Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

akili zako unachanganya na za mbayuwayu, uamuzi unabaki kwako, mana hata uasherati na uzinzi tubakatazwa mana unaweza pata maambukizi ya ukimwi lakini wengi hawajali, so maisha ni uamuzi
Mi nakula kama kawa: Hao watu wakija na mambo yao na ukifuatilia saana hutakula kitu. Mbona chumvi inaozesha (rust) chuma na wakati huohuo ni muhimu sana mwilini. Ukianza kusema eti coke inaweza safishia masinki ya choo/bafu hivyo ni hatari mimi nakuwa sina uhakika sana kama ukinywa na ikiwa mwilini itakuwa kwenye form ileile, reaction yake! Sawa na maji ya baridi ukinywa lakini ili mwili uyafyonze (absorption) ni lazima yawe kwenye joto linalohitajika la mwili vinginevyo wewe ni maiti. ….. hata baadhi ya watu wenye miaka iliyozidi 90 wengi wao pombe n.k. wachache nilishapata waliokuwa hata wanavuta fegi pia. Ni vema kuwa makini na kupunguza vitu fulanifulani, lakini pia hawa majamaa wa tiba mbadala wanachanganya sana, eti sijui rejea edeni nk usile nini…, kweli mengine ni ya msingi lakini biasha imekuwa mbele sana na karibu wote ni warohotu wa fedha. Hayo matunda , mbogha za majani na vyakula karibu vyote sio mbegu za asili ni genetically modified, sasa unaruka nini unakanyaga nini. Cha msingi ni kuwa na kiasi kwa vitu fulanifulani lakini ufuatiliaji wa kama vile hutakufa
 
Kwa sasa hata mtu akiniliza Bei ya Soda kwa kweli sijui make ni Long time sana, Kuna watu huwa nawashangaa sana yani wao Soda ndo Badala ya Maji, akisikia kiu ni soda,
 
Mkuu nashukuru kwa kuendelea kuwakumbusha waTz kususu swala la Afya zao!!
Kwa upande wangu huu sijui mwaka wa 3 au wa4 soda nilizokunywa hata 4 hazifki na mara ya mwisho tar 2/7/2011
kwenye harus ya my bro Dar!
Na 1/7/11 na ndo nilikula sembe saana coz nilikuwa na ubao lkn mpaka leo naonjaga na hivyo ni ugenin si unajua aibu lkn ntaishia kuwakombea mboga
na ninaenjoy sana maisha coz automatc
magonywa meng yemepona!!!

KILA MTU KABEBA MAISHA YAKE MIKONON MWAKE!!!
 
Kwa sasa hata mtu akiniliza Bei ya Soda kwa kweli sijui make ni Long time sana, Kuna watu huwa nawashangaa sana yani wao Soda ndo Badala ya Maji, akisikia kiu ni soda,

Cheza na Coke baridi wewe!

Niache Coke baridi nani kasema? Tena nahisi kama mmeniongezea hamu ya kupata moja tena ile baridiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!

Hawa akina NDODI wasituchanganye hapa, wanatafuta biashara ya dawa zao hawa. Siachi Coke Ng'ooo! Sasa mwishowe watatuzuia hata juice ya Mango hawa!!
 
Cheza na Coke baridi wewe!

Niache Coke baridi nani kasema? Tena nahisi kama mmeniongezea hamu ya kupata moja tena ile baridiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!

Hawa akina NDODI wasituchanganye hapa, wanatafuta biashara ya dawa zao hawa. Siachi Coke Ng'ooo! Sasa mwishowe watatuzuia hata juice ya Mango hawa!!

Kweli mkuu, tena waulize walioacha soda je afya zao ni bora sana? Je wanaepuka pollution ya moshi wa magari, viwanda na miali ya bidhaa feki na zisizokidhi viwango? Kama kufa tutakufa wote, mimi sikuendekeza haya masharti na sasa nimepita wastani wa Mtanzania kuishi. We kula mkuu, mazoezi kwa sana.
 
Kweli mkuu, tena waulize walioacha soda je afya zao ni bora sana? Je wanaepuka pollution ya moshi wa magari, viwanda na miali ya bidhaa feki na zisizokidhi viwango? Kama kufa tutakufa wote, mimi sikuendekeza haya masharti na sasa nimepita wastani wa Mtanzania kuishi. We kula mkuu, mazoezi kwa sana.

Mkuu ungekuwa jirani yangu ningekupitia tukapige Coke ya baridi!

Hawa wanacheza mchezo wasioujua! Eti kengine kanatamba kuwa tangu kameacha soda hakajaugua mgonjwa ya ajabu ajabu? Kwani nani kaugua pamoja na kuwa anapiga Coke/soda baridi? Juzi vijana wangu wameniomba Kreti la soda ili wakeshe kusubiri mwaka mpya, chezea kitu ingine wewe siyo soda (hasa Coke baridi)!!
 
Mkuu nashukuru kwa kuendelea kuwakumbusha waTz kususu swala la Afya zao!!
Kwa upande wangu huu sijui mwaka wa 3 au wa4 soda nilizokunywa hata 4 hazifki na mara ya mwisho tar 2/7/2011
kwenye harus ya my bro Dar!
Na 1/7/11 na ndo nilikula sembe saana coz nilikuwa na ubao lkn mpaka leo naonjaga na hivyo ni ugenin si unajua aibu lkn ntaishia kuwakombea mboga
na ninaenjoy sana maisha coz automatc
magonywa meng yemepona!!!

