Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #101
Unafaham ni kitu gani kilipelekea familia ya Nuhu peke yake kuokoka kwenye gharika? Je ilikuwa elimu ya darasani au elimu ya kiroho ambayo ilifanya awe na uhusiano mzuri na Mungu?
Imani na elimu yake.
Pasipo kuwa na elimu ya kutengeneza hiyo Safina Nuhu asingeokoka