Zipo JeddahBandari zenu zipo Madinah?
Waislamu wanamuombea mabaya kila siku MBS eti anainajis ardhi takatifu. Na kanisa la kwanza tena la kilokole liko mbioni kujengwa Saudi Arabia. Kuna vizee vya kiislam Saudia vinamaindi kichiz hata huu mji wa kipekee wa Neom. MBS kawachinja sana kuwatuliza.Nimeipenda sana hii safari ya wasio Waislam wakielezea na wakionesha wepesi wa safari yao kutokea jiji la Jeddah kuelekea Madinah.
Mbs Ni nani?Waislamu wanamuombea mabaya kila siku MBS eti anainajis ardhi takatifu. Na kanisa la kwanza tena la kilokole liko mbioni kujengwa Saudi Arabia. Kuna vizee vya kiislam Saudia vinamaindi kichiz hata huu mji wa kipekee wa Neom. MBS kawachinja sana kuwatuliza.
Ila kwa Mecca na Medina wasingewaachia wasio Waislamu kutembelea. Lazima sheria na misingi ya wengine kuheshimuwa.
God bless MBS and Saudi Royal Family.
Mwana wa mfalme wa Saudi Arabia anayekula kiti moto nakunywa pombe.Mbs Ni nani?
Angaliwa Dubai wanavyopata maji kupitia bahari na ndege ya zinazopaa angani kutengeneza mawingu,na kupata maji safi na salama.Bandari zenu zipo Madinah?
Zifate. Ukienda pitia na Madinah. Unallocated bullet train hilo,linakwenda mpaka kilometers 300 kwa saa,kwa mujibu wa hao vijana "waliolikwaa".Zipo Jeddah
Hahaha. Umelishwa ujinga wa miaka mingi mpaka umeshiba ujinga.Magaidiiii
Mkuu!!!Mwana wa mfalme wa Saudi Arabia anayekula kiti moto nakunywa pombe.
He is a no nonsense powerful crown prince of Saudi Arabia.
Mohamed Bin Salman
View attachment 2681177
Kila zama na kitabu chake - Ali Hassan Mwinyi.Waislamu wanamuombea mabaya kila siku MBS eti anainajis ardhi takatifu. Na kanisa la kwanza tena la kilokole liko mbioni kujengwa Saudi Arabia. Kuna vizee vya kiislam Saudia vinamaindi kichiz hata huu mji wa kipekee wa Neom. MBS kawachinja sana kuwatuliza.
Ila kwa Mecca na Medina wasingewaachia wasio Waislamu kutembelea. Lazima sheria na misingi ya wengine kuheshimuwa.
God bless MBS and Saudi Royal Family.
Unataka kusema nini?dunia inapoelekea anajua mungu.kwa ufupi saud imebadilika sana.na hiz ndo zile dalili za kiama.
Huyu mwamba ni noma sanaMwana wa mfalme wa Saudi Arabia anayekula kiti moto nakunywa pombe.
He is a no nonsense powerful crown prince of Saudi Arabia.
Mohamed Bin Salman
View attachment 2681177
MBS umagharibi mwingi anapenda misifa.Waislamu wanamuombea mabaya kila siku MBS eti anainajis ardhi takatifu. Na kanisa la kwanza tena la kilokole liko mbioni kujengwa Saudi Arabia. Kuna vizee vya kiislam Saudia vinamaindi kichiz hata huu mji wa kipekee wa Neom. MBS kawachinja sana kuwatuliza.
Ila kwa Mecca na Medina wasingewaachia wasio Waislamu kutembelea. Lazima sheria na misingi ya wengine kuheshimuwa.
God bless MBS and Saudi Royal Family.