Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una moyo sana.. Ila sidhani kama unanifikia au unanizidiπUkitaka uharibu Ofisi, hasa kwa wewe ukiwa ni Mkuu wa hiyo Taasisi/kitengo basi anza kuwa na mahusiano ya kingono na wasaidizi wako.
Na hata kwenye biashara binafsi ukisha anza kutembea na wateja wako, ndiyo mwanzo wa kufirisika/kuitia najisi biashara.
Sijawahi kuanzisha mahusiano ofisini, japo zimewahi kuletwa PisiKali zinijaribu
Nashukuru Mungu sikuwahi kuanguka kwenye ile mitego π
ππππKama ulimfokea kwenye kikao anajifanya mjinga. Ila baadaye anakufuata ofisini anakwambia, kwa hiyo pale ulijiona mjanja! Utamwambia hii kazi bwana! (huku unaendelea kutumia computer) Anakuzungukia hapo hapo anakuja kukukalia kabisa ili hata hiyo kompyuta usitumie.
Unajikuta unasema, hapa pana kazi kweli! Anasema ndio sijui mwenyewe sasa!
Hapo sasa unaachia mouse unaanza kushika chuchu, lakini akili inakwambia unamkumbuka bwana mkubwa wa Guinea!
Yaani ulikuwa unaenda kuharibu kazi yako hivi hivi π πππππ’ππππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏ
Ah utashi wakontuu mwanawane..mbona sie bodaboda tunadinya wateja wetu na maisha yanaenda tuu tena unaletewa hadi hotpot ya ubwabwa uleUkitaka uharibu Ofisi, hasa kwa wewe ukiwa ni Mkuu wa hiyo Taasisi/kitengo basi anza kuwa na mahusiano ya kingono na wasaidizi wako.
Na hata kwenye biashara binafsi ukisha anza kutembea na wateja wako, ndiyo mwanzo wa kufirisika/kuitia najisi biashara.
Sijawahi kuanzisha mahusiano ofisini, japo zimewahi kuletwa PisiKali zinijaribu
Nashukuru Mungu sikuwahi kuanguka kwenye ile mitego π
Nilikuja kujua miaka minne baadaye kwamba wale mabinti nililetewa ili kunipimaUna moyo sana.. Ila sidhani kama unanifikia au unanizidiπ
Ukiwa Afisa usafirishaji(Bodaboda) na unapenda kudinya wateja wako, kuna hatari za kutofikisha malengoAh utashi wakontuu mwanawane..mbona sie bodaboda tunadinya wateja wetu na maisha yanaenda tuu tena unaletewa hadi hotpot ya ubwabwa ule
Ah wee wapenzi unabeba bure lakini sii unafidia huku kwenye kupewa ubwabwa bure mzeya au kutunukiwa mbusuusu ambapo ungelazimika kuilipia lakini wee waila bure bure kwa hizo lift unazompa.Ukiwa Afisa usafirishaji(Bodaboda) na unapenda kudinya wateja wako, kuna hatari za kutofikisha malengo
Kwa maana hutakuwa ukilipwa nauli kwenye hizo safari utakazokuwa unawabeba wapenzi wako
Pili hutafanikiwa kuwa na maendeleo kama walivyo Bodaboda wengi
Utajikuta umefika floor ya 40 huna hata Kiwanja cha kusema ujenge makazi π
niite raisi wa ma jobless pro maxSalama umeamkaje mfanyabiashara?
Unawasaidiaje majobless kupata mbususuniite raisi wa ma jobless pro max
Unaweza kukataa kujenga njiani (Duniani) halafu ukapewa zawadi ya kuishi umri wa hayati Mzee Mwinyi (miaka 98)Ah wee wapenzi unabeba bure lakini sii unafidia huku kwenye kupewa ubwabwa bure mzeya au kutunukiwa mbusuusu ambapo ungelazimika kuilipia lakini wee waila bure bure kwa hizo lift unazompa.
Kujenga njiani sio kitu kizuri, dunia tunapita
Licha ya kutofika malengo, Kuna magonjwa ya zinaa, nuksi na mikosi pia.Ukiwa Afisa usafirishaji(Bodaboda) na unapenda kudinya wateja wako, kuna hatari za kutofikisha malengo
Kwa maana hutakuwa ukilipwa nauli kwenye hizo safari utakazokuwa unawabeba wapenzi wako
Pili hutafanikiwa kuwa na maendeleo kama walivyo Bodaboda wengi
Utajikuta umefika floor ya 40 huna hata Kiwanja cha kusema ujenge makazi π
watumie midomo yao vizuri, mbona mabinti wapo.Unawasaidiaje majobless kupata mbususu
Nyumba zKuoanga zipo tuu muhimu hela uwe nayoUnaweza kukataa kujenga njiani (Duniani) halafu ukapewa zawadi ya kuishi umri wa hayati Mzee Mwinyi (miaka 98)
Huoni usumbufu utakaopata kabla hujafa π
Umesema sahihi MkuuLicha ya kutofika malengo, Kuna magonjwa ya zinaa, nuksi na mikosi pia.
Lakini pia una weka usalama wako mashakani, kwani hao wateja wengi Wana weza kuwa wake au wachumba za watu.
Uki shikwa Wana kufanya mfano.
Halafu uta dinya wangapi??, ni ushamba tu wa vijana
Mkuu si kwa ubaya, ila toka ukoo uanze, sija Soma historia yetu kusikia tume oa mtumishi.Ngoja nilipeleke hili kwenye Ukoo wetu pia.
Umewahi kumuona Bodaboda mwenye miaka 60?Nyumba zKuoanga zipo tuu muhimu hela uwe nayo