Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Madhara ya kuoa Mwanamke ambaye hajasoma na Golikipa ni haya!

Elimu inayozungumziwa kwenye Biblia ni maarifa ya kiroho kuhusu Mungu siyo hii formal education,elimu ya darasani imelenga kumpa mtu maarifa ya kazi fulani hususa Yan ujuzi,ila sio kuuandaa utu wa mtu

Tupe andiko linalosapoti jambo hilo.
Embu tuambie elimu ya kiroho pekee ingewezaje kujenga Hekula au Safina aliyoagiza Mungu?
Tuambie ni kwa namna ipi Kujua kwako biblia au quran kutakuwezesha kutengeneza Gari au meli, au Ndege?
Tuembie elimu ya kiroho itakusaidia vipi kushona hata chupi au suruali?

Elimu inayozungumziwa hapo ni elimu Dunia.
Elimu ya kiroho mtu anapewa tangu akiwa mtoto kupitia Torati.
 
Ni kweli.
Hakuna anayemzuia mtu kuoa mwanamke yeyote.
Isipokuwa nilikuwa naondoa upotoshaji ulioandikwa hapa kuwa ukioa Mwanamke asiye na elimu ndio atakuheshimu.
Mimi nikaandika madhara ya kuoa mke asiye na elimu na asiyefanyakazi
I
Nimekuelewa.

Kwamba "mwanamke anaweza akawa na elimu akawa mbovu, na anaweza asiwe na elimu akawa mbovu pia, ni sawa na akawa na elimu akawa mbora, na asiwe na elimu akawa mbora pia."
 
Nimekuelewa.

Kwamba "mwanamke anaweza akawa na elimu akawa mbovu, na anaweza asiwe na elimu akawa mbovu pia, ni sawa na akawa na elimu akawa mbora, na asiwe na elimu akawa mbora pia."

Mwanamke akiwa na elimu hawezi kulingana na asiye na elimu maisha!

Hawezi akawa hana elimu alafu akawa bora wakati elimu ni moja ya vigezo vinavyoongezwa ubora wake.

Nimekuambia, mkeo akiwa darasa la saba hata awe bora vipi hawezi kuwa na thamani kwenye jamii kama mwenye degree na kazi ya taaluma.
Ndio nikasema siku utokee msiba kwenu au mkusanyiko ndio utaelewa mkeo asiye na kazi wala elimu atawekwa kundi lipi.

Au siku ukifa watoto wako ndio watajua mama yao alikuwa bora kwa kiwango kipi ukilinganisha na mama ambaye amesoma na anakazi.
 
Tupe andiko linalosapoti jambo hilo.
Embu tuambie elimu ya kiroho pekee ingewezaje kujenga Hekula au Safina aliyoagiza Mungu?
Tuambie ni kwa namna ipi Kujua kwako biblia au quran kutakuwezesha kutengeneza Gari au meli, au Ndege?
Tuembie elimu ya kiroho itakusaidia vipi kushona hata chupi au suruali?

Elimu inayozungumziwa hapo ni elimu Dunia.
Elimu ya kiroho mtu anapewa tangu akiwa mtoto kupitia Torati.
Hiyo safina unayoisema Nuhu/Noa alipewa maagizo na Mungu Kila kitu jinsi ya kukifanya, elimu ya darasani na utu havihusiani,utu unategemea zaidi HEKIMA,na HEKIMA haipo katika mitaala ya elimu Dunia bali katika mafundisho ya kidini au kiroho,ukijua tofauti ya ujuzi,uelewa na HEKIMA utaelewa nnachomaanisha
 
Hiyo safina unayoisema Nuhu/Noa alipewa maagizo na Mungu Kila kitu jinsi ya kukifanya, elimu ya darasani na utu havihusiani,utu unategemea zaidi HEKIMA,na HEKIMA haipo katika mitaala ya elimu Dunia bali katika mafundisho ya kidini au kiroho,ukijua tofauti ya ujuzi,uelewa na HEKIMA utaelewa nnachomaanisha

Hiyo Safina aliyopewa maelekezo ndio elimu yenyewe. Haikuwa elimu ya kiroho bali elimu ya duniani.
 
Mi naamini mwanamke akiwa na elimu ya msingi nzuri au sekondari inatosha kabisa
Elimu nzuri kuliko zote kwa mwanamke ni malezi ya familia aliyotoka na mfano WA wazazi kwenye ndoa yao mahusinao yao.
Elimu kubwa ni ziada tu na sometime inaweza kuwa chanzo cha jeuri.
Kwangu mwanamke bora anayeweza kuwa mama kwa watoto, anayeanglia mambo ya nyumban kwa ukaribu, anayeunganisha familia.

