Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Mapenzi kazini ni mabaya sana ilikuwa mwaka juzi nilikuwa nafanya kazi ofisi fulani jina kapuni, nilipoanza kazi tu kuna dada singo maza alikuwa ananielewa sana mpaka baadhi ya staff wakajua, mengineyo yakafuata.

Ikatokea nafasi ya kazi mtu mmoja nikampambania dada mmoja tulishawahi kushare miili yetu(hatujawahi kuwa siriazi kimahusiano, nae ni singo maza) akapata ile nafasi , ee bwana eeh nilitamani niache kazi sijui hawa watu wawili walitambuanaje ila nilibaini kitu mapema kabisa baada ya huyu kuanza kazi, wivu wao ni shida muda wa lunch ilikuwa ni wakati mgumu kila mmoja anataka niambatane nae na wao haziivi kabisa.

Kuna siku moja huyu niliemtafutia nafasi akaniambia "baba naona ulinipambania ili nije nione kidemu chako na hakijanizidi chochote tofauti na ujinga", mimi kimya. Akaendelea kulalamika akisema simjibu namkalia kimya kwa sababu kuna naongea nae na kumjibu, mimi kimya hadi natoka kwenye ile ofisi nilijisemea sitokuja kuwa na mahusiano sehemu napofanya kazi, utulivu wa kufanya kazi unapungua sana.
 
Huyu wangu alivyokuwa na wivu alikuwa hataki nicheke na wowote🤣🤣🤣 vikao vikianza natumiwa msg 'kaa kimya usichangie hovyo'🤣🤣🤣

Kuna siku akaja jamaa akasema kumwambia ofisi ina watoto wakali, akanipoint cheki yule dada alivyo na macho mazuri🤣🤣🤣 Alipigwa jicho hilooo.....sa hivi nashukuru tupo sehemu tofauti.
Tuambie na raha uizopata kama vile kudinyana kwa photocopy machie ya ofisini
 
Mapenzi kazini ni mabaya sana ilikuwa mwaka juzi nilikuwa nafanya kazi ofisi fulani jina kapuni, nilipoanza kazi tu kuna dada singo maza alikuwa ananielewa sana mpaka baadhi ya staff wakajua, mengineyo yakafuata.

Ikatokea nafasi ya kazi mtu mmoja nikampambania dada mmoja tulishawahi kushare miili yetu(hatujawahi kuwa siriazi kimahusiano, nae ni singo maza) akapata ile nafasi , ee bwana eeh nilitamani niache kazi sijui hawa watu wawili walitambuanaje ila nilibaini kitu mapema kabisa baada ya huyu kuanza kazi, wivu wao ni shida muda wa lunch ilikuwa ni wakati mgumu kila mmoja anataka niambatane nae na wao haziivi kabisa.

Kuna siku moja huyu niliemtafutia nafasi akaniambia "baba naona ulinipambania ili nije nione kidemu chako na hakijanizidi chochote tofauti na ujinga", mimi kimya. Akaendelea kulalamika akisema simjibu namkalia kimya kwa sababu kuna naongea nae na kumjibu, mimi kimya hadi natoka kwenye ile ofisi nilijisemea sitokuja kuwa na mahusiano sehemu napofanya kazi, utulivu wa kufanya kazi unapungua sana.
Jamani wekeni na benefits za kuwana wapenzi ofisini...haiwezekani kitu kikawa negative tuu.
Ata ukimwi una faida ya kupunguza msongamano wa watu duniani na kiwapa wengine ajira.
 
Mimi alipojaa tu kwenye mfumo akaanza kuchelewa kazini na ku dogde bila sababu za msingi.. Na mimi ndio nilikuwa nasimamia nidhamu.. Hakuna rangi niliacha kuona🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Ngoswe penzi kitovu cha uzembe part II by Mshana Jr 😜🙌
 
Ukitaka uharibu Ofisi, hasa kwa wewe ukiwa ni Mkuu wa hiyo Taasisi/kitengo basi anza kuwa na mahusiano ya kingono na wasaidizi wako.

Na hata kwenye biashara binafsi ukisha anza kutembea na wateja wako, ndiyo mwanzo wa kufirisika/kuitia najisi biashara.

Sijawahi kuanzisha mahusiano ofisini, japo zimewahi kuletwa PisiKali zinijaribu

Nashukuru Mungu sikuwahi kuanguka kwenye ile mitego 🙏
 
Jamani wekeni na benefits za kuwana wapenzi ofisini...haiwezekani kitu kikawa negative tuu.
Ata ukimwi una faida ya kupunguza msongamano wa watu duniani na kiwapa wengine ajira.
Najionea tabu tupu😂
 
Back
Top Bottom