ndiye mwenye ubavu wa kuchukua baada ya mkulu wa sasa kukamilisha hatamu yake.

Upinzani wenyewe ndio kama hivyo, mshavurugana na kusambaratika. Hehehe! Huwa mara moja moja napitia video za Musiba, jamaa sasa hivi anachekelea sana upinzani walivyopoteana.

Lakini Tz nahisi mkimpa yule huwa mnamuita professa wa jalalani mnaweza mkatoka, pamoja na mimate yake huwa naona akiongea pointi sana, yuko freshi amekula vitabu vya historia, sheria na uchumi vizuri. Huwa namfatilia mara moja moja.
 
MK254,

I told joto la jiwe that Tanzania is lucky to have a good neighbor like Kenya. We are doing tests for them in their own land something no African country can't do without the permission of the local authority. They should add those 31 cases to their national tally.
their lab was closed! just imagine that for a moment....

IMG_20200514_195330.jpg
 
Mkuu, huku Tanzania wengi tuna corona, ila tumechagua kuishi kama Sweden, na hata boss mmoja wa WHO leo amekiri kuwa ndio njia nzuri zaidi.
Bado sana ndugu yangu tusijipe moyo tupo milioni 57 ikifikisha angalau million moja tu Kuna hatari ya kukipata chamoto , yote kwa yote tumwombe Mungu atuepushe na baya lolote kama kweli litakuja mbele yetu maana Italy walikuwa wabishi hivi hivi by January na ilipofika March nadhani kila mtu anajua.
 
Kuna tatizo mahali haiwezekani madereva wote hao kukutwa na maambukizi, serikali ya Tanzania irudie kuwapima.
 
Remember in the whole country they only have 8 technicians that are capable of testing the disease.
Full of shit, first of all the lab is not closed and we are still testing but we don't announce how many positive cases, and the most of all we have thousands of technicians but we only have 8 labs for testing Corona, not other diseases which every hospital have a lab for testing. You Kenyans really wish the worse for us so you can feel better with your shit hole.
 
Kumbe unatoka zenj...sishangai
Kwa sasa huwezi kuitenganisha Tz na Corona. Corona imeifanya Tanzania kama nyumbani, na Tanzania imeridhika na Corona. Na maisha yanakwenda fresh, kila mtu yuko busy na mambo yake akipambana na hali yake. Kwa sasa hata utamaduni wa kunawa mikono na kuvaa barakoa umeshaanza kupotea kwa kasi na muda sio mrefu huenda ukafutika kabisa Tanzania.

Yote kwa yote, watu wanazidi kuambukizwa kimya kimya, wengine wanadondoka mmoja mmoja bila kutangazwa popote. Siku tukija kushtuka tutakuwa tumechelewa sana.

Hapa Kazi tu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro...Mambo mengine tumwachiage Mungu tumwambie Baba hili hatuwezi...Mungu anasikia.Hakuna dhambi kumwambia Mungu kwamba huku kwetu Africa hatuna kimbilio Ila ni wewe Baba....kujilinganisha na Sweden au Somalia, au nchi yoyote haitusaidii....Kama kuchukua tahadhar watu wameshachukua Sana but wapi...bilabila....Tumlilie Mungu atuponye.Lockdown, takwimu data, haieaidii kitu...hata ukiambiwa leo Tanzania wamekufa 190009999000....itakusaidia nini? Acha niende zangu kwenye mkesha kanisani kwetu
Hamuwezi mkajilinganisha na Sweden maana wao wanapima na kutoa taarifa, nyie mumejichokea tayari. Kwa sasa Sweden
Vifo 3,256
Waathirika: 26,000
Halafu idadi yao ni 10,090,825 nchi yote, yaani kama mikoa miwili ya Tanzania

Uchumi wao mara kumi ya Tanzania, inawapa jeuri ya kuhakikisha wanajilinda hata wakiachiwa, sasa makajamba wa Manzense na umaskini wao utawaachia waambukizane watamalizana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Full of shit, first of all the lab is not closed and we are still testing but we don't announce how many positive cases, and the most of all we have thousands of technicians but we only have 8 labs for testing Corona, not other diseases which every hospital have a lab for testing. You Kenyans really wish the worse for us so you can feel better with your shit hole.
Hebu list hizo 8 labs na utuambie ni ipi iliofungwa ili kukagua mashine.
 
Kuna tatizo mahali haiwezekani madereva wote hao kukutwa na maambukizi, serikali ya Tanzania irudie kuwapima
Serikali ya Tz iweke kituo cha kupima madereva Namanga upande wa Tz ili akikutwa anao data zifichwe kama kawaida. Vinginevyo Kenya itaendelea kuwafichua na kuwatangaza wala msilalamike au yote kwa yote mipaka ifungwe watu wakae kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom