Madhara ya Utawala wa Awamu ya Tano yameanza kulitafuna taifa; Nani wa kulaumiwa?

Madhara ya Utawala wa Awamu ya Tano yameanza kulitafuna taifa; Nani wa kulaumiwa?

Yani Lema, lisu na mbowe wachangie nusu ya bajeti?

Kama yule lema na lisu si wanalelewa tu kule?

Namaana hao wanaowalea lema na lisu ndiyo wanao ilea na serikali yako pia acha wivu
 
Mimi na amini kama magufuli angekuwa raisi tusinge mpoteza Hamza kwa kuwa asinge kuwa na sababu za kuua askari, maana magufuli alikuwa ni Nuru ya matumaini tanzania

mkuu unamuongelea magufuli yupi? uyu wa chato au mwengine?
 
magufuli anatoka familia yenye historia ya vichaaa.... sio kwa sababu ya madawa ya kulevya au ndumba... ni kuzaliwa hivyo.

usalama wa taifa walishindwaje kumjua MTU mmoja tu, je watawezaje kuijua tz yoteee?

magufuli aliharibu sana inji hii.
Huyo kichaa ndiyo aliye sifiwa na RAISI MKAPA KUWA NI ASKARI WAKE WA MWAMVULI NO 1 YAANI THE BEST
 
HUO NDIO UKWELI KAMA ALIVYOSEMA MLETA MADA ILA NI VIGUMU MNO KWA BAADHI YETU KUELEWA. TULIPOFIKIA NI KILELE CHA MATOKEO YA SERA YA AWAMU YA TANO.
 
Karibubi tujadili nini tufanye kama taifa.
wanasiasa waache kujenga chuki.
tena wajue kwamba wananchi hawawapendi kabisa kwa sababu wao hawapendani, wanadhulumiana tu. Ole wao wanaodhulumu.
kiujumla wananchi babo wanapendana tu sana. kiashiria kimojawaapo ni mdoa za mchanganyiko wa makabila, ni nyingi. Mijini makabila ni mengi na imani tofauti, vyama tofauti lakini tunaishi pamoja huku wanasiasa wakizozana tu.
 
Maliza kutype kisha ukalipe kodi ya Jengo! Pumbavvv.... Mlizoea kumtupia lawama JPM sasa hakuna wa kumtupia lawama sio!? Kazi inaendelea! Hakuna miradi mipya,tozo kama zote,ufisadi,wizi,rushwa,ujambazi vimetamalaki! Na bado hapo... Kazi inaendelea! Mpaka mtubu na kuomba msamaha! SHAABASH!
Wasenge sana hawa wanataka kumpakaza kinyesi Chao kichafu magufuli ambaye ni tumaini pekee la watanzania wazarendo hadi sasa tunatumia LEGACY YAKE KAMA TUMAINI ALILO TUACHIA
 
Ukiwa raisi wa Tanzania then watu fulani fulani wakaanza kukusifia, tazama ulipokosea,

Nina uhakika raisi mzalendo hawezi kusifiwa na watu hao.
 
Yeye ndie alikuwa mlezi wa vijana mfano wa kina Hamza.
Ukweli ni kwamba Hamza asinge kufa wala kuua askari kama magufuli angekuwa bado ni raisi baada ya magu kufa mafisadi madhulumati yameshika nchi ndiyo sababu
 
wanasiasa waache kujenga chuki.
tena wajue kwamba wananchi hawawapendi kabisa kwa sababu wao hawapendani, wanadhulumiana tu. Ole wao wanaodhulumu.
kiujumla wananchi babo wanapendana tu sana. kiashiria kimojawaapo ni mdoa za mchanganyiko wa makabila, ni nyingi. Mijini makabila ni mengi na imani tofauti, vyama tofauti lakini tunaishi pamoja huku wanasiasa wakizozana tu.
Hili ni muhimu wanasiasa wakijirekebisha tutakwensa vizuri. Rember Politics lead the world
 
Ukweli ni kwamba Hamza asinge kufa wala kuua askari kama magufuli angekuwa bado ni raisi baada ya magu kufa mafisadi madhulumati yameshika nchi ndiyo sababu
Anyway hatujajua hasa Hamza alifanya nini lakini inadaiwa alidhulmiwa. Pia uwezo wake wa kutamba na bunduki mchana kweupe huku akiwa ni Mwanachama hai na kada wa CCM na matukio ya nyuma ya vijna hawa tunapata picha kuwa huko nyuma walilelewa vibaya
 
Rubbish,Mtatumika sana,ila Magufuli is a man of match
Piga makofi tafadhari [emoji28][emoji122][emoji122]team wenge watapata tabu sana
MAGUFULI THE GREATY
 
Namaana hao wanaowalea lema na lisu ndiyo wanao ilea na serikali yako pia acha wivu
Serikali ikilelewa inatoa rasilimali zetu! Yani win win situation!

Vipi kwa Lema na Lisu wao wakilelewa wanatoa nini?
 
