Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Still unazidi kuonyesha ulivyo mweupe,kama mume nina hela nzuri nikiondoka nitaacha uchumi mzuri kwa familia so hakuna namna atadhalilika.

Kingine tunabishana ujinga tu elewa mke kuwa na elimu na kazi au kukosa elimu na kazi au hata kuwa na kipato au kukosa kipato kamwe hai-justify ajitenge kwenye shughuli za kijamii au awe kinara kwenye shughuli za kijamii yeyote ktk hao asipofanya hayo hana sifa za kuitwa mke na hajitambui awe na elimu au asiwe na elimu!

Kwani nani anayemtenga mke na mambo ya kijamii au jamii yenyewe ndio inafanya hayo?

Mimi naongea uhalisia wewe unazungumzia hisia zako.
Sio mke tuu hata wewe mwanaume kama huna elimu yoyote na kazi ya maana huna kwenye matukio ya kijamii utafanya yale ya hadhi yako ya Chini.

Hisia na mihemko yako haiwezi badili ukweli kuwa Mke aliyesoma na mwenye kazi na kipato kamwe hawezi kufanana na mke ambaye hajasoma na asiye na kazi.
 
Atakuwa yuko sahihi

Ulitaka kumaanishaje?

Nilitaka kukwambia ndoa za wanawake wasomi zinavunjika kwa sababu wanaume wengi bado wanazile akili mgando za kuabudiwa.

Unyanyasaji, ukatili, ukandamizaji, dhulma ndio Wanaume wa zamani walikuwa nazo.

Fikiria mwanaume(mume) kakosea alafu hataki kuambiwa kakosea, na akiambiwa anasema mkewe hana adabu au mjuaji.

Ndicho hichohicho kinachoendelea hata kwenye siasa. Watawala wanamawazo hayo ya wanaume wa kizamani. Kuwa mwananchi kumkandamiza na akisema anakandamizwa ataitwa mchochezi na mtovu wa nidhamu
 
Kwani nani anayemtenga mke na mambo ya kijamii au jamii yenyewe ndio inafanya hayo?

Mimi naongea uhalisia wewe unazungumzia hisia zako.
Sio mke tuu hata wewe mwanaume kama huna elimu yoyote na kazi ya maana huna kwenye matukio ya kijamii utafanya yale ya hadhi yako ya Chini.

Hisia na mihemko yako haiwezi badili ukweli kuwa Mke aliyesoma na mwenye kazi na kipato kamwe hawezi kufanana na mke ambaye hajasoma na asiye na kazi.
Unless unatumia kilevi na hapo ulipo una hangover ila najaribu kukuelewesha kwa lugha rahisi sana still hunielewi.

Ukiwa na hela na elimu ukajitenga kwenye mazishi kwamba hubebi jeneza siyo hadhi yako na mkeo akisema kwenye msiba hawezi kupika kwa sababu ana elimu ninyi wote akili hamna,naandika fact jamii za ki-Africa hazijawahi kuishi utaratibu huo unasoma soma vijarida vya weupe unakuja ku-adopt tabia zao kwenye jamii kupitia maandishi yako.
 
1. Umeoa mwanamke mfano mwanasheria Kila siku yeye ndio anakukuta nyumbani saa 3 usiku kwa kigezo alikuwa kwenye vikao. Na hapo wewe ndio unaogesha watoto yeye akirudi ni kulala blaza umeoa au umeolewa?

2. Huyo huyo kaenda kwenye semina na bosi wake huko mkoani tena kwa wiki mbili wanalala hotel/lodge moja na kakuachia watoto. Blaza una uhakika hao watoto ulioachiwa uogeshe ni wa kwako?

3. Blaza huyo msomi kapandishwa cheo ana maokoto kukuzidi na humfikii kwa kipato tena blaza unaelewa kitakachokukuta?

4. Blaza msomi wako ana PhD kiuno anajua kukata kweli?? Wengine raha zetu ni viuno teke teke sio vyeti vya taaluma😆😆

5. Blaza sina shida na msomi wako ila ana udambwi udambwi kwenye sufuria??

Raha ya kuku wa kienyeji mtie limao na tanawizi ya kutosha. 😁
 
Unless unatumia kilevi na hapo ulipo una hangover ila najaribu kukuelewesha kwa lugha rahisi sana still hunielewi.

