We jamaaa wewee! kunywa soda nitalipa! Myth na ushindani wa biashara unawatisha watu waache kunywa kasoda?Nyie endeleeni tu kudanganyana sie twanywa... miaka yote tangu zimeanza kutengenezwa nani umewahi kusikia amekufa sababu ya soda ?
Sumu ya nini?Habari mwana JF.
Leo nimekusogezea kipande cha video kinachoonesha madhara ya soda.
SajukiNyie endeleeni tu kudanganyana sie twanywa... miaka yote tangu zimeanza kutengenezwa nani umewahi kusikia amekufa sababu ya soda ?
Mkisikiliza sana manano ya watu mtaishia kunywa maji tu.
chaguo ni lako
nyongeza kwa a mbao mna m be za mtoa mada
Sajuki alikufa kwa ugonjwa wa ini.. na kuna sababu nyingi tu zinazoleta ugonjwa huo ikiwemo ugali wa udaga na karanga na wala si soda.. je wewe hutumii ugali wa mhogo au karanga ?Sajuki
Vyote vilivyoko hapa vitatengenezwa mwilini na vitu unavyokula kila siku hata usipokunywa soda..hivi soda zimeanza kutengenezwa mwaka juzi au ?mbona hizi habari hazikuwepo zamani ? nani kafanya research na kaandika ni kwa % ngapi soda ina madhara ? na ni madhara gani ? mbona mnaishia tu kuleta vipicha visivyoeleweka amabavyo hata mi naweza kutengeneza, mi nikikwambia ugali wa mhogo una madhara nakuwekea hapa na article kabisa watu wamefanya research, nyie mbona hamuweki mnazunguka tu, acheni siasachaguo ni lako
Maji yenyewe sumu.... hahahahaMkisikiliza sana manano ya watu mtaishia kunywa maji tu.