Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Unaweza kuwa na hoja. Lakini mbona mama zetu wengi humu elimu zao ndio hivyo tena lakini tumefika tulipo fika.
Unajuaje Status za mapenzi za mamayako, kama alikua angongwa kirahisi wewe ulikuwa mtoto na onamuona yeye Mama tu, utajuaje kama alikuwa haeshimiki wakati wewe ulikuwa mtoto hujui kuheshimika nini unachojua kulilia lambalamba za mia.

Sorry kwa kutumia mifano mikali tatizo sio mimi tatizo ni wewe kutoheahimu LINE ya MAMA na MWANAMKE, huyo ni mamayako ila ni mwanamke tu kwa baba yako na wajuba wa enzi ya ubalobalo wa baba yako kipindi ambacho wewe unamjua yeye kama mama tu wa kulilia akununulie asikilimu.
 
Elimu na tabia ya mtu havihusiano,hujawai kuona wanawake wasomi na ni Malaya sana tu? Pia hujawai kuona wanawake ambao hawana Elimu na wanahela? Sipingi mtazamo wako ila linapokuja swala la utu wa binadamu yani personality yake,elimu haihusiki, otherwise mada yako nzuri inaleta changamoto

Bila elimu mwanadamu anakuwaje anautu?
Kabla ya elimu kuja Watu walikuwa wanakunya vichakani na mambo mengine ya kinyama yalitamalki.
 
Kwa nini wewe ndugu mshamba_hachekwi unaweza mtunza mkeo kwa muda wa miaka 20 na wote ni wafanya kazi.

Ila ukisimamishwa au kufukuzwa kazi Mwanamke hatoweza kukutunza hata mwaka mmoja?

Unadhani kwa nini?
Bro jipange na tengeneza mindset kuwa tengeneza mazingira mazuri kwa ajili ya familia yako.

Anacho fanya yeye ni ziada tu, utaishi kwa amani.

Na hiyo isiwe sifa pekee ya wewe kuamua kumuoa, oa akiwa na sifa sahihi za mke
Wanawake hawawezi kutunza wanaume wa aina yako. Wenye mitazamo ya kimungu mtu.
Mimi najua wanawake kibao wanaotunza Waume zao tena waliopatwa na matatizo mazito ya kiafya, kufukuzwa kazi bila kutegemea ndugu wa mume au wa upande wa mke.
W
 
Bila elimu mwanadamu anakuwaje anautu?
Kabla ya elimu kuja Watu walikuwa wanakunya vichakani na mambo mengine ya kinyama yalitamalki.
Mkuu elimu ya darasani na utu wa ndani havina mahusiano,labda unaambie elimu ya kiroho mambo ya dini haya ndio yanaweza kubadili sana mtazamo wa mtu jinsi ya kuwatendea wenzake,kukubali kujinyenyekeza,kutii,kusamehe,kuheshim n.k
 
Siku za hivi karibuni huna hoja kabisa kijana wangu, shida nini??

Ni zuwena gani anaekuzuzua huyo??

Bila shaka mpenzi wako ni mwenye elimu ama anafanana na huyo uliemuandika hapo juu.
Huu uzi umeandika kwa hisia zaidi na sio kitibeli kama ambavyo huwa unajinasibu.

Kwa karne hii kuoa mke asiye na elimu nako ni kupitwa na wakati.
Yaani shule zilivvyozagaa, vyuo vilivyotapakaa alafu binti ninayemuoa asiwe na elimu hata ya kadiploma. Big noo!
 
Mkuu elimu ya darasani na utu wa ndani havina mahusiano,labda unaambie elimu ya kiroho mambo ya dini haya ndio yanaweza kubadili sana mtazamo wa mtu jinsi ya kuwatendea wenzake,kukubali kujinyenyekeza,kutii,kusamehe,kuheshim n.k

Elimu ya darasani ni moja ya indicator ya Maendeleo sijui kama unajua hilo?

Nimeakuambia nenda jamii zilioelimika alafu njoo ambazo hazijaelimika uone zipo zenye Utu.

Ni ngumu kama huna elimu ukawa na utu.

