Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kambale tena kwenye chaleHasara moja wapo ni kutokula kambale
Kipindi gani mkuu miezi,siku ama miaka na VP kuhusu madharaHilo ni agano la damu...itabidi kila baada ya kipindi fulani ufanye renewal
Kambale inahusikaje?Hasara moja wapo ni kutokula kambale
Itabidi urenew after miaka kadhaa, Mengine ni mbere kwa mbere
maana maisha yenyewe ni chale tosha
Ukifika kwa mchanjaji muulize Do's /Dont"sKambale inahusikaje?
There is a price to pay to make the changes you want in life.Kambale tena kwenye chale
🎺Hilo ni agano la damu...itabidi kila baada ya kipindi fulani ufanye renewal
Hamna madhara mkuu......mm nimepiga had kwny
.....ulimi
Mshana ntakutafuta kuna issue nataka tufanye kama hautojaliHilo ni agano la damu...itabidi kila baada ya kipindi fulani ufanye renewal
Yaaah mkuu kwa kinyakyusa wanasema (kiingira).....unakua more respected ....umewahi ona mnakua sehemu mnapga story gafla anakuja mtu ...anateka attention yenu automatically.....Hii ya kwenye ulimi naona inakusaidia kwenye utapeli & kutongoza
Umepiga kwenye mshono hapa mdauHii ya kwenye ulimi naona inakusaidia kwenye utapeli & kutongoza
Mmh! nilichanjwa chinibya kitovu kidogo tuh!Kwa wanaoelewa madhara ya sasa ama baadae ya haya machale ya waganga wa jadi tafadhali tuwekee humu jamvini ili watu wafanye maamuzi magumu maana wivu mtaani umekuwa sugu
Dadeq walahi kwenye ulimi[emoji848]Hamna madhara mkuu......mm nimepiga had kwny
.....ulimi
tuh ni nini mkuu?Mmh! nilichanjwa chinibya kitovu kidogo tuh!
Ofisin kazi zilikuwa zinaenda tuh!
MaSemina yakutosha sana hata Majuz nilikuwa Dom Semina ya wiki mbili.
Kiufupi mambo yamenyooka ila sasa tatizo lake hii chale ina tia Hamu kweli.... Na Mr kasafir leo kwenda Dom Semina ya Afya wiki 3.
Nipo home tuh hapa DAR nimepooza hataree.t
Ulichanja ili uwe unaenda semina za kutosha?Mmh! nilichanjwa chinibya kitovu kidogo tuh!
Ofisin kazi zilikuwa zinaenda tuh!
MaSemina yakutosha sana hata Majuz nilikuwa Dom Semina ya wiki mbili.
Kiufupi mambo yamenyooka ila sasa tatizo lake hii chale ina tia Hamu kweli.... Na Mr kasafir leo kwenda Dom Semina ya Afya wiki 3.
Nipo home tuh hapa DAR nimepooza hataree.