Madhara ya Utawala wa Awamu ya Tano yameanza kulitafuna taifa; Nani wa kulaumiwa?

Vile mwendakuzimu amemind na kuchukizwa na uzi wako huu kutokea huko kuzimu.
View attachment 1916114
Ukitaka kujua mtanzania hata mkiwa nje ya nchi..usipate shida..we angalia mwenendo wake..yaan yy analaumu watu kwa upuuzi wake...ndio kama hawa kina behavior..wao wanalaumu mtu ambae hayuko..yaan ww ukikosa hata ugali kwako utalaumu jirani shwain! Sasa c muendeshe hiyo nchi, c mmekabidhiwaaa nyiee mbona mnaanza kujamba jamba humu jf.
 
Kama ni sahihi kusifia ambae hayupo kuna ubaya gani kulaumu ambae hayupo?Yaani kutetea legacy ni sawa lakini kulaumu legacy siyo sawa?
 
Mninginio wa kipigo cha uchaguzi mkuu haujatoka, na naona kama wenzetu wamefika na wameharibikiwa kabsaaaaa. laaaaaaaa Magufuli baba lao poleni sana.
Ccm vichwa maji kweli yani unaiba kura unaharibu uchaguzi alafu unajiona shujaa ,magufuli baba lao. Vichwa vimejaa mavi
 
Magu alikuwa kichaa yule nani yule? alipoteza file lake wakati wa vetting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…