Tunaweza kujadili kwa hoja alafu mwisho utaelewa kuwa elimu ndio inaibua na kuchochea thamani na utu wa mwanadamu.

Biblia yenyewe inasema, itafute elimu kwa maana ndio uzima wako, yaani zaidi ya utu
 
Katika kugawa uroda sio rahisi kwa mama wa nyumbani hii nimeshuhudia kwa wapemba ,wagunya ,wasomali niliokaa nao ,kwa sababu hawa jamaa wana sheria kali haswa kwa wake zao wanaokaa nyumbani mfano vitu vya ndani wanaleta wao kila kitu mpaka mkaa wanunua ,mke anakaa tu ndani.

Mwanamke wa nyumbani anaingia kweny hatari kama atakuwa mtu wa marafiki haswa saloon au mtaani, Kama atapenda mambo ya sherehe za aina yeyote maana huko watu ni kujionyesha tu uzuri wao ni kama kujiuza tu.

Wanawake wa maofisini ni vulnerable sana kuliwa na ni asilimia 10% tu hawapigwi ...Sababu misimamo binafsi, itikadi kali kama za kidini na mila ,kujitambua hawa ni wale weny umri mkubwa ,kutopenda mazoea hawa wale wanaojitambua ila wanajua nn kimewapeleka ofisini.

Wanawake wanaofanya haswa maofisini wanaliwa kweny mazoea ,trip za kazi...Ukaribu wa mtu kukaa na mwanadamu haswa jinsia tofauti kwa masaa 6 na zaidi ni hatari ...Kwa watu wa jinsia moja ni rahisu kujenga urafiki kinyume chake kwa watu wa jinsia tofauti kuwa wapenzi.

Bado kuna ishu za tamaa kama kupata safari ,posho ,kupanda daraja .. Katika suala la ngono wanaume watatumia kila mbinu watu wanakula mpaka wafagia ofisi washindwe hao wafanyakazi wao.


Pia heshima ya mwanamke ni kuwa na akili sio elimu vilevile heshima zaidi ya mwanamke ni kujistiri (kimwili ,tabia ,unyenyekevu ) ....

Kazini watu hawatumii akili zaidi ya mazoea ,akili zinabaki darasani ..
 
Elimu ya darasani ni moja ya indicator ya Maendeleo sijui kama unajua hilo?

Nimeakuambia nenda jamii zilioelimika alafu njoo ambazo hazijaelimika uone zipo zenye Utu.

Ni ngumu kama huna elimu ukawa na utu.

Tunaweza kujadili kwa hoja alafu mwisho utaelewa kuwa elimu ndio inaibua na kuchochea thamani na utu wa mwanadamu.

Biblia yenyewe inasema, itafute elimu kwa maana ndio uzima wako, yaani zaidi ya utu
Elimu inayozungumziwa kwenye Biblia ni maarifa ya kiroho kuhusu Mungu siyo hii formal education,elimu ya darasani imelenga kumpa mtu maarifa ya kazi fulani hususa Yan ujuzi,ila sio kuuandaa utu wa mtu
 
Katika kugawa uroda sio rahisi kwa mama wa nyumbani hii nimeshuhudia kwa wapemba ,wagunya ,wasomali niliokaa nao ,kwa sababu hawa jamaa wana sheria kali haswa kwa wake zao wanaokaa nyumbani mfano vitu vya ndani wanaleta wao kila kitu mpaka mkaa wanunua ,mke anakaa tu ndani.

Mwanamke wa nyumbani anaingia kweny hatari kama atakuwa mtu wa marafiki haswa saloon au mtaani, Kama atapenda mambo ya sherehe za aina yeyote maana huko watu ni kujionyesha tu uzuri wao ni kama kujiuza tu.

Wanawake wa maofisini ni vulnerable sana kuliwa na ni asilimia 10% tu hawapigwi ...Sababu misimamo binafsi, itikadi kali kama za kidini na mila ,kujitambua hawa ni wale weny umri mkubwa ,kutopenda mazoea hawa wale wanaojitambua ila wanajua nn kimewapeleka ofisini.

