Madhara ninayoyapata kwa kutofanya mapenzi toka nizaliwe

Madhara ninayoyapata kwa kutofanya mapenzi toka nizaliwe

Mmh!
images-506.jpg
 
Hko kpnd chote cha miaka saba ni kwa waathirika wote wa punyeto bila kujal amepga kwa mda gan au?
Inategemeana, lakini, kwa uhalisia hakunaga mpiga punyeto anayepiga mara moja tu na kuacha.

Fahamu kwamba vijana wengi wanapoingia balehe ndio huanza punyeto na wanapoanza ni ngumu kuacha sababu nyeto ni very addictive na ina madhara makubwa kwenye ubongo na kwenye uume.

Ubongo ndio unaoendesha tendo lote la sex. Mpiga punyeto anakuwa tayari ameuzoesha ubongo wake kuwa mkono ndio kiungo pekee cha kufanya nacho sex na siyo uke wa mwanamke. Ndiyo maana mpiga punyeto akikutana na mwanamke uume hausimami sababu ubongo unatuma taarifa tofauti kwenye uume.

Sasa basi ili kuurudisha ubongo katika hali yake ya mwanzo ni lazima tiba ya miaka 7 ifanyike nayo ni kuacha kabisa punyeto kwa kipindi chote cha muda huo.

Hakuna njia ya mkato. Kuna watu watakwambia sijui umeze dawa na baada ya Wiki mbili au mwezi umepona. Hao ni waongo na lengo lao ni kuuza hizo dawa ili wajipatie faida kubwa.

Well, unaweza ukatumia hizo dawa na ukaona matokeo tofauti, lakini, siyo matokeo ya kudumu na mbaya zaidi hizo dawa zina madhara makubwa kwenye mwili ikiwa ni pamoja na kuua figo zako.

Tiba ya abstinence kwa miaka 7 ni tiba sahihi isiyokuwa na madhara ypyote yale ya kimwili na ni tiba ya kudumu maisha yako yote.

Wengi watafikiri miaka 7 ni mingi, lakini, hebu fikiria miaka 7 iliyopita kutoka leo, Je, mwaka 2016 na leo sio kama juzi tu?

By the way, kuna vitu ukiharibu kwenye mwili wako kuna gharama kubwa sana na gharama ya punyeto ni kujitenga nayo kwa miaka 7!!
 
Nakushauri uanze Maombi, ufunge na Kuomba haswa, ingali Mapema...!

Watu wengi hawajui tu kupiga Puli kunafungua Milango kwa Majini Mahaba kuweka Makazi kwako!

Kuota Ndoto za aina hiyo kwa mtu mzima ni dalili za uwepo wa Jini Mahaba kwako, ukijumrisha na hari ya Uume kutokuamka ukiwa na Mwanamke, inazidi kutoa nafasi juu ya uwepo wa hiyo Spirit, japo watu wengi husingizia kuwa kupiga puli kunapunguza nguvu ya Uume, but Kiroho kuna mambo mengi hufanyika unapopiga Puli!

Watu wengi wanasumbuka na Madini Mahaba na hawajui!

Omba sanaa... nenda kaombewe (Usirogwe kwenda kwa Mganga) ingali Mapema, naongea kwa Uzoefu, utakuja kunishukuru!
 
Nakushauri uanze Maombi, ufunge na Kuomba haswa, ingali Mapema...!

Watu wengi hawajui tu kupiga Puli kunafungua Milango kwa Majini Mahaba kuweka Makazi kwako!

Kuota Ndoto za aina hiyo kwa mtu mzima ni dalili za uwepo wa Jini Mahaba kwako, ukijumrisha na hari ya Uume kutokuamka ukiwa na Mwanamke, inazidi kutoa nafasi juu ya uwepo wa hiyo Spirit, japo watu wengi husingizia kuwa kupiga puli kunapunguza nguvu ya Uume, but Kiroho kuna mambo mengi hufanyika unapopiga Puli!

Watu wengi wanasumbuka na Madini Mahaba na hawajui!

