Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

jE DIET SODA MBONA TWAAMBIWA HAZINA MADHARA NA JE VIPI VILE VIDONGE VITUMIKAVYO BADALA YA SUKARI
 
kwa hiyo hunywi kabisa? Nifanyeje ili niache? Niliambiwa konyagi inasaidia ku loose weight, kumbe si lolote, nimenenepa zaidi sasa nina 83 kg, jamani! Halafu kuiacha imekuwa taabu

Ukienda kwa totoz usitumie anti-virus halafu njoo hapa baada ya mwaka tu discuss unene wako!
 
ivi hizo gram 15 za sukari kwa siku nitazipimaje?, manake wanadai eti hata katika ugali,wali kuna sukari. sasa je nitabalance
vipi ili nipate hizo gram 15? mi kwa siku nala ugali,wali, ndizi, chai, matunda/juice, nk. vyote hivi eti vina sukari. sasa nitabalance
vipi ili nipate hizo gram? maoni yangu: acheni kucomplicate maisha. soda zinywewe tu kama kawa. mi nakumbuka
nikiwa mdogo nilikuwa nalamba sana sukari....lakini hamna kisukari wala kichumvi.
 
ivi hizo gram 15 za sukari kwa siku nitazipimaje?, manake wanadai eti hata katika ugali,wali kuna sukari. sasa je nitabalance
vipi ili nipate hizo gram 15? mi kwa siku nala ugali,wali, ndizi, chai, matunda/juice, nk. vyote hivi eti vina sukari. sasa nitabalance
vipi ili nipate hizo gram? maoni yangu: acheni kucomplicate maisha. soda zinywewe tu kama kawa. mi nakumbuka
nikiwa mdogo nilikuwa nalamba sana sukari....lakini hamna kisukari wala kichumvi.

Hapo ndio pagumu maana kila tunachokula kina sukari sasa hizo gram 15 tutajuaje kama zimetimia au zimezidi kwenye mlo?
 
Ukita ufanikowe kaa mbali na soda. Usinunue na kuweka ndani maana utarahisisha upataji pale unapotamani, ila kama huna na maduka yako mbali/yamefungwa ukitamani unakinywa maji/juice au matunda basi siku inapita.Kesho yake ushasahau.

asante, ntafuata ushauri huu
 
Jamani sasa tunywe nini?

Upendo na amani maisha ni raha...
Tunaburudika kwa furaha...
Upendo na amani maisha ni raha...
Maisha msisimko na CocaColaaa...
Source: Hafsa Kazinja
 
Hebu tuache maskhara bwana! uache soda unywe nini sasa? Hapa nilipo tayari neshatamani coke bariiiiiiidi, e bwana eeeh!
 
Hebu tuache maskhara bwana! uache soda unywe nini sasa? Hapa nilipo tayari neshatamani coke bariiiiiiidi, e bwana eeeh!

Kwani soda ndio kinywaji pekee duniani?
Kunyweni maji, chai, maziwa, kahawa na juisi fresh.
 
Hii mambo nilisikia muda pia kuwa soda moja ndani yake kuna vijiko 12 vya sukari!
Lakini tufanyeje sasa, tunywe nini?

Me hapa nakata pilau na PEPSI barrrrdi, karibu!
 
sikumbuki mara ya mwisho nimekunywa lini hizo soda...
 
mbona hata kahawa ina madhara au hujaskia hiyo lizzy?
I know, ila kama ikinywewa kwa kiasi faida zake zinazidi hasara.

Pro's
1. Antioxidants. Coffee is rich in antioxidants like chlorogenic acid and melanoidins. Antioxidants help prevent oxidation, a process that causes damage to cells and contributes to aging.
2. Parkinson's disease. Regular coffee drinking reduces the risk of Parkinson's disease. A number of studies [1],[2] have demonstrated that people who drink coffee on a regular basis are significantly less likely to develop Parkinson's disease.
3. Diabetes. Coffee drinking has the potential to protect against the development of type 2 diabetes. A prospective study[3] as part of the US Nurses Health Study found that moderate consumption of both caffeinated and decaffeinated coffee may lower the risk of type 2 diabetes in younger and middle aged women.
4. Liver cirrhosis. Coffee drinking may protect against liver cirrhosis, especially alcoholic cirrhosis.
5. Gallstones. There is some evidence [4] that coffee drinking may be protective against gallstone formation in both men and women.
6. Kidney stones. Coffee consumption lowers the risk of kidney stones formation. Coffee increases the urine volume, preventing the crystallization of calcium oxalate, the most common component of kidney stones.
7. Improved mental performance. Caffeine in coffee is a well-known stimulant. Coffee promotes alertness, attention and wakefulness. The cup of coffee can also increase information processing.
8. Alzheimer's disease. Regular coffee drinking may help to protect against Alzheimer's disease. Recent study [5] in mice showed that caffeine equivalent to 5 cups of coffee per day reduced the build up of destructive plaques in the brain.
9. Asthma. Caffeine in coffee is related to theophylline, an old asthma medication. Caffeine can open airways and improve asthma symptoms.
 
Asante mtoa mada. Ila mi leo nimepata case mpya. Nilikuwa na kunywa soda ya mountain dew basi jamaa akaniambia unakunywaje hi soda wakati inapunguza ngùvú za kíùmé.! Je kuna ukweli gani?
 
soda mbaya kweli chukuwa jino kama ukibatika kulipata au kungoa kweka kwenya soda aina ya coka cola kwa muda wa wiki mmoja ikiwa ime funikwa ukija angalia utakuta ime yeyuka ndivyo hivyo inavyo legeza na kuyeyusha mifupa milini mwetu ,ila nasikia soda aina ya fanta orange ina saidia kuipa mwili sukari kwa maana ya kupata nguvu .nimesikia sina uhakika
 
Kwani soda ndio kinywaji pekee duniani?
Kunyweni maji, chai, maziwa, kahawa na juisi fresh.

Ama tudilute na maji?? Ila coke ndo mbaya zaidi, inatoa kutu ukiloweka vyombo vya chuma!
 
Back
Top Bottom