Wanawake wanaofanya haswa maofisini wanaliwa kweny mazoea ,trip za kazi...Ukaribu wa mtu kukaa na mwanadamu haswa jinsia tofauti kwa masaa 6 na zaidi ni hatari ...Kwa watu wa jinsia moja ni rahisu kujenga urafiki kinyume chake kwa watu wa jinsia tofauti kuwa wapenzi.

Bado kuna ishu za tamaa kama kupata safari ,posho ,kupanda daraja .. Katika suala la ngono wanaume watatumia kila mbinu watu wanakula mpaka wafagia ofisi washindwe hao wafanyakazi wao.


Pia heshima ya mwanamke ni kuwa na akili sio elimu vilevile heshima zaidi ya mwanamke ni kujistiri (kimwili ,tabia ,unyenyekevu ) ....

Kazini watu hawatumii akili zaidi ya mazoea ,akili zinabaki darasani ..
Naunga mkono hoja, ukaribu wa watu wa jinsia tofauti ni hatari sana, kazini ni rahisi sana kuzoeana,hata kwenye Uzi wa kula tunda kimasihara wanawake wengi wanaliwa kwenye safari za kikazi
 
MADHARA YA KUOA MWANAMKE AMBAYE HAJASOMA NA GOLIKIPA NI HAYA!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimeona kuna vijana hapa wanadanganyana na kuwa na mawazo ya kizamani.

Ati wao wataoa wanawake wenye elimu duni na wasiofanya kazi isipokuwa kazi za nyumbani (golikipa).

Sasa kwa ninyi mliofanya maamuzi ninyi sina neno na nyie kwa sababu huo ni uchaguzi wenu.

Wazo hili ni zao la kizamani ambalo msingi wake ulikuwa kwa jamii isiyoamini kama Mwanamke naye ni mtu.

Lakini ujumbe huu nimeandika ni kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au hawajui wachague kipi kati ya kuoa Mke aliyesoma na anayefanya kazi za taaluma au Mke ambaye hajasoma na ambaye atakuwa mama wa nyumbani.

Yafuatayo ni madhara ya moja kwa moja ambayo utayapata kwa kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na ambaye hana kazi yaani mama wa nyumbani;

1. Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
Hakuna kazi rahisi kama kutongoza Mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi. Ni rahisi kama kunywa uji wa mgonjwa. Yaani shwaaa!

Moja ya vitu vinavyompa mtu thamani kwa dunia ya leo ni Elimu.

Hata wanaume watakaomtongoza mkeo watakuwa Lundo kama siafu wekundu, hawamuogopi, wamuogope kwa kipi hasa! Lakini mdada shule ipo tena anawazidi mpaka wanaume Unafikiri hapo kuna nini.

Mpeleke mkeo ambaye hajasoma na hana kazi yoyote Kwenu siku ukitokea msiba uone jinsi atakavyotumikishwa kwa kusugua masufuria na makazi yasiyo na hadhi. Wakati huo Wake wa ndugu zao wamekaa mguu juu na hakuna kima yeyote atakayewasogelea isipokuwa wao wenyewe waamue.

Jipe hadhi kijana acha woga wa kijingajinga.

Unataka familia yako iwe cheap? Unataka watoto wako wajisikieje wakimuona mama yao(mkeo) akitumikishwa kwa kazi dhalili?

2. Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
Mke wako hana elimu alafu hana kazi. Atawezaje kusimamia majukumu yake kama mke na kama Mama?

Mke lazima awe na elimu ya kiwango fulani angalau Diploma kwa zama hizi. Kisha awe na kijikazi au kazi ya kuingiza mapato.

Mke ni Mama wa watoto wako lakini pia ni Mama yako mlezi wakati mwingine.

Lazima uwe na Mwanamke ambaye ataweza kubeba jukumu la kukutunza na kukulea kimwili na kiroho na wakati mwingine kiakili pale ambapo utakengeuka.

Sasa unachukua Mwanamke shule hana, hana kazi, Mwanamke anakuogopa badala ya kukuheshimu kisa hana kipato.

Umekengeuka kidogo hakuna wakukurudisha kwenye mstari.

