Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Mama yake Nyerere alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa kwanza wa Tanzania,Mama yake Raisi wa pili wa Tanzania Raisi Ali Hassan Mwinyi alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa pili wa Tanzania,Mama yake Raisi wa Tatu wa Tanzania Raisi Benjamin Mkapa alikuwa Golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa Tatu wa Tanzania Raisi Benjamin Mkapa ,mama yake Raisi wa Nne wa Tanzania Raisi Jakaya Kikwete mama yake alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi Kikwete Raisi wa awamu ya Nne ,Raisi wa awamu ya Tano Magufuli mama yake alikuwa Golikipika hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi Magufuli,Raisi wa awamu ya Sita Mama Samia Suluhu Hassan mama yake Golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi

Swali wewe mleta mada mama Yako anayejua kusoma na kuandika wewe kakuzalisha kama nani mbona mchovu tu labda unakovjiunia na kujiona wa maana humu una Maisha Gani mchovu choka mbaya wewe na mama Yako msomi mtoto wa mama msomi na asiye golikipa mbona wote chokambaya mnajikuna upele tu
🤣🤣🤣🤣
 
Vp kwaiyo we muhanga wa hilo
Muhanga wa nn mkuu?

Nashukuru Mungu mama angu alikuwa mfanyakazi,nurse!
Sijui ingekuwaje!

Mzee e Dr ila alikuwa anazingua ,mama ndo alibeba sn mzigo!

Uniambie eti Hela ya mwanamke hsisaidii familia nashangaa, wakati ndo Kila kitu, wanawake sshv wanalipa bill ,ndo maana wanaona waishi wenyewe tu sbb wanaume wanazingua
 
Muhanga wa nn mkuu?

Nashukuru Mungu mama angu alikuwa mfanyakazi,nurse!
Sijui ingekuwaje!

Mzee e Dr ila alikuwa anazingua ,mama ndo alibeba sn mzigo!

Uniambie eti Hela ya mwanamke hsisaidii familia nashangaa, wakati ndo Kila kitu, wanawake sshv wanalipa bill ,ndo maana wanaona waishi wenyewe tu sbb wanaume wanazingua
Ni kwa wachache
 
Taikon mbona anayumba yumba
Kiufupi kijana huyu ameporomoka mno kihoja.

Me nafikiri sio lazima wala sifa kutunga threads mpya kila siku..ukiishiwa cha kuandika si utulie.

Anyway una karama ya uandishi.
Hata hoja ya hovyo hovyo ukiishupalia unavuna mashabiki hongera kwa hilo.
 
Nani kakwambia watu wanaogopa vyeo au elimu za wanawake. Hata Ummy mwalimu anapigwa sound vizuri tu na anatafunika na wahuni.

Mwanamke kutongozwa ni kutokana na mazingira tu na watu anaokutana nao mara kwa mara. Kama anashinda mtaani atatongozwa na wa mtaani. Kama anashinda ofisini basi atatokewa na hao hao walioko maeneo ya ofisini.
 
Kuna vijana wa kiume wa hovyo sana. Inakuwaje unaoa mwanamke msomi au mwenye kazi eti ili akusaidie maisha. Ndo maan vijana wengi ndoa zao huangukia pua. Wewe oa mwanamke kutimiza mila na desturi na imani za dini yako hayo ya kipato chake kukusaidia ni matokeo tu na siyo lazima.

Kwanza kwa taarifa tu na research ndogo, ndoa nyingi za maskini hudumu kuliko za wenye vipato, Yan baba na mama wote wakiwa na kipato. Ikitokea wamedumu hupitia magumu yasiyoelezeka
 
Back
Top Bottom