Madhara ninayoyapata kwa kutofanya mapenzi toka nizaliwe

Madhara ninayoyapata kwa kutofanya mapenzi toka nizaliwe

gonga mbususu nyingi zaidi, tena kavu bila nodom uimarishe uume mujarab kabisa

then tukutane kule Jamii Health ukilalamika metronidazole hazisaidii
Ashakuelewa kuna mwenzie analalamika Gono haliponi yeye analalamika konga haisimami haoni km konga imegoma kuingia sehemu alafu ianze kuvuja usaha huku inapukutika km kidonda cha mzoga? Full kusukuza mainzi tu, konga imegoma kuingia pasipofaa maana inaona ikisimama ikaingia itateseka yenyewe kwa kuanza kuvuja usaha kaswende, Gono mixa pangusa na sio yeye, ogopa sana sikia tu kwa wenzio maumivu ya hayo
 
Miaka saba ya abstinence ni tiba sahihi kabisa ya ubongo na uume ulioathiriwa na punyeto.

Akifanikiwa kutimiza miaka 7 bila kufanya punyeto wala zinaa wala kuangalia porn atakuwa mtu tofauti kabisa. Atakuwa kama amezaliwa upya kabisa.
Shukran nimekuelewa,lakini tukija kwenye uhalisia miaka saba inaonekana ni mingi sana.
Maswali nayojiuliza ni
Je hiyo ndio tiba sahihi ya tatizo hili??
Je kuna mtu alishawah kupona kwa kufanya hivo??
 
Ashakuelewa kuna mwenzie analalamika Gono haliponi yeye analalamika konga haisimami haoni km konga imegoma kuingia sehemu alafu ianze kuvuja usaha huku inapukutika km kidonda cha mzoga? Full kusukuza mainzi tu, konga imegoma kuingia pasipofaa maana inaona ikisimama ikaingia itateseka yenyewe kwa kuanza kuvuja usaha kaswende, Gono mixa pangusa na sio yeye, ogopa sana sikia tu kwa wenzio maumivu ya hayo
Kwa hiyo niconclude kua huenda labda nimeepushwa na mabalaah.
 
Kwa hiyo niconclude kua huenda labda nimeepushwa na mabalaah.
Yes mkuu, hapo kuna babu yako alikua amekuzuia isisimame ulikua unaenda kuukwaa km sio Gono basi Pangusa, na kupona kwake ni mateso utakua unafukuzia mainzi tu km unauza samaki feli

Ushauri: endelea kumiliki kadi ya chama cha CHAPUTA na ubaki kua mwanachama hai km dronedrake achana na kujitafutia magonjwa usiyoyaweza kuyamudu
 
Mimi ni kijana wa kiume,umri wangu ni early 20s.Kiukweli toka nizaliwe hadi sasa sijawahi kufanya mapenzi(penetrative sex) licha ya kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wasichana kadhaa,lakini wote tumeishia kufanya romance tu.

Nimebahatika kuwa na muonekano mzuri kidogo kwa hiyo pisi nyingi zilijigonga kwangu niliishia kula kwa macho na nyingine kuzikataa kabisa,pengine labda ni malezi,udomo zege au kukosa exposure ndio kulinisumbua na kunifanya nishindwe kugegeda hata pisi moja.

Katika muda huu wote chaputa ndio ilikua kimbilio langu kiukweli nimepiga sana pulii, pale nilipokua naona wadada wazuri walioumbika wenye misambwanda(ndio ugonjwa wangu) mabao ya mkono ndio yalikua kipoozeo changu.

Sasa baada ya muda nikaona ni wakati sahii wa mimi kufanya mapenzi(penetrative sex) ikanibidi nimualike mdada mmoja ghetto ili nimgegede,kwa kua ananipenda hakukutaa wito wangu.

Siku ya kwanza pisi ilifika ghetto zoezi halikufanikiwa kwa sababu ndio alikua anamalizia siku zake tuliishia kufanya romance tu, Baada ya kumaliza siku zake pisi ikarud tena ghetto kwa ajili ya sex,tulifanya romance vizuri nikapiga foreplay ya maana,nyonya sanaa ,pima oil na tomasa vya kutosha had mtoto akalainika, akabak kunambia J ingiza, ndipo tatizo lilipo anzia kiukwel kila nilivyotaka kuingiza dushe lililala na sikufanikiwa.

Mtoto akazidi kulalamika kua niingize ingali mimi mashine imelala ikanibidi nisingizie nimepata tumbo la ghafla,nikaishia kumchezea tu.
Kesho yake alirud tena cha ajabu ndipo mashine iligoma kabisa kusimama ikabidi nizidi kusingizia ugonjwa.
Hilo jambo liliniuma sana kulala na mtoto mzuri usiku mzima na kushindwa kumgegeda.
Hii kitu ilinitesa sana kias kwamba wiki mbili zilikata bila kua na hisia zozote za kimapenzi.

Naombeni ushauri wa kimawazo hata tiba pia hii hali inanitesa sana na najiulza maswali mengi.Nimeanza kujuta kwa nini sikuanza mapema haya mambo kama wenzangu pengine labda hili tatizo lisingenikuata.
Je hili ni tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ama ni nini???

Ninahitaji msaada, matusi hapana tafadhali.
Haya Sasa unatakaje
 
Miaka ishirini umeona mingi na umeanza kujuta! ujue Shetani amekukamata kisawasawa hadi umeanza kujuta kwa kitu kisicho sahihi.
 
Yes mkuu, hapo kuna babu yako alikua amekuzuia isisimame ulikua unaenda kuukwaa km sio Gono basi Pangusa, na kupona kwake ni mateso utakua unafukuzia mainzi tu km unauza samaki feli

Ushauri: endelea kumiliki kadi ya chama cha CHAPUTA na ubaki kua mwanachama hai km dronedrake achana na kujitafutia magonjwa usiyoyaweza kuyamudu
Shukrani mkuu nitaufanyia kazi
 
Back
Top Bottom