Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Madhara ya unywaji wa soda kwenye afya ya Binadamu

Kwa kiasi fulani ni sawa, ila unaweza usile mayai ya kienyeji au dona na mwili ukapata virutubisho vilevile anavyokula mla dona kwa mayai ya mtetea ulionaniliwa na jogoo. Wengine hawali mayai kabisa! Mafano nakula sembe ila bisi na mahindi choma nakula. Safi kwa jitihada za lishe bora mkuu, nakutakia kila la heri. Tuwasiliane basi


Nashukuru kwa kunielewa Mkuu
pia nashukuru kwa kujua lishe asili, hapa hatukataz watu kunywa soda,kula sembe,chps mayai n.k kuwa watu wasile kwa lazima bali kwa kumshauri mtu na akubali kwa hiari yake mwenye
ndio maana mtu anashauriwa awe akula matunda, mboga za majan n.k pia uwe hata unatumia mchaichai coz unaaminika ni mche unaoongoza kutoa sumu mwilin ukiwa unautumia kama chai
Umeshindwa kabisa kuacha hivyo vyakula basi changanya hivyo na mwili wako utakaa nomal kiasifulani!!

nikutakie na wewe usiku mwema!!!
 
Baada ya kazi jua likiwa kali kabla ya kunywa maji pata kiburudisho maridhawa vingi huigwa kiu haiigwi tii kiu yako pata coke baridaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
... Wakuu' hizi tafiti zinatofautiana kiasi fulani, na zile ambazo nimezisoma kwenye makala mbalimbali kuhusu unywaji wa soda... Sijui ukweli ni upi?

Share nasi hizo tafiti ndugu, angalau kwa dondoo tu kwamba zimehitimisha nini. Utakuwa umetusaidia wengi. Au kama vipi upload tuzisome humu.
 
Mkuu kwa soda nimekupata kabisa! Je? vipi kuhusu BEER?
 
Side Effects Of Drinking Soda

images
images



Soda has become one of the most popular drinks consumed by people these days, especially in the form of soft drinks. With the emergence of soft drink manufacturing and exporting brands like Coca Cola and Pepsi, soda has become like the trademark representing the younger generation or the

‘generation next'. Canned and handy for regular use, soda has, in fact, replaced the usage of water to a great extent. It is consumed by people of all age groups, be it kids, youngsters or adults. Healthy drinks, like water, juice and milk, have completely been dislodged by soda. People have started

guzzling down bottles of soda, without thinking, even slightly, about any potential side effects. Though most of us are not fully aware of it, drinking too much soda has some pretty serious side effects, some of which can be even life threatening. To enlighten you on the issue, we have listed the side effects of drinking soda, in the lines below.


Risks Of Drinking Soda

  • Soda has been known to comprise certain chemicals that make you feel dehydrated. This is the reason why, even after drinking lots of soda, you continue to feel thirsty.
  • Every can of soda contains carbonic acid, which is a highly corrosive material. Hence, regular and frequent consumption of drinking soda can cause unimaginable damage to the human body.
  • One of the prime side effects associated with the consumption of soda is that it is high in sugar content. This leads to the development of a number of health problems, like obesity and oral decay. Consumption of any form of aerated drink containing soda means that there is consumption of empty calories, which results in weight gain.
  • There is high sugar content and too much fructose corn syrup in soda. Too much consumption of the drink can easily make you put on excessive weight.
  • Soda does not have any nutritional value. Drinking it regularly means that you are just adding on empty calories.
  • Excessive consumption of soda can result in high blood sugar, which can lead to faintness, rapid heart rate, and dehydration.
  • Since soda contains too much sugar and acid, it can play havoc with your oral health. Not only does it dissolve the calcium out of tooth enamel, but can also cause a lot of cavities.
  • Soda is also loaded with caffeine, which is a stimulant, the reason why it develops into an addiction soon. Consumption of excess of caffeine can cause irritability and restlessness.
  • In case you are consuming soda from a can, you must be aware of the fact that aluminum has been found to be a contributing factor in Alzheimer's disease, which is an incurable, degenerative and terminal mental condition.
  • Caffeine removes calcium from our bodies. So, if you are drinking too much soda, you are also ingesting too much calcium, which ultimately will affect the strength of your bones.
  • Irritability, restlessness, tension, insomnia, excitement and gastrointestinal disturbance are some other side effects of caffeine, which often result from high consumption of soda.
 