Jeuri ya mtu mara nyingi inatokea ndani yake na sio nje. Yaani yeye kuwa na elimu au Pesa sio sababu ya kuwa jeuri.
Kuna wanawake ni mama wa nyumbani na hawana elimu na ni wajeuri na kiburi hujapata kuona.

Wakati unachagua mke lazima ufikirie siku ukiwa haupo nini kitaendelea kwenye familia yako.
 
Umeandika upuuzi wa hali ya Juu. Tumelelewa na mamana bibi zetu wasio soma kwani kunatofauti sana kati ya kusoma na akili za maisha na malezi.

Huna ujualo, kukaa na binti Kimoso mwenye Certificate ya ushonaji umeona umeyapatia kweli dogo😀😃😄😁😆😅 kwamza katoe posa kwao na mfunge ndoa. Acha kumchezea binti wa watu.
 
Mama yake Nyerere alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa kwanza wa Tanzania,Mama yake Raisi wa pili wa Tanzania Raisi Ali Hassan Mwinyi alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa pili wa Tanzania,Mama yake Raisi wa Tatu wa Tanzania Raisi Benjamin Mkapa alikuwa Golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi wa Tatu wa Tanzania Raisi Benjamin Mkapa ,mama yake Raisi wa Nne wa Tanzania Raisi Jakaya Kikwete mama yake alikuwa golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi Kikwete Raisi wa awamu ya Nne ,Raisi wa awamu ya Tano Magufuli mama yake alikuwa Golikipika hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi Magufuli,Raisi wa awamu ya Sita Mama Samia Suluhu Hassan mama yake Golikipa hajui kusoma Wala kuandika katoa Raisi

Swali wewe mleta mada mama Yako anayejua kusoma na kuandika wewe kakuzalisha kama nani mbona mchovu tu labda unakovjiunia na kujiona wa maana humu una Maisha Gani mchovu choka mbaya wewe na mama Yako msomi mtoto wa mama msomi na asiye golikipa mbona wote chokambaya mnajikuna upele tu

Unazungumzia mambo ya zamani mno.
Dunia ya kipindi hicho ambacho Wanawake walikuwa sio Watu.

Mtu Unazungumzia karne ya 19 na 20 ambapo wanawake walikuwa hata kusoma hawaruhusiwi. Kumiliki mali hawaruhusiwi, walikuwa wanachukuliwa kama wa
 

Mit 4:13 SUV​

Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.
Elimu inayozungumziwa hapo ni ya kiroho,hiyo ndio huleta uzima sio elimu ya darasani,,MHUBIRI7:12"Kwamaana HEKIMA ni ulinzi kama pesa zilivyo ulinzi,lakini hii ndio faida ya ujuzi,HEKIMA humuifadhi hai yule aliyonayo" .Mkuu hivi unaju tofauti ya Elimu na HEKIMA? Ni ipi?
 
Jeuri ya mtu mara nyingi inatokea ndani yake na sio nje. Yaani yeye kuwa na elimu au Pesa sio sababu ya kuwa jeuri.
Kuna wanawake ni mama wa nyumbani na hawana elimu na ni wajeuri na kiburi hujapata kuona.

Wakati unachagua mke lazima ufikirie siku ukiwa haupo nini kitaendelea kwenye familia yako.
Kama unajua hilo umerelatisha vipi uzinzi (Kuwa cheap) na kukosa elimu ya Darasani?
 
Umeandika upuuzi wa hali ya Juu. Tumelelewa na mamana bibi zetu wasio soma kwani kunatofauti sana kati ya kusoma na akili za maisha na malezi.

Huna ujualo, kukaa na binti Kimoso mwenye Certificate ya ushonaji umeona umeyapatia kweli dogo😀😃😄😁😆😅 kwamza katoe posa kwao na mfunge ndoa. Acha kumchezea binti wa watu.

😄😄

Umeandika upuuzi wa hali ya Juu. Tumelelewa na mamana bibi zetu wasio soma kwani kunatofauti sana kati ya kusoma na akili za maisha na malezi.

Huna ujualo, kukaa na binti Kimoso mwenye Certificate ya ushonaji umeona umeyapatia kweli dogo😀😃😄😁😆😅 kwamza katoe posa kwao na mfunge ndoa. Acha kumchezea binti wa watu.

Unafikiri huyo mama yako ambaye hakusoma alipenda kuwa mjinga?
Baba na Babu zako walikuwa wajinga na wakatili ndio maana waliwatesa Mama zako na kuwanyima haki zao kama kusoma na kufanya kazi. Sio ajabu jamii zetu ni maskini kwa sababu ya mitazamo kama yenu.