Ukiwa na hela na elimu ukajitenga kwenye mazishi kwamba hubebi jeneza siyo hadhi yako na mkeo akisema kwenye msiba hawezi kupika kwa sababu ana elimu ninyi wote akili hamna,naandika fact jamii za ki-Africa hazijawahi kuishi utaratibu huo unasoma soma vijarida vya weupe unakuja ku-adopt tabia zao kwenye jamii kupitia maandishi yako.

Unaandika fact ambayo kwenye jamii haipo.

Mtu akishakuwa na pesa Watu wanamuabudu hata vikazi vya kusugua masufuria hapewi wanapewa wasio na chochote Unazungumzia nini mkuu. Hayo mambo yapi kwenye jamii na kama hujayaona ndio nakuambia yapo Sana.

Wéwe elewa kuwa Kam huna pesa na mkeo ni mama wa nyumbani na hana kazi jamii inavyomchukulia ndio hivyo.
 
Unaandika fact ambayo kwenye jamii haipo.

Mtu akishakuwa na pesa Watu wanamuabudu hata vikazi vya kusugua masufuria hapewi wanapewa wasio na chochote Unazungumzia nini mkuu. Hayo mambo yapi kwenye jamii na kama hujayaona ndio nakuambia yapo Sana.

Wéwe elewa kuwa Kam huna pesa na mkeo ni mama wa nyumbani na hana kazi jamii inavyomchukulia ndio hivyo.
🤝🏾 Point tatu chukua wewe!
 
Unaweza kuwa na hoja. Lakini mbona mama zetu wengi humu elimu zao ndio hivyo tena lakini tumefika tulipo fika.
Hicho ni kizazi Cha zamani kabla ya fb TikTok na insta. Kwa sasa mama wengi kuanzia 90 ni mbulula sana
 
🤝🏾 Point tatu chukua wewe!

Huu ni mjadala tuu mkuu.

Hujasikia kauli ya "Tafuta pesa"
Na inafahamika kabisa kuwa pesa inapatikana kwa kufanya kazi.
Pesa inampa mtu heshima ya nje. Sasa mwanamke asiyefanya kazi ambapo ndio kipimo cha utu atapataje heshima ya nje.
Au ndio umesema atapata heshima kupitia mumewe. Kumbuka nguo ya kuazima haistiri
 
Hicho ni kizazi Cha zamani kabla ya fb TikTok na insta. Kwa sasa mama wengi kuanzia 90 ni mbulula sana

Anazungumzia mateka, Watu waliokuwa watumwa wakitumikishwa kwenye ndoa na haki zao kukandamizwa.
Watu ambao hawakuwa na uchaguzi wa kuamua hata mwanaume wa kumuoa ndio anaowazungumzia.
Unaweza kuona aliyetoa hiyo hoja ni mtu wa aina gani
 
Ni kweli lakini Mwanamke msomi na asiye soma ni tofauti Kabisa.
Mwanamke anayefanya kazi na asiyefanya kazi ni tofauti kabisa.
Ni kwel kabisa kikubwa tabia ya mtu tu, anaweza kuwa na kazi akabanduliwa huko kazini na wenzake ,mifano ipo, na anaweza kuwa mama wa nyumbani wahuni wakajipigia ukitoka mifano ipo , hii mambo hainaga mwongozo.
 
Ni kwel kabisa kikubwa tabia ya mtu tu, anaweza kuwa na kazi akabanduliwa huko kazini na wenzake ,mifano ipo, na anaweza kuwa mama wa nyumbani wahuni wakajipigia ukitoka mifano ipo , hii mambo hainaga mwongozo.

Ni sahihi.
Nakupa mfano, mkeo ni mkurugenzi katika kampuni fulani unafikiri ni rahisi kutongozwa hovyohovyo na Watu wa chini yake?

Na hapohapo unamke mwingine ni mama wa nyumbani Unafikiri ni ngumu kutongozwa hovyohovyo?

Wanaume tunajijua wengi wetu ni waoga. Binti akishafikia level fulani hata kumfuata wengi wetu ni waoga.
Wanaomfuata ni Watu wa juu au level zake ambao ni wachache

Ni kama Pyramid.
Kadiri mwanamke anavyopanda juu kimafanikio ndivyo kiwango cha wanaume Wanaomsumbua kinapungua

Mfano unafikiri kumtongoza mwanamke ambaye ni Rais au Waziri ni jambo rahisi?
 
MADHARA YA KUOA MWANAMKE AMBAYE HAJASOMA NA GOLIKIPA NI HAYA!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimeona kuna vijana hapa wanadanganyana na kuwa na mawazo ya kizamani.