Nawajua wanaume wengi ambao wao ndio chanzo cha kuvunja nyumba zao kwa kukengeuka kwao. Aidha kutumia vibaya uanaume na ubaba wao vibaya.

3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.

Raha ya mke aheshimiwe. Sio kila siku mke anakondeana kwa kudharaulika.

Binadamu ni kiumbe mwenye dharau Sana.

Kanisani atadharaulika. Mtaani hivyohivyo. Kisa hana elimu wala hana kazi. Yaani yupo yupo tuu.

4. Kugawa Uroda kirahisi.
Ni kweli wanawake wengi hugawa uroda lakini kuna kugawa Uroda kirahisi.

Fuatilia hata jamii yenye umalaya mwingi wanawake wao hawana elimu wala hawana kazi.

Yaani Mwanamke awe mwalimu au daktari au mwanasheria alafu awe Malaya, hiyo sio rahisi.

Ila mkeo akiwa hana elimu jua kabisa hata bodaboda hawamhofii. Yaani mwanaume yeyote anaweza kuruka naye kwa sababu mkeo ni level ya chini ambaye yeyote anaweza kutunda yake.

Lakini Mwanamke mwenye elimu na kipato ni kama Mnazi. Mpaka umpate lazima jasho likutoke na wapandaji huwa wachache.

Fikiria mkeo ni mkurugenzi Unafikiri ni wafanyakazi wake wangapi wana ujasiri wa kumtongoza? Lazima wawe na hofu.

Alafu fikiria mkeo hana elimu yoyote Unafikiri kuna mtu anamhofia kumfuata?
Hakuna!

Sasa mwanamke Watu wanatakiwa Wamheshimu yeye bila hata ya uwepo wako. Sio mkeo aheshimiwe kisa umemuoa yaani ni mke wa mtu. Hapo umepigwa.

Yaani Watu wanakuheshimu tuu wewe ndio maana hawamfuati mkeo lakini ukiwa haupo Watu wanajigaragaza. Lakini Mwanamke akiwa na kazi nzuri na elimu hata asipokuwa na mume anaheshimika na wanaume hujifikiri mara mbilimbili kumfuata.

Yote kwa yote Maisha ni ubatili. Lakini Watu wanachokazana ni kuepuka ubatili wenye maumivu, dharau, majonzi na taabu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kwa mwanamke ,Level ipi ya elimu kwanza ndio tumuhesabie kuwa kaelimika ?

Kaka kwani wasio na elimu ni wanawake tu. ?

TUWAACHE WAOANE.
 
Unajuaje Status za mapenzi za mamayako, kama alikua angongwa kirahisi wewe ulikuwa mtoto na onamuona yeye Mama tu, utajuaje kama alikuwa haeshimiki wakati wewe ulikuwa mtoto hujui kuheshimika nini unachojua kulilia lambalamba za mia.

Sorry kwa kutumia mifano mikali tatizo sio mimi tatizo ni wewe kutoheahimu LINE ya MAMA na MWANAMKE, huyo ni mamayako ila ni mwanamke tu kwa baba yako na wajuba wa enzi ya ubalobalo wa baba yako kipindi ambacho wewe unamjua yeye kama mama tu wa kulilia akununulie asikilimu.
Sasa kugongwa na elimu vina uhusiano gani ?, huko vyuoni ni kufuru tupu.
 
MADHARA YA KUOA MWANAMKE AMBAYE HAJASOMA NA GOLIKIPA NI HAYA!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Nimeona kuna vijana hapa wanadanganyana na kuwa na mawazo ya kizamani.

Ati wao wataoa wanawake wenye elimu duni na wasiofanya kazi isipokuwa kazi za nyumbani (golikipa).

Sasa kwa ninyi mliofanya maamuzi ninyi sina neno na nyie kwa sababu huo ni uchaguzi wenu.

Wazo hili ni zao la kizamani ambalo msingi wake ulikuwa kwa jamii isiyoamini kama Mwanamke naye ni mtu.

Lakini ujumbe huu nimeandika ni kwa wale ambao bado hawajafanya maamuzi au hawajui wachague kipi kati ya kuoa Mke aliyesoma na anayefanya kazi za taaluma au Mke ambaye hajasoma na ambaye atakuwa mama wa nyumbani.