Rubbish,Mtatumika sana,ila Magufuli is a man of match
Unge comment bila kutukana ungeonekana wa maana. Ila kwa kuwa huna cha kusema na huwezi kumtetea huyo unayemwita man of match unaishia matusi tu
 
Anyway hatujajua hasa Hamza alifanya nini lakini inadaiwa alidhulmiwa. Pia uwezo wake wa kutamba na bunduki mchana kweupe huku akiwa ni Mwanachama hai na kada wa CCM na matukio ya nyuma ya vijna hawa tunapata picha kuwa huko nyuma walilelewa vibaya
Tatizo lenu mnasahau huu ukweli
DAI CHAKO UONEKANE MBAYA WEWE JIULIZE KADA WA CHAMA KUFIKIA HATUA HIYO kuna nini
 
Serikali ikilelewa inatoa rasilimali zetu! Yani win win situation!

Vipi kwa Lema na Lisu wao wakilelewa wanatoa nini?

unauhakika gani kama inaishia kutoa rasilimali tu
 
Ndugu zanguni habari za asubuhi.

Ni shahiri dhahiri sasa tumeanza kuvuna tulichopanda.

Sio mkubwa wala mdogo. Mwenye cheo wala asiye na cheo, tajiri wala maskini sote tumeanza kuonja joto la Jiwe.

Hali ni tete. Sio polisi sio Raia. Sio mtuaji sio mteuliwa. Amani, Umoja, utulivu, heshima vimeanza kuteteleka.

Tatizo lilianzia Awamu ya tano. Ambapo utawala wa sheria, haki na kuzingatia misingi ya demokrasia, uwazi na usawa havikuzingatiwa kabisa.

Ni katika utawala wa awamu ya tano ndipo Tulishuhudia kwa kiwango kikubwa Mtanzania anayepigania haki au kuhamasisha umoja na maelewano alikuwa akipingwa na kupigwa hapa na pale. Dhulma ikawa kila mahali. Kwa matajiri na kwa Maskini.

Mimi binafsi naweza kuvilaum vyombo vyenye mamlaka na vilikuwa na uwezo wa kukinga yasitokee

Kwa mfano. Vyombo vya dola Polisi, Mahakama, Usalama na jeshi la nchi viliwezaje kuruhusu watu kuvunjiwa haki zao kwa maslahi ya wanasiasa wachache??

Kwa mfano umtufikirie kesi 147 zilizosemwa na Rais pamoja na Boss qa Takukuru kuwa zilibambikiwa na kusababisha uhasama mkubwa miongoni mwa jamii, kati ya jamii na polisi na hatimaye na serikali yao.

Mfano wa pili ni tukio baya kabisa kuwa kutoke ktk mfumo wa siasa zetu ambapo mwaka 2020 oktoba Uchaguzi ulivurugwa kuanzia mchakato wa utungwaji wa sheria ya uchaguzi na vyama vya siasa na hatimae mchakato wenyewe wa uchaguzi na hata upitishwaji wa wagombea. Najiuliza hili lilifanyika kwa faida ya nani? Usalama wetu tunaouamini kwa maslahi ya nchi hawa kuanticipate madhara ya matukio yale? Polisi je? vipi Mahakama?

Sasa tunaona madhara yake Tozo, maiamala, uhaba wa ajira, uchumi mbovu na sasa hali mbaya ya mufukoni mwa watu.

Tumeanza kuona watu wakipromote uhasama dhidi ya serikali yao. Tukio la Mauwaji ya juzi pale Salenda ni la kusikitisha. Tena likidaiwa kutekelezwa na Mtu anayedaiwa kuqa ni Kada wa chama cha mapinduzi. Hawa vijana wa Chama cha mapinduzi bila kumung'unya maneno walilelewa na kudekezwa vibaya chini ya mwamvuli wa MATAGA. Hili ni kundi kubwa lililokuwa linahisiwa kufanya uhalifu sehemu mbali mbali za nchi. Ilikuwa si ajabu Kutishiwa na vijana hawa kuwa watakupoteza au wanakwambia kabisa tutakubinya ukose mahali pa kwenda na hwakufanywa chochote na mtu yeyote. Sasa Chatu anamla aliyemfuga.

Sasa nini tufanye.

Tuepuke migogoro inayokwepeka. Mahakama zitende haki, Polisi watende haki. Wadhibiti uhalidu kweli kweli. Usalama wafanye kazi yao kweli kwelikweli. Wenye mamlaka tunawakumbusha tu kuwa Hali ikiwa mbaya nchi hii na wao hawataishi kwa amani.

Tumeona wale tuliowaita mabeberu sasa wanafungasha vilago. Matishio ya ugaidi kwa mujibu qa IGP sasa yameibuka tena.

Haya ni madhara ya utawala usiozingatia sheria, katiba na haki za binadamu.

Asalaam Ale ykum
Acheni kumsingizia mwenda zake? Nchi mharibu wenyewe kukaribisha mafisadi mmeanza mbwatambwata
 
Back
Top Bottom