Madhara ya Utawala wa Awamu ya Tano yameanza kulitafuna taifa; Nani wa kulaumiwa?

Madhara ya Utawala wa Awamu ya Tano yameanza kulitafuna taifa; Nani wa kulaumiwa?

Ndugu zanguni habari za asubuhi.

Ni shahiri dhahiri sasa tumeanza kuvuna tulichopanda.

Sio mkubwa wala mdogo. Mwenye cheo wala asiye na cheo, tajiri wala maskini sote tumeanza kuonja joto la Jiwe.

Hali ni tete. Sio polisi sio Raia. Sio mtuaji sio mteuliwa. Amani, Umoja, utulivu, heshima vimeanza kuteteleka.

Tatizo lilianzia Awamu ya tano. Ambapo utawala wa sheria, haki na kuzingatia misingi ya demokrasia, uwazi na usawa havikuzingatiwa kabisa.

Ni katika utawala wa awamu ya tano ndipo Tulishuhudia kwa kiwango kikubwa Mtanzania anayepigania haki au kuhamasisha umoja na maelewano alikuwa akipingwa na kupigwa hapa na pale. Dhulma ikawa kila mahali. Kwa matajiri na kwa Maskini.

Mimi binafsi naweza kuvilaum vyombo vyenye mamlaka na vilikuwa na uwezo wa kukinga yasitokee

Kwa mfano. Vyombo vya dola Polisi, Mahakama, Usalama na jeshi la nchi viliwezaje kuruhusu watu kuvunjiwa haki zao kwa maslahi ya wanasiasa wachache??

Kwa mfano umtufikirie kesi 147 zilizosemwa na Rais pamoja na Boss qa Takukuru kuwa zilibambikiwa na kusababisha uhasama mkubwa miongoni mwa jamii, kati ya jamii na polisi na hatimaye na serikali yao.

Mfano wa pili ni tukio baya kabisa kuwa kutoke ktk mfumo wa siasa zetu ambapo mwaka 2020 oktoba Uchaguzi ulivurugwa kuanzia mchakato wa utungwaji wa sheria ya uchaguzi na vyama vya siasa na hatimae mchakato wenyewe wa uchaguzi na hata upitishwaji wa wagombea. Najiuliza hili lilifanyika kwa faida ya nani? Usalama wetu tunaouamini kwa maslahi ya nchi hawa kuanticipate madhara ya matukio yale? Polisi je? vipi Mahakama?

Sasa tunaona madhara yake Tozo, maiamala, uhaba wa ajira, uchumi mbovu na sasa hali mbaya ya mufukoni mwa watu.

Tumeanza kuona watu wakipromote uhasama dhidi ya serikali yao. Tukio la Mauwaji ya juzi pale Salenda ni la kusikitisha. Tena likidaiwa kutekelezwa na Mtu anayedaiwa kuqa ni Kada wa chama cha mapinduzi. Hawa vijana wa Chama cha mapinduzi bila kumung'unya maneno walilelewa na kudekezwa vibaya chini ya mwamvuli wa MATAGA. Hili ni kundi kubwa lililokuwa linahisiwa kufanya uhalifu sehemu mbali mbali za nchi. Ilikuwa si ajabu Kutishiwa na vijana hawa kuwa watakupoteza au wanakwambia kabisa tutakubinya ukose mahali pa kwenda na hwakufanywa chochote na mtu yeyote. Sasa Chatu anamla aliyemfuga.

Sasa nini tufanye.

Tuepuke migogoro inayokwepeka. Mahakama zitende haki, Polisi watende haki. Wadhibiti uhalidu kweli kweli. Usalama wafanye kazi yao kweli kwelikweli. Wenye mamlaka tunawakumbusha tu kuwa Hali ikiwa mbaya nchi hii na wao hawataishi kwa amani.

Tumeona wale tuliowaita mabeberu sasa wanafungasha vilago. Matishio ya ugaidi kwa mujibu qa IGP sasa yameibuka tena.

Haya ni madhara ya utawala usiozingatia sheria, katiba na haki za binadamu.