Ati wao wataoa wanawake wenye elimu duni na wasiofanya kazi isipokuwa kazi za nyumbani (golikipa).

Sasa kwa ninyi mliofanya maamuzi ninyi sina neno na nyie kwa sababu huo ni uchaguzi wenu.

Wazo hili ni zao la kizamani ambalo msingi wake ulikuwa kwa jamii isiyoamini kama Mwanamke naye ni mtu.

Lakini ujumbe huu nimeandika ni kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au hawajui wachague kipi kati ya kuoa Mke aliyesoma na anayefanya kazi za taaluma au Mke ambaye hajasoma na ambaye atakuwa mama wa nyumbani.

Yafuatayo ni madhara ya moja kwa moja ambayo utayapata kwa kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na ambaye hana kazi yaani mama wa nyumbani;

1. Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
Hakuna kazi rahisi kama kutongoza Mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi. Ni rahisi kama kunywa uji wa mgonjwa. Yaani shwaaa!

Moja ya vitu vinavyompa mtu thamani kwa dunia ya leo ni Elimu.

Hata wanaume watakaomtongoza mkeo watakuwa Lundo kama siafu wekundu, hawamuogopi, wamuogope kwa kipi hasa! Lakini mdada shule ipo tena anawazidi mpaka wanaume Unafikiri hapo kuna nini.

Mpeleke mkeo ambaye hajasoma na hana kazi yoyote Kwenu siku ukitokea msiba uone jinsi atakavyotumikishwa kwa kusugua masufuria na makazi yasiyo na hadhi. Wakati huo Wake wa ndugu zao wamekaa mguu juu na hakuna kima yeyote atakayewasogelea isipokuwa wao wenyewe waamue.

Jipe hadhi kijana acha woga wa kijingajinga.

Unataka familia yako iwe cheap? Unataka watoto wako wajisikieje wakimuona mama yao(mkeo) akitumikishwa kwa kazi dhalili?

2. Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
Mke wako hana elimu alafu hana kazi. Atawezaje kusimamia majukumu yake kama mke na kama Mama?

Mke lazima awe na elimu ya kiwango fulani angalau Diploma kwa zama hizi. Kisha awe na kijikazi au kazi ya kuingiza mapato.

Mke ni Mama wa watoto wako lakini pia ni Mama yako mlezi wakati mwingine.

Lazima uwe na Mwanamke ambaye ataweza kubeba jukumu la kukutunza na kukulea kimwili na kiroho na wakati mwingine kiakili pale ambapo utakengeuka.

Sasa unachukua Mwanamke shule hana, hana kazi, Mwanamke anakuogopa badala ya kukuheshimu kisa hana kipato.

Umekengeuka kidogo hakuna wakukurudisha kwenye mstari.

Nawajua wanaume wengi ambao wao ndio chanzo cha kuvunja nyumba zao kwa kukengeuka kwao. Aidha kutumia vibaya uanaume na ubaba wao vibaya.

3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.

Raha ya mke aheshimiwe. Sio kila siku mke anakondeana kwa kudharaulika.

Binadamu ni kiumbe mwenye dharau Sana.

Kanisani atadharaulika. Mtaani hivyohivyo. Kisa hana elimu wala hana kazi. Yaani yupo yupo tuu.

4. Kugawa Uroda kirahisi.
Ni kweli wanawake wengi hugawa uroda lakini kuna kugawa Uroda kirahisi.

Fuatilia hata jamii yenye umalaya mwingi wanawake wao hawana elimu wala hawana kazi.

Yaani Mwanamke awe mwalimu au daktari au mwanasheria alafu awe Malaya, hiyo sio rahisi.

Ila mkeo akiwa hana elimu jua kabisa hata bodaboda hawamhofii. Yaani mwanaume yeyote anaweza kuruka naye kwa sababu mkeo ni level ya chini ambaye yeyote anaweza kutunda yake.

Lakini Mwanamke mwenye elimu na kipato ni kama Mnazi. Mpaka umpate lazima jasho likutoke na wapandaji huwa wachache.

Fikiria mkeo ni mkurugenzi Unafikiri ni wafanyakazi wake wangapi wana ujasiri wa kumtongoza? Lazima wawe na hofu.

Alafu fikiria mkeo hana elimu yoyote Unafikiri kuna mtu anamhofia kumfuata?
Hakuna!

