Unataka kuwa Baltazar wa BongoMwee mbususu siwachi aisee wala kupunguza. Hiyo ndio raha ya dunia mwanawane hakuna raha nyingine
Hahaha.......... kwamba ukipiga moja inaenda kuleta mwenzake π πThe best advice ever.. Ila mbusu
The best advice ever! Shida ni kwamba zina tabia ya kualikanaπ
Aisee, ila we Jamaa kwa asiye kuelewa ana weza asi jue una fanya mockery π€£π.50 sii keshokutwa tuu mzee am 46
Ukitaka uharibu Ofisi, hasa kwa wewe ukiwa ni Mkuu wa hiyo Taasisi/kitengo basi anza kuwa na mahusiano ya kingono na wasaidizi wako.
Na hata kwenye biashara binafsi ukisha anza kutembea na wateja wako, ndiyo mwanzo wa kufirisika/kuitia najisi biashara.
Sijawahi kuanzisha mahusiano ofisini, japo zimewahi kuletwa PisiKali zinijaribu
Nashukuru Mungu sikuwahi kuanguka kwenye ile mitego π
Hahaha..........na akija msichana ambaye sio mgumu kutoaIla Ngono kwenye ofisi za bongo ni kama Sukari na Chai. Huwa nawahurumia sana, watoto wa kike ambao ni wazuri sanaa maana hao vita zao ni kubwa sana
Japo kuna siku tulikuwa na pisi kali kama nne kwenye interviews, jamaa wa ile NGOs walikuwa wanapita pita maana tulipokaa ni pembani ya reception area. Kuna mmoja alishindwa kujizuia akaongea kwa nguvu
"Wanaume tumeshajaa kwenye hii kampuni, tuleteeni hizo pisi kali"
Hatari πKuna kararufu fulani unabaki nako hivyo ukipita penye nyingine zinakuwa na nguvu ya uvutanoπ
Ndivyo inavyokuwa mara nyingi unless mtoto wa kike awe anajitambua sana na kama akiamua kujiachia, bhasi atoke na boss. Wengine waoga watakaa pembeni, ving'ang'anizi watakomaa sana lakini mwisho huwa sio mzuri.Hahaha..........na akija msichana ambaye sio mgumu kutoa
Atajikuta Ofisi nzima mmepita naye
Maana Wanaume baadhi huwa na kawaida ya kuambizana kwamba pale Maji mara moja, kama maharage ya Mbeya
Demu kuja kujishtukia, ameshagawa utamu Kwa watu wote wa Ofisi na hakuna mwenye time naye tena π π
Hebu cheki mali Kama hii, halafu awe salama.Ila Ngono kwenye ofisi za bongo ni kama Sukari na Chai. Huwa nawahurumia sana, watoto wa kike ambao ni wazuri sanaa maana hao vita zao ni kubwa sana
Japo kuna siku tulikuwa na pisi kali kama nne kwenye interviews, jamaa wa ile NGOs walikuwa wanapita pita maana tulipokaa ni pembeni ya reception area. Kuna mmoja alishindwa kujizuia akaongea kwa nguvu
"Wanaume tumeshajaa kwenye hii kampuni, tuleteeni hizo pisi kali"
Hapo solution ni kuachana na mahusiano mahali pa kaziNdivyo inavyokuwa mara nyingi unless mtoto wa kike awe anajitambua sana na kama akiamua kujiachia, bhasi atoke na boss. Wengine waoga watakaa pembeni, ving'ang'anizi watakomaa sana lakini mwisho huwa sio mzuri.
Kuna watu baadhi waliachishwa kazi kwa kufukuzia mali ya boss na wanajuta.
Na hilo likitokea na haswa kama hiyo mali ni secretary, hakuna rangi mtaacha kuona kwa wafanyakazi mliobakia. Japo hii hupelekea watu kufikisha taarifa kwa mke wa boss ili kukomoa na drama zinakuwa nyingi
Kiufupi mahusiano ya seniors na juniors huwa hayana mwisho mzuri makazini
Hapo ni kumuomba Mungu akupe Hekima za kukiruka hiko kiunzi
Hahaha...........hiyo ni hatari πHalafu hata kama hutaki siku hiyo zitajileta tuuπ
pamoja na maelezo, uchambuzi, ufafanunuzi, onyo, tahadhari na angalizo la maana sana kwa wadau wa JF na jamii nzima kwa ujumla,Big up kwa wale wanandoa wote ambao hata kama walikutana ofisi moja lakini wakaamua kujiongeza na mmojawapo kuhama ili kuondoa madhara jumuishi...!
Na ni afadhali mkawa wote level moja kuliko mmoja akawa boss ambapo utakapokosea kwenye vikao vya nidhamu na kuwajibishana... Mke/mume wako uliyelala naye jana kitanda kimoja shuka moja ndiye anayetakiwa kukuwajibisha ama kusaini nyaraka zako zitakazokukaanga
Hii pia inahusu michepuko sehemu za kazi
Penzi kitovu cha uzembe na maanguko mengi sehemu za kazi.. Sisi si wa kwanza, tuliyaona kwa Babu yetu Samson kwa Delillah.. Tuliyaona pia kwa babu yetu Ngoswe.. Tuliyaona mengi tu pia kwa mabosi wa makampuni mengi
Wenza wa wajumbe wa kamati kuu nfani ya CHADEMA ambao ni sehemu ya covid 19 wameshababisha mtanziko mkubwa sana ndani ya chama.. Kwakuwa waliweza kutumiwa na kutumika vilivyo na wapinzani na maadui nje ya chama
Kumekuwa na mgongano mkubwa wa maslahi kati ya hawa wenza na waume zao hasa kwenye maamuzi ya hatima yao ndani ya chama
Kwa kosa hili kubwa tujifunze na kuapa kutolirudia tena
Mapadri hawaruhusiwi kuoa ili wasiwe na attachment yoyote ya kihisia ili aweze kuwatumikia wote kwa usawa!
Ni matatizo aisee, huyo namfungia ndaniπOfisi kama hii naacha kazi kwa notice ya masaa 12