Madhara ninayoyapata kwa kutofanya mapenzi toka nizaliwe

Madhara ninayoyapata kwa kutofanya mapenzi toka nizaliwe

Ni tiba sahihi kabisa.
Ndiyo, kuna watu wameijaribu na wamefanikiwa kwa asilimia 100!

Miaka 7 siyo mingi kama unavyofikiri. Mwanzoni utaona ni mingi, lakini, ubongo wako unahitaji muda mrefu ili kusahau kabisa punyeto.

Pia, mishipa ya uume wako na misuli ya uume itapata muda wa kurudia hali yake ya kawaida. Miaka 7 ni muda sahihi.

Faida nyingine ni kwamba utapata muda wa kujijenga kiuchumi na kiroho pia. Kinachotakiwa ni serious commitment na discipline ya hali ya juu. Msimamo dhabiti usiyoyumba au kuyumbishwa.
Hko kpnd chote cha miaka saba ni kwa waathirika wote wa punyeto bila kujal amepga kwa mda gan au?
 
Hii kitu huwa inanitokeaga mala nyingi ila huwa nashinda, na hasa huwa nikikutana na demu anaenizid hadhi ,yaan huwa sijiamin hata kidogo yaan namuandaa vizur ila ikifika kwenye zoezi la kuweka mdudu moyo u aenda mbio sanaa then mdudu analala, soln badilisha lication ya show ikiwezekana ikaanzie hata bafuni, jitengenezee confidence na amini nakwambia hapo nyeto haihusiki we jiamini tu
 
Hayo kawaida kwenye uwanja wa vita ata mie ilishawahi nitokea na mpaka sasa mie ni mzee wa dakika mbili nimemwaga. Cha msingi mie nimekojowa basi.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila we jamaa sidhani kama ni mzima???ko na wewe ni dk 2 tu huna habari!?
 
Twanga tangawizi na kitunguu swaumu,

unywe ujazo wa kikombe 1 asubui na jioni, kula tikiti maji kipande na mbegu zake asubui na jioni,,

karanga mbichi ujazo
wa kiganja
kisha baada ya wiki 1 lete mrejesho🙏🙏
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila we jamaa sidhani kama ni mzima???ko na wewe ni dk 2 tu huna habari!?
Bro wether u last two or 30 minutes u all shoot a load cum...its that simple. Dnt let these ladies fool u ooohhh
 
Rekebisha kwanza kichwa Cha Uzi kisomeke madhara unayopata Kwa kuwa mwanachama mwaminifu wa chama pendwa.

Anzia hapo kwamba tatizo sio kutokufanya mapenzi, ni athari za uanachama.

Mwisho, inabidi utilize akili sana. Punguza wasiwasi kwamba unatatizo au shida yeyote, na kuthibitisha Hilo, umewahi kushindwa kutekeleza masharti ya wanachama ukiwa peke yako? Hiyo inamaanisha tatizo ni la kisaikolojia zaidi, nafsi na mwili wako vinaona kama unataka kuchepuka (unapokutana na pisi).

Utakaa sawa! Jitihada ya awali kabisa, pumzika au jitoe kwenye chama.
 
Rekebisha kwanza kichwa Cha Uzi kisomeke madhara unayopata Kwa kuwa mwanachama mwaminifu wa chama pendwa.

Anzia hapo kwamba tatizo sio kutokufanya mapenzi, ni athari za uanachama.

Mwisho, inabidi utilize akili sana. Punguza wasiwasi kwamba unatatizo au shida yeyote, na kuthibitisha Hilo, umewahi kushindwa kutekeleza masharti ya wanachama ukiwa peke yako? Hiyo inamaanisha tatizo ni la kisaikolojia zaidi, nafsi na mwili wako vinaona kama unataka kuchepuka (unapokutana na pisi).

Utakaa sawa! Jitihada ya awali kabisa, pumzika au jitoe kwenye chama.
Nikiwa peke angu mashine inasimama vizuri tu
 
Hata hauna ugonjwa una wasi wasi ndio maana tendo la ndoa linafanyika roho ikiwa iko huru ni uoga unao
 
Nikiwa peke angu mashine inasimama vizuri tu

Ndio ujue sasa kwamba hauna tatizo.
Imeshakua mwanachama mtiifu. Na Kwa hofu uliyonayo usipokua makini itakua ni mwendo wa kushindwa kabla ya pambano.

Shida Yako kubwa ipo kwenye akili na hauna tatizo lolote.
 
NB: Apo tatizo ni punyeto wala siyo wasi wasi asikudanganye mtu umu punyeto siyo nzuri ukienda google watakuambia punyeto aina madhara na ukija umu jukwaani ni ivyo ivyo cha kukushauri acha punyeto mara moja fanya mazoezi kula vyakula vya asili na matunda narudia tena acha punyeto kabisa ...
 
Mimi ni kijana wa kiume,umri wangu ni early 20s.Kiukweli toka nizaliwe hadi sasa sijawahi kufanya mapenzi(penetrative sex) licha ya kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na wasichana kadhaa,lakini wote tumeishia kufanya romance tu.

Nimebahatika kuwa na muonekano mzuri kidogo kwa hiyo pisi nyingi zilijigonga kwangu niliishia kula kwa macho na nyingine kuzikataa kabisa,pengine labda ni malezi,udomo zege au kukosa exposure ndio kulinisumbua na kunifanya nishindwe kugegeda hata pisi moja.

Katika muda huu wote chaputa ndio ilikua kimbilio langu kiukweli nimepiga sana pulii, pale nilipokua naona wadada wazuri walioumbika wenye misambwanda(ndio ugonjwa wangu) mabao ya mkono ndio yalikua kipoozeo changu.

Sasa baada ya muda nikaona ni wakati sahii wa mimi kufanya mapenzi(penetrative sex) ikanibidi nimualike mdada mmoja ghetto ili nimgegede,kwa kua ananipenda hakukutaa wito wangu.

Siku ya kwanza pisi ilifika ghetto zoezi halikufanikiwa kwa sababu ndio alikua anamalizia siku zake tuliishia kufanya romance tu, Baada ya kumaliza siku zake pisi ikarud tena ghetto kwa ajili ya sex,tulifanya romance vizuri nikapiga foreplay ya maana,nyonya sanaa ,pima oil na tomasa vya kutosha had mtoto akalainika, akabak kunambia J ingiza, ndipo tatizo lilipo anzia kiukwel kila nilivyotaka kuingiza dushe lililala na sikufanikiwa.

Mtoto akazidi kulalamika kua niingize ingali mimi mashine imelala ikanibidi nisingizie nimepata tumbo la ghafla,nikaishia kumchezea tu.
Kesho yake alirud tena cha ajabu ndipo mashine iligoma kabisa kusimama ikabidi nizidi kusingizia ugonjwa.
Hilo jambo liliniuma sana kulala na mtoto mzuri usiku mzima na kushindwa kumgegeda.
Hii kitu ilinitesa sana kias kwamba wiki mbili zilikata bila kua na hisia zozote za kimapenzi.

Naombeni ushauri wa kimawazo hata tiba pia hii hali inanitesa sana na najiulza maswali mengi.Nimeanza kujuta kwa nini sikuanza mapema haya mambo kama wenzangu pengine labda hili tatizo lisingenikuata.
Je hili ni tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ama ni nini???

Ninahitaji msaada, matusi hapana tafadhali.
Puli inaua mkuu nenda hospital
 
An


Halafu anajaribu kusema yeye ni Mzuri .
 
Back
Top Bottom