Sasa wageni tuwape vinywaji gani tunapotembelewa majumbani mwetu jaman? ila thanks for this impotant taarifa GOD BLESS U
 
Pana hitajika nguvu ya ziada hili elimu hi imfikie kila Mtanzania.Madhara ni makubwa.
NA UKIJARIBU TU JUA TUME INAUNDWA!!!! lazima ujue watu wengi wananufaika na biashara hii ya vinywaji baridi,wengi wao ni wafanya biasha wakubwa(eg me-NGI na A-DHAM) UPO??? sasa bangugu ukisema uelimishe jamii huonio utawaharibia dili...je nini kitafwata kama sio kuku-ulimboka!!!!!
 
Soda zina madhara saana jamani ingawa level ya madhara pia zinaweza kutofautiana, zile zenye cola zina cafein ambayo ina madhara makubwa, pia nilikuwa uholanzi juzi wanashangaa kwa nini kwetu tumeruhusu Mountain Dew wakati kwao imepigwa marufuku in element ya sumu ambayo ina madhara makubwa mwilini, cha kushangaza watanzania hasa wa umri mdogo ndo wameichangamkia sana! Mungu atusaidie tu
 
SOURCE: MTANZANIA
ISSN: 0856-5678, Na. 7310
DATE: TODATE
PAGE: 03
HEADLINE: SODA NI SUMU

*******
Mamilioni ya watanzania wanaotumia vinywaji aina ya soda ipo hatarini baada ya kugunduliwa uwepo wa chembechembe zenye kemikali za sumu ndani ya vinywaji hivyo, MTANZANIA jumatano linaripoti.

Utafiti uliofanywa na Muungano wa Waandishi wa habari Tanzania (Investigative Journalists Union of Tanzania-IJUTA) pamoja na tafiti zilizofanywa na wataalamu waliobobea katika afya duniani umebaini kuwa vinywaji baridi aina ya soda ni hatari kuliko utumiaji sigara inayosabisha maradhi ya kansa katika mwili wa binadamu.

Kwa mujibu wa utafiti wa wanasayansi, yapo madhara makubwa ya utumiaji wa vinywaji vya aina ya soda katika mwili wa binadamu.

Utafiti umeonyesha kuwa zipo sababu nane kuu zinazokiweka kinywaji cha soda kwenye kundi la vinywaji vyenye sumu.

IJUTA imebaini kuwa makampuni makubwa yanayotengeneza vinywaji kuwa makampuni yanayotengeneza soda yanatumia mabilioni ya dola kila mwaka kujitangaza na kutoa misaada kijamii kutokana na mauzo yake, bila kutaja madhara ya vinywaji hivyo.

Utafiti wa IJUTA umeonyesha kuwa utamu wa kupindukia uliomo ndani ya soda unawapumbaza wanywaji ili wasisikie ladha kali ya acid iliyomo ndani ya soda.

IJUTA imegundua kuwa kiwango cha acid kilichomo ndani ya soda hakiwekwi wazi kwa sababu ya kuhofia kuwa watu wakibaini wataacha kutumia kinywaji hicho.

Inaelezwa kuwa madini ya cola yaliyomo yana kilevi cha aina ya kafein kinachomteka mnywaji kuwa teja wa kinywaji hicho.

Dr. Mercola wa Marekani amekaririwa na tafiti mbalimbali akieleza kuwa soda ni hatari kwa binadamu sawa na mtu anayevuta sigara au zaidi.

...Soda yenye chembe za cola husababisha figo kuwa na mawe kwa sababu ya acid na chemicals zinazofichwa vipimo vyake kwa watumiaji.

Wakati utafiti huo ukidhihiriksha hayo, Taasisi ya chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeshindwa kutoa tamko lolote kuhusu utafiti huo, hata baada ya kupelekewa maswali kwa maandishi yanayoomba ufafanuzi wa ubora wa vinywaji vya soda katika mwili wa binadamu.

*******

MY TAKE:

1: Nani atakayebaki salama?
2: Wabunge wetu mmeiona hii habari wakati mko hapo bungeni?

IMPORTANT CONTACTS:

TFDA:
Tel:
+255787555527
+255754772220
+255222450512
+255222450751
+255222452108
Email: info@tfda.or.tz
Web: www.tfda.or.tz

TBS:
Tel:
+255222450206
+255222450298
+255222450949
Email: info@tbstz.org
Web: www.tbstz.org
 
Mode,

Huku hakuna watu wengi ndiyo maana niliiweka hii thread kwenye politics.

Mimi ninaamini itachukua sura ya kisiasa sasa hivi jinsi jamaa hawa wa TFDA na TBS wanavyoendelea kukaa kimya kuhusu habari hii.
 
Back
Top Bottom