Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,475
- 1,860
Nimeshatupia Pepsi kama nne had asaiv kwa wiki napiga cret zima nikihesabu duuuh izo sumu nilizonazo ss shida
Mkuu andaa kabisa na pesa ya matibabu, maana hakika madhara utakutana nayo tu....
soda haina shida na ni nzuri sana kwa wagonjwwa hasa waharishao.
Duuuuh nifanye nn ss kuanza kupunguza sumu
Mkuu nmejarib kuattach bt inagoma, ila kiukweli soda n tatzo kubwa,
Nmejarib kuapload inagoma, kesho ntaitouch nikiwa ofisin.kama una nia ya kuwasaidia wengine ungeweka hiyo video hapa au unatumia nokia ya tochi kuingia humu JF
mkuu siku utakayoacha kunywa soda utagongwa na gari na kama kufa utakufa tu maisha yenyewe haya bado na soda ujizuie
ha ha ha ha ha
unatumia njia gani kuploadNmejarib kuapload inagoma, kesho ntaitouch nikiwa ofisin.
Mkuu swala c kufa ila kuzingatia kanuni za afya, ni vyema ukawa na mawazo ya kuishi miaka 1000 ila ukaishi kama itakufa kesho.mkuu siku utakayoacha kunywa soda utagongwa na gari na kama kufa utakufa tu maisha yenyewe haya bado na soda ujizuie
ha ha ha ha ha
soda haina shida na ni nzuri sana kwa wagonjwwa hasa waharishao.
Mkuu swala c kufa ila kuzingatia kanuni za afya, ni vyema ukawa na mawazo ya kuishi miaka 1000 ila ukaishi kama itakufa kesho.
wabongo wengi lishe duni wanatembea na kufanya kazi sukari ikiwa haiwatoshi mwilini na soda uwakataze si utawaua.Hilo nalo neno kufa kwenye asaiv hakueleweki unaweza ukaacha.kumbe unajila tuuuuu
wabongo wengi lishe duni wanatembea na kufanya kazi sukari ikiwa haiwatoshi mwilini na soda uwakataze si utawaua.
hatuachi kunywa soda mbona huachi kutumia simu wakati zina madhara ??
Kama kuna mtu anaihitaji hyo video ani pm kwa no ya wasup nmtumie. Pengine anaweza anweza kusaidia ku apload
soda haina shida na ni nzuri sana kwa wagonjwwa hasa waharishao.