Asalaam Ale ykum
Mama alikuwepo kwenye awamu ya tano kama makamu wa rais, na hata baada ya tukio lile la 17 03, bado anamsimamo uleule wa kutokuwasikiliza wapinzani na kuruhusu demokrasia. Sasa ameleta tozo za kibabe na kesi za kubambikiza kama ilivyokuwa wakati ule, kwa hiyo wa kulaumiwa si mwingine ni mama huyo huyo.
 
Hii mada haihusu hata kidogo swala la korona. Corona kajadiliane na Gwajiporno
Unamuita gwajiporno wakati kamati kuu nzima ya chadema ilikuwa inahamia kanisani kwake kwenda kusikiliza ubuyu wa bashite?

Hivi unajua kama aliwahi kuwa mshenga wetu wa kumleta Lowasa chadema?
 
Hakuna mahali ambapo dhuluma iliwahi kushinda. Kwa kadiri tunavyoenda, hali itazidi kuwa mbaya zaidi.

Madhara ya utawala mbaya wa awamu ya 5, yataanza kuonekana kwenye utawala wa awamu ya 6, na yataendelea kulitafuna Taifa kwa muda usiopungua miaka 15.

Kutoka tulipo na kuzuia mambo mabaya zaidi kutokea:

1) Tuwe na bunge lililotokana na matakwa ya wananchi. Kilichopo sasa, kinachoitwa Bunge, ni genge la wahalifu ambao waliteuliwa na marehemu Magufuli kwa matakwa na vigezo vyake. Robo tatu ya waliomo kwenye hilo genge, hata kwenye kura za maoni ndani ya CCM, hawakushinda.

2) CCM iondoke kutoka kuwa genge la wauaji (greenguards wengi ndio hao wasiojulikana. Kazi yao ni ku-terrorize watu. Kwa maana ya ugaidi, CCM ni kikundi chenye sifa za kigaidi), na kuwa chama cha siasa, kinachoheshimu matakwa ya wananchi.

3) Mahakama na Bunge viwe mihimili kamili ya dola kuliko kuwa idara za CCM na Serikali.

4) Jeshi la polisi liundwe upya ili kulibadili kutoka kuwa genge la uhalifu dhidi ya wananchi na Jamhuri na kuwa chombo cha kulinda raia, kulinda haki za kiraia, haki za vyama vya siasa, haki za vyombo vya habari na ulinzi wa mali za wananchi na umma.

5) Ofisi ya msajili wa vyama, tume ya uchaguzi, zifutwe na kuundwa upya baada ya kutungiwa sheria mpya.

6) Sheria zote za kigaidi kama zile za vyama vya siasa, vyombo vya habari, sheria ya mitandao, sheria zinazoruhusu DC na RC kuwaweka watu ndani, zifutwe

7) Makosa yote yawe na dhamana isipokuwa makosa ya mauaji tu.

8) Itungwe sheria ya kudhibiti matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambapo anayetoa amri na anayetekeleza, ikithibitika walifanya kwa uonevu na kwa kudhamiria, wahusika wote watumikie jela, hii ikiwa ni pamoja na polisi wanaowabambikia watu kesi.
 
Sasa mama yako kwanini asivitoe?

Hebu kalipe kodi haraka ukitoka hapo upite ukonga kumsabahi gaidi

ni ngumu kuvitoa ccm ni mkusanyiko wa wahuni majangili wezi wa mifukoni wadangaji magaidi, kwa kifupi ni kundi la hovyo hovyo sana
 
Sabaya anaoja nini?? POLEPOLE JE, lini umemuona Palamagamba kabudi kwa mara ya mwisho?? unahisi mambo yako kama zamani?? Je umemsikia Alli Bashiru?? hii ndio kuonja joto la Jiwe.
Kwa hiyo hao ilikuwa ndio sababu ya gaidi kutokamatwa kwa miaka yote 5 mpaka kuja kukamatwa hii juzi na kupelekwa ukonga?
 
ni ngumu kuvitoa ccm ni mkusanyiko wa wahuni majangili wezi wa mifukoni wadangaji magaidi, kwa kifupi ni kundi la hovyo hovyo sana
Ila lile kundi liloko kwa amsterdam, lingine canada, lingine ukonga ndio makundi ya maana?
 