Sasa mwanamke Watu wanatakiwa Wamheshimu yeye bila hata ya uwepo wako. Sio mkeo aheshimiwe kisa umemuoa yaani ni mke wa mtu. Hapo umepigwa.

Yaani Watu wanakuheshimu tuu wewe ndio maana hawamfuati mkeo lakini ukiwa haupo Watu wanajigaragaza. Lakini Mwanamke akiwa na kazi nzuri na elimu hata asipokuwa na mume anaheshimika na wanaume hujifikiri mara mbilimbili kumfuata.

Yote kwa yote Maisha ni ubatili. Lakini Watu wanachokazana ni kuepuka ubatili wenye maumivu, dharau, majonzi na taabu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwanza nataka nijue ulieandika Habari hii umeoa au lah



Mimi nitaongea kifupi tu hakuna kitu kizuri kwa mwanaume kama kuoa mwanamke ambaye Hana kazi ya kuajiriwa,,na wewe mwanaume ukiwa na kazi au biashara ambayo inakizi mahitaji yenu aise hapo unaenjoy life,,,,


Mimi nimeoa mwanamke muajiriwa Lakini mara kwa mara utanikuta kwa mama ntilie kula mara wife,,kaenda zamu usiku nimebaki mwenyew najifunika ngumi,,mara unajuandalia nguo za kazini mwenyew yani nishida aise mpaka nafikia hatua nasema siku nikiwa na kipato kizuri ntamuachisha wife kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sahihi.
Nakupa mfano, mkeo ni mkurugenzi katika kampuni fulani unafikiri ni rahisi kutongozwa hovyohovyo na Watu wa chini yake?

Na hapohapo unamke mwingine ni mama wa nyumbani Unafikiri ni ngumu kutongozwa hovyohovyo?

Wanaume tunajijua wengi wetu ni waoga. Binti akishafikia level fulani hata kumfuata wengi wetu ni waoga.
Wanaomfuata ni Watu wa juu au level zake ambao ni wachache

Ni kama Pyramid.
Kadiri mwanamke anavyopanda juu kimafanikio ndivyo kiwango cha wanaume Wanaomsumbua kinapungua

Mfano unafikiri kumtongoza mwanamke ambaye ni Rais au Waziri ni jambo rahisi?
Inafikirisha
 
Kwanza nataka nijue ulieandika Habari hii umeoa au lah



Mimi nitaongea kifupi tu hakuna kitu kizuri kwa mwanaume kama kuoa mwanamke ambaye Hana kazi ya kuajiriwa,,na wewe mwanaume ukiwa na kazi au biashara ambayo inakizi mahitaji yenu aise hapo unaenjoy life,,,,


Mimi nimeoa mwanamke muajiriwa Lakini mara kwa mara utanikuta kwa mama ntilie kula mara wife,,kaenda zamu usiku nimebaki mwenyew najifunika ngumi,,mara unajuandalia nguo za kazini mwenyew yani nishida aise mpaka nafikia hatua nasema siku nikiwa na kipato kizuri ntamuachisha wife kazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Unapenda utegemezi sio.
Utegemezi ni umaskini sijui kama unajua.
Yaani wanawake milioni 31 wa Tanzania wawe mama wa nyumbani. Nchi hii si itakuwa fukara mpaka basi. Kwa sababu nusu ya rasilimali Watu haitumiki na ni tegemezi.

Fikiria siku umekufa au umefukuzwa kazi, au unaumwa na mkeo amezoea ugolikipa, na hana uwezo wala uzoefu wa kutafuta. Hivi huko si kutafutana maneno. Au ndio ninyi mnategemea ndugu watakuja kuwasaidia wakati mkeo kama angekuwa na elimu na kazi mkasaidizana maisha wala msingefikiria habari za ndugu.

Hivi siku unaumwa unafikiri watoto wako wanakuwa katika hali gani wakiwaza kuwa mzee akidondoka hapa sisi tumekwisha. Hayo huyafikirii.

Haya umemuacha mkeo kama single Mother hawezi kujitafutia na hana taaluma yoyote mingi si ndio mnafanya wanawake waishi maisha magumu ya kunyanyasika huku duniani.

Hivi Mwanamke akiwa na taaluma yake na anafanya kazi hata siku mumeachana Unafikiri atakusumbua hata pesa ya kumtunza mtoto au watoto wako? Au ukifa Unafikiri atasumbua Watu.
 
Back
Top Bottom