Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiacha au hutovuta Sigara itakuwa ni jambo zuri kwa afya yako mkuu.I Will never be a SMOKER!
Wanaovuta na wasiovuta hawajuwi madhara ya kuvuta Sigara ndio maana wapo pamoja wavutaji na wasiovuta.Sigara ni hatari, huwa najiuliza hawa ukienda night club utakuta ukumbi wote umejaa smoke na watu wasiovuta nao wanavuta,wanajua madhara yake kweli?
Kuna utaratibu wa kuacha kutovuta Sigara lakini nakushauri uende hospitali ukamuone Dakatari atakupa ushauri zaidi .Mzizi,thanxs for this useful post!naombe nijuze zaidi tips ambazo mvuta sigara anaweza fuata ili aweze acha kuvuta!what could be the altenatives to be used instead?
Kuna utaratibu wa kuacha kutovuta Sigara lakini nakushauri uende hospitali ukamuone Daktari atakupa ushauri zaidi .Mzizi,thanxs for this useful post!naombe nijuze zaidi tips ambazo mvuta sigara anaweza fuata ili aweze acha kuvuta!what could be the altenatives to be used instead?
itakuwa umefanya jambo la maana sana kutokunywa Soda au kuvuta sigara kwa afya yako mkuu.from 2day mi na soda baaac
Soda ni soda hata kama ipo Light Coke au zero coke mradi ikiwa ni soda ina madhara yake makuu Bibie JS.Mzizi asante sana kwa post hii...saaaasa jamani vipi kuhusu soda zisizokuwa na sukari kama light coke au zero coke?
fuatisha link hii soda vs uzito kupita kiasi | maajabu ya majiHabari za online wadau?Poleni na majukumu.Naomba kuuliza, Soda ina faida na hasara gani katika mwili?Ofisini kwetu huwa tuna-kuwa na soda karibu kila siku, tayari mi napata mashaka.Hivi ninaathirika vipi na hizi lita za soda kila siku?Asanteni!
Kaka nashukuru sana, maana nimejifunza ambayo sikutegemea pia. Ubarikiwe.fuatisha link hii soda vs uzito kupita kiasi | maajabu ya maji