Sabaya anaoja nini?? POLEPOLE JE, lini umemuona Palamagamba kabudi kwa mara ya mwisho?? unahisi mambo yako kama zamani?? Je umemsikia Alli Bashiru?? hii ndio kuonja joto la Jiwe.
Kwa kifupi huna hoja ya msingi Mkuu zaidi ya mihemuko,Kabudi,PolePole,Bashiru wameonja vipi joto?
 
Hakuna mahali ambapo dhuluma iliwahi kushinda. Kwa kafiri tunavyoenda, hali itazidi kuwa mbaya zaidi.

Madhara ya utawala mbaya wa awamu ya 5, yataanza kuonekana kwenye utawala wa awamu ya 6, na yataendelea kulitafuna Taifa kwa muda usipinvua miaka 15.

Kutoka tulipo na kuzyia mambo mabaya zaidi kutokea:

1) Tuwe na bunge lililotokana na matakwa ya wananchi. Kilichopo sasa, kinachoitwa Bunge, ni genge la wahalifu ambao waliteuliwa na marehemu Magufuli kwa matakwa na vigezo vyake. Robo tatu ya waliomo kwenye hilo genge, hata kwenye kura za maoni ndani ya CCM, hawakushinda.

2) CCM iondoke kutoka kuwa genge la wauaji (greenguards wengi ndio hao wasiojulikana. Kazi yao ni ku-terrorize watu. Kwa maana ya ugaidi, CCM ni kikundi chenye sifa za kigaidi), na kuwa chama cha siasa, kinachoheshimu matakwa ya wananchi.

3) Mahakama na Bunge ziwe mihimili kamili ya dola kuliko kuwa idara za CCM na Serikali.

4) Jeshi la polisi liundwe upya ili kulibadili kutoka kuwa genge la uhalifu dhidi ya wananchi na Jamhuri na kuwa chombo cha kulinda raia, kulinda haki za kiraia, haki za vyama vya siasa, haki za vyombo vya habari na ulinzi wa mali za za wananchi na umma.

5) Ofusi ya msajili wa vyama, tume ya uchanguzi, zifutwe na kuundwa upya baada ya kutungiwa sheria mpya.

6) Sheria zote za kigaidi kama zile za vyama vya siasa, vyombo vya habari, sheria ya mitandao, sheria zinazoruhusu DC na RC kuwaweka watu ndani, zifutwe

7) Makosa yote yawe na dhamana isipokuwa makosa ya mauaji tu.

8) Itungwe sheria ya kudhibiti matumizi mabaya ya vyombo vya dola ambao anayetoa amri na anayetekeleza, ikithibitika walifanya kwa uonevu na kwa kudhamiria, wahusika wote watumikie jela, hii ikiwa ni pamoja na polisi wanaowabambikia watu kesi.

5)

kuna mstari mwembamba sana unaotofautisha kundi la ISIS na ccm
 
Ndugu zanguni habari za asubuhi.

Ni shahiri dhahiri sasa tumeanza kuvuna tulichopanda.

Sio mkubwa wala mdogo. Mwenye cheo wala asiye na cheo, tajiri wala maskini sote tumeanza kuonja joto la Jiwe.

Hali ni tete. Sio polisi sio Raia. Sio mtuaji sio mteuliwa. Amani, Umoja, utulivu, heshima vimeanza kuteteleka.

Tatizo lilianzia Awamu ya tano. Ambapo utawala wa sheria, haki na kuzingatia misingi ya demokrasia, uwazi na usawa havikuzingatiwa kabisa.

Ni katika utawala wa awamu ya tano ndipo Tulishuhudia kwa kiwango kikubwa Mtanzania anayepigania haki au kuhamasisha umoja na maelewano alikuwa akipingwa na kupigwa hapa na pale. Dhulma ikawa kila mahali. Kwa matajiri na kwa Maskini.