Yafuatayo ni madhara ya moja kwa moja ambayo utayapata kwa kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na ambaye hana kazi yaani mama wa nyumbani;

1. Atakuwa Mwanamke Cheap na wagharama nafuu Kabisa.
Hakuna kazi rahisi kama kutongoza Mwanamke ambaye hajasoma na hana kazi. Ni rahisi kama kunywa uji wa mgonjwa. Yaani shwaaa!

Moja ya vitu vinavyompa mtu thamani kwa dunia ya leo ni Elimu.

Hata wanaume watakaomtongoza mkeo watakuwa Lundo kama siafu wekundu, hawamuogopi, wamuogope kwa kipi hasa! Lakini mdada shule ipo tena anawazidi mpaka wanaume Unafikiri hapo kuna nini.

Mpeleke mkeo ambaye hajasoma na hana kazi yoyote Kwenu siku ukitokea msiba uone jinsi atakavyotumikishwa kwa kusugua masufuria na makazi yasiyo na hadhi. Wakati huo Wake wa ndugu zao wamekaa mguu juu na hakuna kima yeyote atakayewasogelea isipokuwa wao wenyewe waamue.

Jipe hadhi kijana acha woga wa kijingajinga.

Unataka familia yako iwe cheap? Unataka watoto wako wajisikieje wakimuona mama yao(mkeo) akitumikishwa kwa kazi dhalili?

2. Mwanamke kuwa Mnafiki na kushindwa kusimama katika nafasi yake ya mke na Mama.
Mke wako hana elimu alafu hana kazi. Atawezaje kusimamia majukumu yake kama mke na kama Mama?

Mke lazima awe na elimu ya kiwango fulani angalau Diploma kwa zama hizi. Kisha awe na kijikazi au kazi ya kuingiza mapato.

Mke ni Mama wa watoto wako lakini pia ni Mama yako mlezi wakati mwingine.

Lazima uwe na Mwanamke ambaye ataweza kubeba jukumu la kukutunza na kukulea kimwili na kiroho na wakati mwingine kiakili pale ambapo utakengeuka.

Sasa unachukua Mwanamke shule hana, hana kazi, Mwanamke anakuogopa badala ya kukuheshimu kisa hana kipato.

Umekengeuka kidogo hakuna wakukurudisha kwenye mstari.

Nawajua wanaume wengi ambao wao ndio chanzo cha kuvunja nyumba zao kwa kukengeuka kwao. Aidha kutumia vibaya uanaume na ubaba wao vibaya.

3. Mkeo hataheshimiwa na Watu wa nje.

Raha ya mke aheshimiwe. Sio kila siku mke anakondeana kwa kudharaulika.

Binadamu ni kiumbe mwenye dharau Sana.

Kanisani atadharaulika. Mtaani hivyohivyo. Kisa hana elimu wala hana kazi. Yaani yupo yupo tuu.

4. Kugawa Uroda kirahisi.
Ni kweli wanawake wengi hugawa uroda lakini kuna kugawa Uroda kirahisi.

Fuatilia hata jamii yenye umalaya mwingi wanawake wao hawana elimu wala hawana kazi.

Yaani Mwanamke awe mwalimu au daktari au mwanasheria alafu awe Malaya, hiyo sio rahisi.

Ila mkeo akiwa hana elimu jua kabisa hata bodaboda hawamhofii. Yaani mwanaume yeyote anaweza kuruka naye kwa sababu mkeo ni level ya chini ambaye yeyote anaweza kutunda yake.

Lakini Mwanamke mwenye elimu na kipato ni kama Mnazi. Mpaka umpate lazima jasho likutoke na wapandaji huwa wachache.

Fikiria mkeo ni mkurugenzi Unafikiri ni wafanyakazi wake wangapi wana ujasiri wa kumtongoza? Lazima wawe na hofu.

Alafu fikiria mkeo hana elimu yoyote Unafikiri kuna mtu anamhofia kumfuata?
Hakuna!

