Madhara jumuishi kuwa na mahusiano sehemu za kazi.. Ofisi moja

Hahaha
 
Huo ufanisi unapunguaje jamani? Kwani muda wote mnadinyana?
 
Nimewai shuhudia mahali hii πŸ˜…πŸ˜…sehemu ya kazi, Mme ana uwezo mzuri sana wa kuwajibisha wengine lakini si mke wake akitenda kosa lile lile😜😜😜wakati mwingine Mke nae hujiona Boss mme akiwa Boss hii husababisha anguko kubwa kwa wote wawili.
 
Yamekuwa haya tena.
Mwalimu na Kigaila wana wake 19
Kigaila mke wake anaitwa kunti majala..
Pia henry kilewo mke wake moza ally anajiandaa kuwa kiti maalumu uchaguzi wa mwaka huu. Ndio maana wanajiaattcha sana na Mbowe
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Sasa imagine nipo kwenye kikao umeongea pointless anakuona huyu kweli hamna kitu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Mtarekebishana mkiwa kwenye pillow talk jamani...tena atakusaidia sana hapo ofisini.
Ebu njooo uwe secretary wangu uone jinsi utaenjoy na mapenzi sele
 
Hehehehe... hii mambo ya mapenzi kazini ni duniani kote haikwepeki.. ni inevitable. Maana kuna mizigo utajikaza ww lkn wapi
 
" Hacheki na yoyote anaulinda wake moyo"

Alikuwa anakulinda na maharamia wasije kukuchukua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…