Mimi binafsi naweza kuvilaum vyombo vyenye mamlaka na vilikuwa na uwezo wa kukinga yasitokee

Kwa mfano. Vyombo vya dola Polisi, Mahakama, Usalama na jeshi la nchi viliwezaje kuruhusu watu kuvunjiwa haki zao kwa maslahi ya wanasiasa wachache??

Kwa mfano umtufikirie kesi 147 zilizosemwa na Rais pamoja na Boss qa Takukuru kuwa zilibambikiwa na kusababisha uhasama mkubwa miongoni mwa jamii, kati ya jamii na polisi na hatimaye na serikali yao.

Mfano wa pili ni tukio baya kabisa kuwa kutoke ktk mfumo wa siasa zetu ambapo mwaka 2020 oktoba Uchaguzi ulivurugwa kuanzia mchakato wa utungwaji wa sheria ya uchaguzi na vyama vya siasa na hatimae mchakato wenyewe wa uchaguzi na hata upitishwaji wa wagombea. Najiuliza hili lilifanyika kwa faida ya nani? Usalama wetu tunaouamini kwa maslahi ya nchi hawa kuanticipate madhara ya matukio yale? Polisi je? vipi Mahakama?

Sasa tunaona madhara yake Tozo, maiamala, uhaba wa ajira, uchumi mbovu na sasa hali mbaya ya mufukoni mwa watu.

Tumeanza kuona watu wakipromote uhasama dhidi ya serikali yao. Tukio la Mauwaji ya juzi pale Salenda ni la kusikitisha. Tena likidaiwa kutekelezwa na Mtu anayedaiwa kuqa ni Kada wa chama cha mapinduzi. Hawa vijana wa Chama cha mapinduzi bila kumung'unya maneno walilelewa na kudekezwa vibaya chini ya mwamvuli wa MATAGA. Hili ni kundi kubwa lililokuwa linahisiwa kufanya uhalifu sehemu mbali mbali za nchi. Ilikuwa si ajabu Kutishiwa na vijana hawa kuwa watakupoteza au wanakwambia kabisa tutakubinya ukose mahali pa kwenda na hwakufanywa chochote na mtu yeyote. Sasa Chatu anamla aliyemfuga.

Sasa nini tufanye.

Tuepuke migogoro inayokwepeka. Mahakama zitende haki, Polisi watende haki. Wadhibiti uhalidu kweli kweli. Usalama wafanye kazi yao kweli kwelikweli. Wenye mamlaka tunawakumbusha tu kuwa Hali ikiwa mbaya nchi hii na wao hawataishi kwa amani.

Tumeona wale tuliowaita mabeberu sasa wanafungasha vilago. Matishio ya ugaidi kwa mujibu qa IGP sasa yameibuka tena.

Haya ni madhara ya utawala usiozingatia sheria, katiba na haki za binadamu.

Asalaam Ale ykum
Tofauti ya awamu ya 4 na ya 5 ni kuwa awamu ya 4 matajiri walikuwa wanawatapikia masikini na awamu ya 5 hao matajili walio kuwa wanawatapikia masikini walishughulikiwa kusawasawa ushauri
Ukiwa tajiri usiwatapikie masikini ,kuwa tajiri katika haki
 
Watu mnashindwa ku kubali mlikuwa wrong dhidi ya Magufuli, sasa Magufuli hayupo na mlichotarajia hakiji ili kuendeleza u mbuni bado mna ji mbuni tu kichwa mchangani.
Umeandika ukweli wenyewe kabisa wanaona haya kutubu mbele ya magufuli sijui watajinasua namna gani maana watz tumemkubali magufuli kuwa ni kiongozi mwema kabisa aliye kuwa Ikulu si kwa maslai yake binafsi bali maslai ya watz tofauti na mpuuzi mkwere
 
Kwani huyu mtu ni gaidi au alidhulumiwa haki yake?

Hebu twambieni mabavicha maana mnajichanganya sana kwenye hili suala
Mimi na amini kama magufuli angekuwa raisi tusinge mpoteza Hamza kwa kuwa asinge kuwa na sababu za kuua askari, maana magufuli alikuwa ni Nuru ya matumaini tanzania
 
Back
Top Bottom