Sasa mwanamke Watu wanatakiwa Wamheshimu yeye bila hata ya uwepo wako. Sio mkeo aheshimiwe kisa umemuoa yaani ni mke wa mtu. Hapo umepigwa.

Yaani Watu wanakuheshimu tuu wewe ndio maana hawamfuati mkeo lakini ukiwa haupo Watu wanajigaragaza. Lakini Mwanamke akiwa na kazi nzuri na elimu hata asipokuwa na mume anaheshimika na wanaume hujifikiri mara mbilimbili kumfuata.

Yote kwa yote Maisha ni ubatili. Lakini Watu wanachokazana ni kuepuka ubatili wenye maumivu, dharau, majonzi na taabu.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
-Mkeo kukaa miguu juu kwenye function za kifamilia sio jambo la kujivunia.

-Makahaba wengi mtaani kwa sasa na Graduates. Neno 'Kudanga', limeletwa na wanawake wasomi.

-Wanawake wanaoongoza kuvunja ndoa ni waliosoma. Kadri elimu inavyopanda ndivyo hatari ya kuvunja ndoa inaongezeka

-Hakuna mwanamke jasiri kuchepuka kama aliyesoma, hawanaga hofu kabisa. Vyuo vinawabadilisha sana wanawake.
 
Ila hapo umeniacha hoi angalau diploma
emoji16.png
emoji16.png
umeidharau kiasi hiko ?

Sijaidharau. Ila angalau ndio elimu kati
-Mkeo kukaa miguu juu kwenye function za kifamilia sio jambo la kujivunia.

-Makahaba wengi mtaani kwa sasa na Graduates. Neno 'Kudanga', limeletwa na wanawake wasomi.

-Wanawake wanaoongoza kuvunja ndoa ni waliosoma. Kadri elimu inavyopanda ndivyo hatari ya kuvunja ndoa inaongezeka

-Hakuna mwanamke jasiri kuchepuka kama aliyesoma, hawanaga hofu kabisa. Vyuo vinawabadilisha sana wanawake.

- Mwanamke kusoma na kufanya kazi sio kuwa juu ya familia.
Ni sifa ya kuwa mke bora

- Unazungumzia jambo usilolifahamu kwenye ishu ya Ukahaba. Nenda madanguro yote nchini asilimia 95 ya makahaba hapa nchini wanaelimishwa ndogo chini ya kidato cha nne.

- Ndoa kama inaunyanyasaji, umungumtu hiyo lazima ivunjwe. Hata mimi nawahamasisha wanawake wavunje ndoa ikiwa wananyanyasika kwa wanaume wanaotaka kutetemekewa.

- Hakuna kazi rahisi kama kumtongoza mwanamke ambaye hajasoma na mama wa nyumbani.

Wanaume wengi hasa wanaotaka kuoa wanawake wa hadhi ya chini wanaogopa kutongoza wanawake wasomi, wenye vipato, na wanawake warembo.
Hii ni kutokana na kutojiamini
 
Sasa kugongwa na elimu vina uhusiano gani ?, huko vyuoni ni kufuru tupu.

Chuo kipi hicho mkuu!

Wakati kuna wanachuo wanamaliza chuo pasipo kuwa na binti wa chuo. Na kuanza wanawake wanamaliza chuo pasipo kupata mwanaume hata mmoja wa kumzagamua
 
Kwa mwanamke ,Level ipi ya elimu kwanza ndio tumuhesabie kuwa kaelimika ?

Kaka kwani wasio na elimu ni wanawake tu. ?

TUWAACHE WAOANE.
Kwa mwanamke ,Level ipi ya elimu kwanza ndio tumuhesabie kuwa kaelimika ?

Kaka kwani wasio na elimu ni wanawake tu. ?

TUWAACHE WAOANE.

Ni kweli.
Hakuna anayemzuia mtu kuoa mwanamke yeyote.
Isipokuwa nilikuwa naondoa upotoshaji ulioandikwa hapa kuwa ukioa Mwanamke asiye na elimu ndio atakuheshimu.
Mimi nikaandika madhara ya kuoa mke asiye na elimu na asiyefanyakazi
I
 
Back
Top Bottom