Madhara ninayoyapata kwa kutofanya mapenzi toka nizaliwe

Miaka 7 ming sana[emoji23]apo lazma atarudia cha mkono kupunguza hamu, huyo inabd akae hat mwka uszd alf avute chura yyte atest mtambo
 
Subiri na kaa kama siku 60 bila kufanya pull ili kurecharge nguvu, siku hizo inakubidi uwe unazingatia mazoezi na upumzike muda wa kutosha at least masaa 8 kila siku. Halafu tudi ulingoni.
 
Nyeto nimeacha nina mwezi mmoja sasa, tatizo linakuja na mdada anataka tufanye mapenzi.
 
Bora miezi saba miaka saba Mkuu anakula na kushiba πŸ₯΄
 
Kwa njia hii unayotaka kuchagua nakutabiria moja au zaidi kati ya haya: ukimwi, magonjwa ya zinaa, atapata mimba ataitoa au utamtelekeza mtoto, roho chafu za aina mbalimbali, mahusiano mengi yatakayokuvunja moyo kupelekea uraibu, sonona πŸ₯΄
Nishauri nitumie njia gani??
 
Subiri na kaa kama siku 60 bila kufanya pull ili kurecharge nguvu, siku hizo inakubidi uwe unazingatia mazoezi na upumzike muda wa kutosha at least masaa 8 kila siku. Halafu tudi ulingoni.
Shukran,ntafanyia kazi.
 
Pole mdogo wangu ila street motivation inasema hivi tumia vidonge ukishindwa vidonge tumia mkongo vunga kiremba...

ukiona kazi bado nakushauri kaa pembeni watazame vijana wenzako wakikusaidia kazi
 
Pole mdogo wangu ila street motivation inasema hivi tumia vidonge ukishindwa vidonge tumia mkongo vunga kiremba...

ukiona kazi bado nakushauri kaa pembeni watazame vijana wenzako wakikusaidia kazi
Shukrani,nimekuelewa kaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…