Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
HahahaThis is a very fine fine woman...look at that smile....dah wazee wa maofisini wanaenjoy sana jamani. Sasa totoz hili ukishika huonupaja alafu umuinamishe kwa desk lako sii full burudani.
Au akutumie text "am not wearing any pantys and am about to pass by ur office." Na ofisi yako ni ful glass maana wee ndio head of department hapo.
Acheni utani lazima mapenzi kazini yashamiri. Tena mie kama head of department nasema kabisa friday we enjoy with ur work wives
Huo ufanisi unapunguaje jamani? Kwani muda wote mnadinyana?Kupiga Co workers tena Upo nao Ofisi Moja Ni Ujuha wa hali ya Juu mana hapo Nikutafuta Burden zisizo na msingi wakati street totoz za Kumwaga Moja ya Vitu Siwezi jaribu ni kudate na Wafanyakazi wangu mana ita Compromise na Efficiency na Utashindwa Kusimamia Nidhamu, Afu unavuaje nguo ovyo ovyo aisee kwa wafanyakazi
Maticha mnavyokulana humo skuli hatariHakuna kazi itafanyika
Nimewai shuhudia mahali hii π π sehemu ya kazi, Mme ana uwezo mzuri sana wa kuwajibisha wengine lakini si mke wake akitenda kosa lile lileπππwakati mwingine Mke nae hujiona Boss mme akiwa Boss hii husababisha anguko kubwa kwa wote wawili.Big up kwa wale wanandoa wote ambao hata kama walikutana ofisi moja lakini wakaamua kujiongeza na mmojawapo kuhama ili kuondoa madhara jumuishi...!
Na ni afadhali mkawa wote level moja kuliko mmoja akawa boss ambapo utakapokosea kwenye vikao vya nidhamu na kuwajibishana... Mke/mume wako uliyelala naye jana kitanda kimoja shuka moja ndiye anayetakiwa kukuwajibisha ama kusaini nyaraka zako zitakazokukaanga
Hii pia inahusu michepuko sehemu za kazi
Penzi kitovu cha uzembe na maanguko mengi sehemu za kazi.. Sisi si wa kwanza, tuliyaona kwa Babu yetu Samson kwa Delillah.. Tuliyaona pia kwa babu yetu Ngoswe.. Tuliyaona mengi tu pia kwa mabosi wa makampuni mengi
Wenza wa wajumbe wa kamati kuu nfani ya CHADEMA ambao ni sehemu ya covid 19 wameshababisha mtanziko mkubwa sana ndani ya chama.. Kwakuwa waliweza kutumiwa na kutumika vilivyo na wapinzani na maadui nje ya chama
Kumekuwa na mgongano mkubwa wa maslahi kati ya hawa wenza na waume zao hasa kwenye maamuzi ya hatima yao ndani ya chama
Kwa kosa hili kubwa tujifunze na kuapa kutolirudia tena
Mapadri hawaruhusiwi kuoa ili wasiwe na attachment yoyote ya kihisia ili aweze kuwatumikia wote kwa usawa!
Kigaila mke wake anaitwa kunti majala..Yamekuwa haya tena.
Mwalimu na Kigaila wana wake 19
Naichapa halafu tutajua huko huko, big mistake aloo
Tafuta mafua ya Nazi, uwe una fanya jelqingHuko kilingeni hamna dawa mnisaidie kibamia kakarefuka kidogo mzeya
Bora wee mganga mkweliKula mkuyati ndumba haitasaidiaπ
πππWee bwana wanakutisha tuu hwawa mbona kuna raha sana kuwa na mpenzi kwa ofisi.
Ebu imagine lunch time anakupeleka lunch. Mara kale ka wivu mwanaume mwengine akikuangalia ukiwa umependeza.
Mara anakuja kasimama kwa desk lako kumahaba anakuuliza babe nimemaliza nakusubiria nje pale
Aunile mnajaribu ibia mpate ndenda kwa ofisi.
Changamka mrembo sasa unadhani mume utampata wapi kama sio mapenzi ofisini
Sasa imagine nipo kwenye kikao umeongea pointless anakuona huyu kweli hamna kitu πππEti Bora upambane huko Mtaani π
Mdee na bulaya waione pia.Yamekuwa haya tena.
Mwalimu na Kigaila wana wake 19
Mtarekebishana mkiwa kwenye pillow talk jamani...tena atakusaidia sana hapo ofisini.Sasa imagine nipo kwenye kikao umeongea pointless anakuona huyu kweli hamna kitu πππ
Naona speaker wa wadau wa mbususu unauliza swali nyeti...Unawasaidiaje majobless kupata mbususu
Wee tupe expiriensiiii yako ya kidate na bosi wako mshangaziNaona speaker wa wadau wa mbususu unauliza swali nyeti...
" Hacheki na yoyote anaulinda wake moyo"Huyu wangu alivyokuwa na wivu alikuwa hataki nicheke na wowoteπ€£π€£π€£ vikao vikianza natumiwa msg 'kaa kimya usichangie hovyo'π€£π€£π€£
Kuna siku akaja jamaa akasema kumwambia ofisi ina watoto wakali, akanipoint cheki yule dada alivyo na macho mazuriπ€£π€£π€£ Alipigwa jicho hilooo.....sa hivi nashukuru tupo sehemu tofauti.
Ila yule boss alikuwaga fire sana....kwanza akienda Geneva akirudi naletewa mi perfume ya designer na dollars πΈ π΅ tuuuWee tupe expiriensiiii yako ya kidate na bosi wako mshangazi