Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Big up kwa wale wanandoa wote ambao hata kama walikutana ofisi moja lakini wakaamua kujiongeza na mmojawapo kuhama ili kuondoa madhara jumuishi...!

Na ni afadhali mkawa wote level moja kuliko mmoja akawa boss ambapo utakapokosea kwenye vikao vya nidhamu na kuwajibishana... Mke/mume wako uliyelala naye jana kitanda kimoja shuka moja ndiye anayetakiwa kukuwajibisha ama kusaini nyaraka zako zitakazokukaanga

Hii pia inahusu michepuko sehemu za kazi
Penzi kitovu cha uzembe na maanguko mengi sehemu za kazi.. Sisi si wa kwanza, tuliyaona kwa Babu yetu Samson kwa Delillah.. Tuliyaona pia kwa babu yetu Ngoswe.. Tuliyaona mengi tu pia kwa mabosi wa makampuni mengi

Wenza wa wajumbe wa kamati kuu nfani ya CHADEMA ambao ni sehemu ya covid 19 wameshababisha mtanziko mkubwa sana ndani ya chama.. Kwakuwa waliweza kutumiwa na kutumika vilivyo na wapinzani na maadui nje ya chama

Kumekuwa na mgongano mkubwa wa maslahi kati ya hawa wenza na waume zao hasa kwenye maamuzi ya hatima yao ndani ya chama

Kwa kosa hili kubwa tujifunze na kuapa kutolirudia tena
Mapadri hawaruhusiwi kuoa ili wasiwe na attachment yoyote ya kihisia ili aweze kuwatumikia wote kwa usawa!
 
Big up kwa wale wanandoa wote ambao hata kama walikutana ofisi moja lakini wakaamua kujiongeza na mmojawapo kuhama ili kuondoa madhara jumuishi...!
Na ni afadhali mkawa wote level moja kuliko mmoja akawa boss ambapo utakapokosea kwenye vikao vya nidhamu na kuwajibishana... Mke/mume wako uliyelala naye jana kitanda kimoja shuka moja ndiye anayetakiwa kukuwajibisha ama kusaini nyaraka zako zitakazokukaanga
Hii pia inahusu michepuko sehemu za kazi
Penzi kitovu cha uzembe na maanguko mengi sehemu za kazi.. Sisi si wa kwanza, tuliyaona kwa Babu yetu Samson kwa Delillah.. Tuliyaona pia kwa babu yetu Ngoswe.. Tuliyaona mengi tu pia kwa mabosi wa makampuni mengi
Wenza wa wajumbe wa kamati kuu nfani ya CHADEMA ambao ni sehemu ya covid 19 wameshababisha mtanziko mkubwa sana ndani ya chama.. Kwakuwa waliweza kutumiwa na kutumika vilivyo na wapinzani na maadui nje ya chama
Kumekuwa na mgongano mkubwa wa maslahi kati ya hawa wenza na waume zao hasa kwenye maamuzi ya hatima yao ndani ya chama
Kwa kosa hili kubwa tujifunze na kuapa kutolirudia tena
Mapadri hawaruhusiwi kuoa ili wasiwe na attachment yoyote ya kihisia ili aweze kuwatumikia wote kwa usawa!
Kigaila &mwalimu waione hii
 
Ukifatilia vizuri Mahusiano kazini ni jambo ambalo ni Unkwepable.. kazini kuna vishawishi sana utakaza weee ila mara paap kaja Intern, hujakaa sawa kaja mtoto wa Field, khee umekaza wee kaja Secretary mpya... umekaza Moyo imekuja Pisi ya Bank kuomba kufanya Gazebo hapo.. haya umepindua imekuja Pisi kuulizia kazi hata ya kujitolea tu na anakulazimisha umpe namba...😒
 
Huyu wangu alivyokuwa na wivu alikuwa hataki nicheke na wowote🤣🤣🤣 vikao vikianza natumiwa msg 'kaa kimya usichangie hovyo'🤣🤣🤣

Kuna siku akaja jamaa akasema kumwambia ofisi ina watoto wakali, akanipoint cheki yule dada alivyo na macho mazuri🤣🤣🤣 Alipigwa jicho hilooo.....sa hivi nashukuru tupo sehemu tofauti.
 
Huyu wangu alivyokuwa na wivu alikuwa hataki nicheke na wowote🤣🤣🤣 vikao vikianza natumiwa msg 'kaa kimya usichangie hovyo'🤣🤣🤣

Kuna siku akaja jamaa akasema kumwambia ofisi ina watoto wakali, akanipoint cheki yule dada alivyo na macho mazuri🤣🤣🤣 Alipigwa jicho hilooo.....sa hivi nashukuru tupo sehemu tofauti.
🤣🤣🤣🤣jamaa atakuwa alimwaribia kabisa siku yake
 
Huyu wangu alivyokuwa na wivu alikuwa hataki nicheke na wowote🤣🤣🤣 vikao vikianza natumiwa msg 'kaa kimya usichangie hovyo'🤣🤣🤣

Kuna siku akaja jamaa akasema kumwambia ofisi ina watoto wakali, akanipoint cheki yule dada alivyo na macho mazuri🤣🤣🤣 Alipigwa jicho hilooo.....sa hivi nashukuru tupo sehemu tofauti.
😂 wivu mbaya sana
 
Huyu wangu alivyokuwa na wivu alikuwa hataki nicheke na wowote🤣🤣🤣 vikao vikianza natumiwa msg 'kaa kimya usichangie hovyo'🤣🤣🤣

Kuna siku akaja jamaa akasema kumwambia ofisi ina watoto wakali, akanipoint cheki yule dada alivyo na macho mazuri🤣🤣🤣 Alipigwa jicho hilooo.....sa hivi nashukuru tupo sehemu tofauti.
Wivu Mama wivu.....wivuuu, anaulinda wake moyo
 
Ukifatilia vizuri Mahusiano kazini ni jambo ambalo ni Unkwepable.. kazini kuna vishawishi sana utakaza weee ila mara paap kaja Intern, hujakaa sawa kaja mtoto wa Field, khee umekaza wee kaja Secretary mpya... umekaza Moyo imekuja Pisi ya Bank kuomba kufanya Gazebo hapo.. haya umepindua imekuja Pisi kuulizia kazi hata ya kujitolea tu na anakulazimisha umpe namba...😒
Bado hakuna kishawishi hapo
 
Huyu wangu alivyokuwa na wivu alikuwa hataki nicheke na wowote🤣🤣🤣 vikao vikianza natumiwa msg 'kaa kimya usichangie hovyo'🤣🤣🤣

Kuna siku akaja jamaa akasema kumwambia ofisi ina watoto wakali, akanipoint cheki yule dada alivyo na macho mazuri🤣🤣🤣 Alipigwa jicho hilooo.....sa hivi nashukuru tupo sehemu tofauti.
😂😂😂😂😂
 
Huyu wangu alivyokuwa na wivu alikuwa hataki nicheke na wowote🤣🤣🤣 vikao vikianza natumiwa msg 'kaa kimya usichangie hovyo'🤣🤣🤣

Kuna siku akaja jamaa akasema kumwambia ofisi ina watoto wakali, akanipoint cheki yule dada alivyo na macho mazuri🤣🤣🤣 Alipigwa jicho hilooo.....sa hivi nashukuru tupo sehemu tofauti.
😂😂
 
Back
Top Bottom