Omba sanaa... nenda kaombewe (Usirogwe kwenda kwa Mganga) ingali Mapema, naongea kwa Uzoefu, utakuja kunishukuru!
Shukrani mkuu,nitafanyia kazi hili.
 
Kabla ya kulala tafuna punje 4-6 za vitunguu swaumu piga na maji Kama nusu Lita freshi ndo ulale
 
Ushauri wangu abstain na masturbation na zingatia lishe (diet) jaribu Kila siku kula chakula cha protein (Karanga, Maziwa , mayai na hata sea food i.e samaki, pweza haswa michemsho Ila Kama mfuko unaongea) zingatia pia matunda i.e ovacado, ndizi au kitu Cha muhuni zaidi ni tikitiki maji. Bila kusahau tangwaizi haswa asubuhi kunywa chai ya tangawizi . Na Bila kusahau kutafuna punje 4 za tungu swaumu ukienda kulala usiku.
Maintain mazoezi atleast siku 4 kwa wiki....na haswa na kushauri mazoezi ya squart na kegel.
Nakuambia ukimaintain nilivyo kwa siku 90 utapata matokeo mazuri sana.......
 
Ushauri wangu abstain na masturbation na zingatia lishe (diet) jaribu Kila siku kula chakula cha protein (Karanga, Maziwa , mayai na hata sea food i.e samaki, pweza haswa michemsho Ila Kama mfuko unaongea) zingatia pia matunda i.e ovacado, ndizi au kitu Cha muhuni zaidi ni tikitiki maji. Bila kusahau tangwaizi haswa asubuhi kunywa chai ya tangawizi . Na Bila kusahau kutafuna punje 4 za tungu swaumu ukienda kulala usiku.
Maintain mazoezi atleast siku 4 kwa wiki....na haswa na kushauri mazoezi ya squart na kegel.
Nakuambia ukimaintain nilivyo kwa siku 90 utapata matokeo mazuri sana.......
Shukrani,nitajitahidi nizingitie haya
 
Inategemeana, lakini, kwa uhalisia hakunaga mpiga punyeto anayepiga mara moja tu na kuacha.

Fahamu kwamba vijana wengi wanapoingia balehe ndio huanza punyeto na wanapoanza ni ngumu kuacha sababu nyeto ni very addictive na ina madhara makubwa kwenye ubongo na kwenye uume.

Ubongo ndio unaoendesha tendo lote la sex. Mpiga punyeto anakuwa tayari ameuzoesha ubongo wake kuwa mkono ndio kiungo pekee cha kufanya nacho sex na siyo uke wa mwanamke. Ndiyo maana mpiga punyeto akikutana na mwanamke uume hausimami sababu ubongo unatuma taarifa tofauti kwenye uume.

Sasa basi ili kuurudisha ubongo katika hali yake ya mwanzo ni lazima tiba ya miaka 7 ifanyike nayo ni kuacha kabisa punyeto kwa kipindi chote cha muda huo.

Hakuna njia ya mkato. Kuna watu watakwambia sijui umeze dawa na baada ya Wiki mbili au mwezi umepona. Hao ni waongo na lengo lao ni kuuza hizo dawa ili wajipatie faida kubwa.

Well, unaweza ukatumia hizo dawa na ukaona matokeo tofauti, lakini, siyo matokeo ya kudumu na mbaya zaidi hizo dawa zina madhara makubwa kwenye mwili ikiwa ni pamoja na kuua figo zako.

Tiba ya abstinence kwa miaka 7 ni tiba sahihi isiyokuwa na madhara ypyote yale ya kimwili na ni tiba ya kudumu maisha yako yote.

Wengi watafikiri miaka 7 ni mingi, lakini, hebu fikiria miaka 7 iliyopita kutoka leo, Je, mwaka 2016 na leo sio kama juzi tu?

By the way, kuna vitu ukiharibu kwenye mwili wako kuna gharama kubwa sana na gharama ya punyeto ni kujitenga nayo kwa miaka 7!!
Umeeleweka mkuu
 
Back
Top Bottom