Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

kwa hiyo hunywi kabisa? Nifanyeje ili niache? Niliambiwa konyagi inasaidia ku loose weight, kumbe si lolote, nimenenepa zaidi sasa nina 83 kg, jamani! Halafu kuiacha imekuwa taabu

Tatizo unakunywa konyagi na minyama ya kuchoma. Tandika mzinga mmoja wa konyagi na mlo mmoja kwa siku uzito utapungua tu!
 
Naunga mkono hoja!
Bia inaongeza damu sana.
Me ndio maana huwa nawashauri watu kunywa BIERE kwa afya zao,kwenye BIERE kuna mambo mazuri sana (1)tunaongeza damu(2)tunakutana na watu mbali mbali na kupeana michakato ya kimaisha mbali mbali nk nk nk..........
 
wakubwa mie soda siachi!! sitapata kisukari au tatizo lolote!! bia sinywi halafu mnanikataza na soda? sitaki
 
Nipe ushahidi wa kisayansi kuonyesha kuwa Beer inaongeza damu. Bila shaka wewe ni mmoja wa wale wanaodanganywa kuwa ukinywa bia unaongeza damu.

nilivyo enda kutoa damu waliniuliza unakunywa bia gani? nikawajibu kilimanjaro baridi basi dokta kaniletea kili moto, nilivyo maaliza nikamuomba nyingine kwani ile niliipiga kama sekunde 18. nilivyopiga hizo mbili nikaenda zangu hongera nikaendeleza liboneke. sijui nilirudi kulala saa ngapi.asubuhi nilijikuta nipo getto. Mia
 
Me ndio maana huwa nawashauri watu kunywa BIERE kwa afya zao,kwenye BIERE kuna mambo mazuri sana (1)tunaongeza damu(2)tunakutana na watu mbali mbali na kupeana michakato ya kimaisha mbali mbali nk nk nk..........

...hata ukiishiwa damu hospitali unatundikiwa Ndovu!...teh teh
 
sasa inabidi viwanda vya soda vianze kutengeneza togwa tu
 
Kama ndo madhara haya, sasa inabidi viwanda vya soda vianze kutengeneza togwa tu
 
mie nipo kwenye mpango wa kuacha soda. Nikipata hamu ya soda nakunywa maji. Natumaini nitaweza.
 
niongezee na mfano wa madhara ya soda kwa ushahidi wa wazi. kuna maradhi yanaitwa MOUNTAIN DEW MOUTH. haya mara nyingi yanawapata watoto kwa kupenda kutumia soda ya mountain due. waweza such ktk google ujifunze zaidi.
 
kwa hiyo hunywi kabisa? Nifanyeje ili niache? Niliambiwa konyagi inasaidia ku loose weight, kumbe si lolote, nimenenepa zaidi sasa nina 83 kg, jamani! Halafu kuiacha imekuwa taabu

mdau ukitaka kupunguza weight jitahidi kufanya mazoezi yanayohusisha "multiple muscles" kwa mfano kupiga Pushapu zilizo sahihi na pia kuzingatia chakula kwa mfano kupunguza kula vyakula vyenye wanga nyingi...there utajionea mwenyewe.
 
.......Hii kitu ina madhara haswa, ukitaka kuwa na flat belly fat soda ni mojawapo ya kinywaji unachotakiwa kuacha. Niliacha kunywa soda sasa ni mwaka na nusu sijagusa kabisa........tena kuna zile diet soda zote ovyo tu hakuna cha nafuu wala nini.
 
Ni ukweli usiopingika.
Ila kuacha kabisa ni ngumu , mimia nakaa hata mwezi sinywi ila siku nikitamani nanunua mbili tatu nikimaliza nasubiria mpaka hamu irudi tena.

Muhimu watu wawe wanafanya mazoezi, maana hata usipokunywa soda ukiwa mlaji wa hovyo huku kusogeza miguu hata kwa nusu saa hutaki huo unene utakujia tu penda usipende.
 
mie nipo kwenye mpango wa kuacha soda. Nikipata hamu ya soda nakunywa maji. Natumaini nitaweza.

Ukita ufanikowe kaa mbali na soda. Usinunue na kuweka ndani maana utarahisisha upataji pale unapotamani, ila kama huna na maduka yako mbali/yamefungwa ukitamani unakinywa maji/juice au matunda basi siku inapita.Kesho yake ushasahau.
 
sasa tusinywe soda mbona hasemi tunywe kiburudisho gani.
 
Back
Top Bottom