Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli naongea tu ila nina uhakika kabsaUnaongea tu
I support uShaapa siji kutumia hzo njia za kisasa
Withdawal??mbegu hata 1 inaeza baki Mkuu na Ikatoa matokeo sio mpaka Maelfu ya mbegu.Lakn pia huu mchezo Mkuu Raha zinaeza zidi ukashindwa kuchomoa dk ya 89 ya mchezo.SishauriJamni njia pekee isio na madhara ni withdrawal tu na ni mzr kwa afya na pia njia ya calendar zko sawa hzo
Hyo haiwzkni huwz kuzpngia hicia iviNitatoombwa tu kwa mwaka mara moja
Lazma uwe mvumlivu kwa njia ingawa ina ugumu kdgo ila nisalama mbegu haiwz kuwa hai wkt ushtoa nje na kuftaWithdawal??mbegu hata 1 inaeza baki Mkuu na Ikatoa matokeo sio mpaka Maelfu ya mbegu.Lakn pia huu mchezo Mkuu Raha zinaeza zidi ukashindwa kuchomoa dk ya 89 ya mchezo.Sishauri
Kuna wanawake nilipata shuhuda zao nikasema siji subutu hata kidogo, hyo ya sindano ni kero unaweza usije zaa tena, njiti inasogea mbele au unapata uvimbe, kitanza kupata infections, kiruuu shaapa hafu bado wanawake kunenepa tumbo na nyonyoI support u
Mnavopenda kutumwagia wala sisubutu hiyo kitu.kuna mijitu ikiweka tu inatema checheWithdawal??mbegu hata 1 inaeza baki Mkuu na Ikatoa matokeo sio mpaka Maelfu ya mbegu.Lakn pia huu mchezo Mkuu Raha zinaeza zidi ukashindwa kuchomoa dk ya 89 ya mchezo.Sishauri
Hzo njia znaathar kubwa wtu hawjli afya za waafrica wnajli psa tu nakuucontrol ulimwngu lzma tuwe makini tusiburuzwe tuuKuna wanawake nilipata shuhuda zao nikasema siji subutu hata kidogo, hyo ya sindano ni kero unaweza usije zaa tena, njiti inasogea mbele au unapata uvimbe, kitanza kupata infections, kiruuu shaapa hafu bado wanawake kunenepa tumbo na nyonyo
Kawaida ww unajua kma keshkua tyr kumwga ss ni hiar yko kumuachia akamwga ndni au kumtolea njeMnavopenda kutumwagia wala sisubutu hiyo kitu.kuna mijitu ikiweka tu inatema cheche
Kabisa mi nitatumia tu calendar basiHzo njia znaathar kubwa wtu hawjli afya za waafrica wnajli psa tu nakuucontrol ulimwngu lzma tuwe makini tusiburuzwe tuu
Sasa pale ndo flavour inapokolea unambana hata hapumuiKawaida ww unajua kma keshkua tyr kumwga ss ni hiar yko kumuachia akamwga ndni au kumtolea nje
Ss unatkiwa usjisahau kma htki ivo umuachwe amwge nje na wle wanaoshindwa huwa wnapapara ktk kusex wkt inatakiwa slowslowSasa pale ndo flavour inapokolea unambana hata hapumui
Kma mwnamke anajielewa bora calendar ila kma mwnamme anajielewa na anajiweza bora withdrawalKabisa mi nitatumia tu calendar basi
Calendar ipi mnaisemea? Cycle inabadilika kila maraKma mwnamke anajielewa bora calendar ila kma mwnamme anajielewa na anajiweza bora withdrawal
Mabadliko yke hyawzikua makubwa hd kukupotza inawz kuzd sku au kupngua ila mpka hpo inakua mpo salamaCalendar ipi mnaisemea? Cycle inabadilika kila mara
Calendar ni best hyo withdrawal huwashinda wengiKma mwnamke anajielewa bora calendar ila kma mwnamme anajielewa na anajiweza bora withdrawal
Bora uwaambie hata sielewi wanaongelea kalenda gani hawa jamaaKufuata kalenda na kuchomoa uume kabla hujamwagia ndani naamini kabisa hii ni misimamo ya vijana ambao hawajui gharama za kupata ujauzito ambao huna mpango nao kabisa
Nakumbuka niliapa kutokuja kutumia njia hizi za kisasa katika kupanga uzazi nami nilijiapiza kutumia kalenda na mwanaume nae alikuwa anachomoa hahahahahaha nicheke kwanza
Ilikuwa utoto labda
Nikapata ujauzito wa ghafla bin vuu Mungu anisamehe nilitamani kuutoa na nilifika kabisa kwa daktari lkn alikataa kuutoa ikanibidi niulee ujauzito kishingo upande kuna siku nilikuwa naomba kabisa hata mimba itoke ndo kwanzaaaaaa ikafika miezi 9 nikajifungua fresh tu
Hapo ndipo nilivunja kiapo changu nikaweka kitanzi maisha mazuri nabinuka nitakavyo mguu mmoja darini mwingine sakafuni no stress
Kalenda ni nzuri lakini kumbukeni siku ya kupata ujauzito ndipo k nayo inaongoza kwa kutoa machozi ya kuwasha na hapo ndipo bwana bamia anapokuwaga mtamu balaa halafu unambie nisiduu au mwanaume aichomoe mnafanya masikhara na utamu nyie
Kuliko kulea mimba kwa masikitiko na manung'uniko ni heri kuizuia ni hayo tu wapendwa
Mnaoapa apeni kimya kimya nawashauri tu
Unatkiwa ufkirie kukosa utamu wa mara moja na kupta shda ya mara nygi bora nnKufuata kalenda na kuchomoa uume kabla hujamwagia ndani naamini kabisa hii ni misimamo ya vijana ambao hawajui gharama za kupata ujauzito ambao huna mpango nao kabisa
Nakumbuka niliapa kutokuja kutumia njia hizi za kisasa katika kupanga uzazi nami nilijiapiza kutumia kalenda na mwanaume nae alikuwa anachomoa hahahahahaha nicheke kwanza
Ilikuwa utoto labda
Nikapata ujauzito wa ghafla bin vuu Mungu anisamehe nilitamani kuutoa na nilifika kabisa kwa daktari lkn alikataa kuutoa ikanibidi niulee ujauzito kishingo upande kuna siku nilikuwa naomba kabisa hata mimba itoke ndo kwanzaaaaaa ikafika miezi 9 nikajifungua fresh tu
Hapo ndipo nilivunja kiapo changu nikaweka kitanzi maisha mazuri nabinuka nitakavyo mguu mmoja darini mwingine sakafuni no stress
Kalenda ni nzuri lakini kumbukeni siku ya kupata ujauzito ndipo k nayo inaongoza kwa kutoa machozi ya kuwasha na hapo ndipo bwana bamia anapokuwaga mtamu balaa halafu unambie nisiduu au mwanaume aichomoe mnafanya masikhara na utamu nyie
Kuliko kulea mimba kwa masikitiko na manung'uniko ni heri kuizuia ni hayo tu wapendwa
Mnaoapa apeni kimya kimya nawashauri tu