Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

soda haina shida na ni nzuri sana kwa wagonjwwa hasa waharishao.
 
kama una nia ya kuwasaidia wengine ungeweka hiyo video hapa au unatumia nokia ya tochi kuingia humu JF
 
Duuuuh nifanye nn ss kuanza kupunguza sumu

mkuu siku utakayoacha kunywa soda utagongwa na gari na kama kufa utakufa tu maisha yenyewe haya bado na soda ujizuie

ha ha ha ha ha
 
mkuu siku utakayoacha kunywa soda utagongwa na gari na kama kufa utakufa tu maisha yenyewe haya bado na soda ujizuie

ha ha ha ha ha

Hilo nalo neno kufa kwenye asaiv hakueleweki unaweza ukaacha.kumbe unajila tuuuuu
 
mkuu siku utakayoacha kunywa soda utagongwa na gari na kama kufa utakufa tu maisha yenyewe haya bado na soda ujizuie

ha ha ha ha ha
Mkuu swala c kufa ila kuzingatia kanuni za afya, ni vyema ukawa na mawazo ya kuishi miaka 1000 ila ukaishi kama itakufa kesho.
 
soda haina shida na ni nzuri sana kwa wagonjwwa hasa waharishao.

Na hospitali naonaga wagonjwa wengi tu wameletewa fanta orange sasa kwa ile video clip sijui ndio una mfariji au una muua?!
 
Mkuu swala c kufa ila kuzingatia kanuni za afya, ni vyema ukawa na mawazo ya kuishi miaka 1000 ila ukaishi kama itakufa kesho.

wengi wetu kanuni za afya tumeanza ukubwani utotoni kulikuwa hakuna mambo hayo labda wa kishua
 
Hilo nalo neno kufa kwenye asaiv hakueleweki unaweza ukaacha.kumbe unajila tuuuuu
wabongo wengi lishe duni wanatembea na kufanya kazi sukari ikiwa haiwatoshi mwilini na soda uwakataze si utawaua.
 
Back
Top Bottom