KILA MTU KABEBA MAISHA YAKE MIKONON MWAKE!!!

Mkuu hadi sembe huli?
 
... Wakuu' hizi tafiti zinatofautiana kiasi fulani, na zile ambazo nimezisoma kwenye makala mbalimbali kuhusu unywaji wa soda... Sijui ukweli ni upi?
 
Kweli mkuu, tena waulize walioacha soda je afya zao ni bora sana? Je wanaepuka pollution ya moshi wa magari, viwanda na miali ya bidhaa feki na zisizokidhi viwango? Kama kufa tutakufa wote, mimi sikuendekeza haya masharti na sasa nimepita wastani wa Mtanzania kuishi. We kula mkuu, mazoezi kwa sana.


Anayevuta bangi 3 kwa siku hafanani anayevuta bangi 1 kwa siku!!

Anayekaa karibu na air pollution za magar sijui na manini na anakula vizur na anakunywa natural juice lazima atakuwa tofauti na anayeishi maeneo hayo anakula chps na mayai yasiyo na baba na mavinywaji hayo mnayo yapigia promo(coke)
lazima afya zitofautiane ka arama za vidole!
 
Mkuu hadi sembe huli?


kwa upande wangu sembe sioni ladha!
Kwangu dona Yaani utafikiri ulev wa kahawa na ndo ladha halisi ya ugali
na tena nipo cofotable na mazoez mda sifanyi kma Mwaka sasa kutokana na ubzy lkn kabla ya yote bila mazoez siamki
na sasa mazoez nachagua cku za kufanya, nyumban dona kazin kuna mgahawa dona kama kawa



Hii ni kwa upande wangu!
 
ha ha ha,u are trying to cheat death. Living healthy can sometimes kill u,,,WATCHOUT!!
 
Anayevuta bangi 3 kwa siku hafanani anayevuta bangi 1 kwa siku!!

Anayekaa karibu na air pollution za magar sijui na manini na anakula vizur na anakunywa natural juice lazima atakuwa tofauti na anayeishi maeneo hayo anakula chps na mayai yasiyo na baba na mavinywaji hayo mnayo yapigia promo(coke)
lazima afya zitofautiane ka arama za vidole!

Taja hizo natural juices zisizokuwa na hybrid seeds, na kuhusu pollution in maana wewe hutembei barabarani, hupiti viwandani, huvai nguo za viwandani (unavaa magome ya miti asilia), hutumii TV, mobile, maji ya DAWASCO, mineral waters (maji ya chupa), dawa za mbu, mafuta ya kupaka, sabuni za kuogea/kufulia nk. Kishwa twende tukapime afya zetu
 
I have to admit, chakula (including kinywaji) ndiyo kitu kikubwa kinachotulostisha vijana. Kimsingi mimi nafuatilia sana ushauri kuhusu matumizi ya chakula kama dawa. Believe me, it works. Kuna mzee mmoja mchungaji aliwahi kuniambia kuwa mkemia mkuu wa serikali alisema soda ni hatari sana kiafya. Akatilia msisitizo lwenye soda zenye rangi (Coca, Pepsi, Fanta n.k) kuhusumadhara yake kwenye blood cells. Kikubwa alichosema ni kwamba kama itakulazimu kunywa soda, basi kunywa Sprite au 7up.This is serious ndugu zangu, soda siyo deal. Kunyweni maji instead, kwani badala ya kukusababishia kuongezeka uzito, maj yatakusaidia kupunguza uzito. I have a nice job, I am paid well, lakini sina kitambi japo watu wanasema mwili wangu una asili ya unene.
 
Taja hizo natural juices zisizokuwa na hybrid seeds, na kuhusu pollution in maana wewe hutembei barabarani, hupiti viwandani, huvai nguo za viwandani (unavaa magome ya miti asilia), hutumii TV, mobile, maji ya DAWASCO, mineral waters (maji ya chupa), dawa za mbu, mafuta ya kupaka, sabuni za kuogea/kufulia nk. Kishwa twende tukapime afya zetu


wewe naona hunielewi japo woote tunaishi ktk mazingira hayo ulioorozesha hapo juu kuna tofaut kubwa kat ya anayekula dona na anayekula vyepe mayai yasiyo na baba na hizo soda
tofaut kubwa za kiafya lazima ziwepo kati ya hawa watu wa 2!
believ or not!!
 
wewe naona hunielewi japo woote tunaishi ktk mazingira hayo ulioorozesha hapo juu kuna tofaut kubwa kat ya anayekula dona na anayekula vyepe mayai yasiyo na baba na hizo soda
tofaut kubwa za kiafya lazima ziwepo kati ya hawa watu wa 2!
believ or not!!

Kwa kiasi fulani ni sawa, ila unaweza usile mayai ya kienyeji au dona na mwili ukapata virutubisho vilevile anavyokula mla dona kwa mayai ya mtetea ulionaniliwa na jogoo. Wengine hawali mayai kabisa! Mafano nakula sembe ila bisi na mahindi choma nakula. Safi kwa jitihada za lishe bora mkuu, nakutakia kila la heri. Tuwasiliane basi
 
Back
Top Bottom