Kama vile Babu yako alivyomzuia Mama yako kusoma na kuwa mama golikipa na asiyedoma nawe usiwapeleke shule binti zako na waambie wawe magolikipa alafu uone jinsi dunia itakavyowanyoosha
 
😄😄



Unafikiri huyo mama yako ambaye hakusoma alipenda kuwa mjinga?
Baba na Babu zako walikuwa wajinga na wakatili ndio maana waliwatesa Mama zako na kuwanyima haki zao kama kusoma na kufanya kazi. Sio ajabu jamii zetu ni maskini kwa sababu ya mitazamo kama yenu.

Kama vile Babu yako alivyomzuia Mama yako kusoma na kuwa mama golikipa na asiyedoma nawe usiwapeleke shule binti zako na waambie wawe magolikipa alafu uone jinsi dunia itakavyowanyoosha
Wacha mbwembwe dogo. Elimu ya darasani haina chochote kwenye maisha halisia zaidi ya kuinua viburi tu kwenye ndoa. Kuna watu wanajuta kuoa hao wanawake wenye elimu, sasa wanasema ni bora angeoa hata mtu asiyejua kusoma tokana na madhira anayokutana nayo. Omba Mungu binti Kimoso awe na busara kwenye mahusiano yenu. Funga ndoa na yule binti basi.
 
Kama unajua hilo umerelatisha vipi uzinzi (Kuwa cheap) na kukosa elimu ya Darasani?

Kwa sababu Mwanamke asiyesoma hadhi yake niya chini na hakuna anayemhofia. Yeyote anaweza kumtongoza hata mwendawazimu.
Na kwa vile ni mjinga na asiye na elimu hudanganywa na vitu vidogovidogo
 
MWANAUME NDIO...... MKE AWE NA PESA NA ELIMU AFU MUHUNI UWE NDIO..... KUHESHIMIWA KWA MWANAMKE KUNATOKANA NA MAMLAKA YA MWANAMME... AFU MTOA MADA HEBU SOMA KWANZA VIZUR HIYO HEADING... YAANI SOMA RUDIA KAA SEKUNDE SOMA TENA FIKIRI TENA KIDOGO SOMA KUNA KITU UTAGUNDUA "mwanamke ambae hajasoma "na" golikipa why this?
 
Wacha mbwembwe dogo. Elimu ya darasani haina chochote kwenye maisha halisia zaidi ya kuinua viburi tu kwenye ndoa. Kuna watu wanajuta kuoa hao wanawake wenye elimu, sasa wanasema ni bora angeoa hata mtu asiyejua kusoma tokana na madhira anayokutana nayo. Omba Mungu binti Kimoso awe na busara kwenye mahusiano yenu. Funga ndoa na yule binti basi.

Wewe ndio hujui umuhimu wa elimu ya darasani wakati huohuo unajua kabisa mkeo bila kuwa na elimu darasani huku mtaani hata akiomba kazi mshahara wake haumtoshi hata yeye mwenyewe.

Kuna mambo siwezi kumuomba Mungu wakati najua nini nitafanya kama ikitokea dharura. Huyo binti Kimoso akizingua kanuni zangu zinajulikana kama nilivyompata kwa kanuni ndivyo hivyohivyo tutaachana kwa kanuni
 
MWANAUME NDIO...... MKE AWE NA PESA NA ELIMU AFU MUHUNI UWE NDIO..... KUHESHIMIWA KWA MWANAMKE KUNATOKANA NA MAMLAKA YA MWANAMME... AFU MTOA MADA HEBU SOMA KWANZA VIZUR HIYO HEADING... YAANI SOMA RUDIA KAA SEKUNDE SOMA TENA FIKIRI TENA KIDOGO SOMA KUNA KITU UTAGUNDUA

Ipo heshima Mwanamke mwenyewe na ipo heshima ya Mwanamke anayoipata kwa Mumewe.
Halikadhalika na sisi wanaume, ipo heshima yako binafsi na ipo heshima utakayoipata kutokana na Mkeo.
 
Wanawake hawawezi kutunza wanaume wa aina yako. Wenye mitazamo ya kimungu mtu.
Mimi najua wanawake kibao wanaotunza Waume zao tena waliopatwa na matatizo mazito ya kiafya, kufukuzwa kazi bila kutegemea ndugu wa mume au wa upande wa mke.
W
Wanawake hawawezi kutunza Mwanaume yoyote.

Sikiliza stori zao, vitimbwi vyao na hulka zao.

We mtibeli uliyekengeuka Mwanamke ahitaji Mwanaume wa kuonewa huruma.
 
Back
Top Bottom