Mwana wa mfalme wa Saudi Arabia anayekula kiti moto nakunywa pombe.
He is a no nonsense powerful crown prince of Saudi Arabia.
Mohamed Bin Salman
Hupo uongo
Una ushahidi kuwa anakula kitimoto na pombe?Mwana wa mfalme wa Saudi Arabia anayekula kiti moto nakunywa pombe.
He is a no nonsense powerful crown prince of Saudi Arabia.
Mohamed Bin Salman
View attachment 2681177
Ulishawahi shuhudia ukarimu huo kwako au unaishia kwenye virtual tour?Zifate. Ukienda pitia na Madinah. Unallocated bullet train hilo,linakwenda mpaka kilometers 300 kwa saa,kwa mujibu wa hao vijana "waliolikwaa".
Tena siku hizi kuna dege la Saudia Airlines la moja kwa moja kutokea Dar na soon AirTanzania itaanza.
Nenda kafunguwe macho na ubongo (exposure). Usisubiri kuhadithiwa.
Kaone bandari ya Jeddah, eyapoti, usafiri wa train, mabasi taxi Q wazee wa madrassa vinavyofanya kazi jalafu ulinganishe na vya wasomi wetu wa UDSM.
Usisahaunkutuekezea na ukarimu wa watu wa Madinah.
Subhanna Allah, ukarimu wa watu wanaoishi Madinah kwa wageni ni uleule toka walimpompokea Mtume Muhammad alipoamrishwa aondoke Makkah alipozaliwa.
Wazungu wameshangazwa na ukarimu. Natumainumejionea mwenyewe jinsi hawasadiki waliyoyashuhudia na kuyakuyakuta, yamekuwa ni kinyume kabisa na proaganda za kijinga walizolishwa kwa miaka.
Uislam ni mwema sana.
Mimi nawashangaa hawa wasuo Eaislam wamekazana qazee wa madtrassa, kama vile kosa kuwa mzee wa Madrassa, wakawaone wazee wa madrassa wanavyofanya yao huko.Angaliwa Dubai wanavyopata maji kupitia bahari na ndege ya zinazopaa angani kutengeneza mawingu,na kupata maji safi na salama.
Atoe ushahidi.Hivi uongo huwa unawasaidia nini?
Dini yako ndiyo imekufundisha kusema uongo? Au ni shetani wewe?
Hiyo sura ya kula kiti moto na kulewa mipombe? Hana njaa hiyo kama wewe, wewe kinachokulisha nguruwe ni njaa tu, hakuna zaidi.
Huna haya wala hujuwi vibaya, mwana mtoka pabaya.
na ndipo kila mtu ataleta utamaduni wake.patakuwa uwanja wa fujo kama miji mingine,wataingia walevi,wezi,wazinifu n.kKila mtu ana haki ya fikra zake. Mimi naona kwa kufunguwa milango ya Madinah wamefanya vyema sana.
Safi sana ndio njia ya kusilimu kwaoNimeipenda sana hii safari ya wasio Waislam wakielezea na wakionesha wepesi wa safari yao kutokea jiji la Jeddah kuelekea Madinah.
Tena sasa kuna "virtual tour" ya Madinah, bofya chini uta dowload app, utajionea kama vile upo mubashar (live) Madinah.
huo mji walikuwa hawaingii watu ambao sio waislam kama wewe.ili msije mkaleta upuuzi wenu wa kimagharib.huo mji ndipo alipolala mtume muhammd na ahli zake watukufu.na waswahaba zake watukufu(r.a)Unataka kusema nini?
Umeongea as if una maji mdomoni em yameze rudi elezea umeona nini hadi yatokee au yanatokea haya.
Asaa mwenyezi Mungu atawapa hidaya kwa watayoyakuta huko na kuwachana na ushetani wote.na ndipo kila mtu ataleta utamaduni wake.patakuwa uwanja wa fujo kama miji mingine,wataingia walevi,wezi,wazinifu n.k
Waislamu wanamuombea mabaya kila siku MBS eti anainajis ardhi takatifu. Na kanisa la kwanza tena la kilokole liko mbioni kujengwa Saudi Arabia. Kuna vizee vya kiislam Saudia vinamaindi kichiz hata huu mji wa kipekee wa Neom. MBS kawachinja sana kuwatuliza.
Ila kwa Mecca na Medina wasingewaachia wasio Waislamu kutembelea. Lazima sheria na misingi ya wengine kuheshimuwa.
God bless MBS and Saudi Royal Family.
Kwa hiyo ni kusema ktk uislam akitokea mtu mwenye roho nzuri na uelewa mpana akataka atende jema kwa jamii isiyo islan huyo anakuwa anakosea?huo mji walikuwa hawaingii watu ambao sio waislam kama wewe.ili msije mkaleta upuuzi wenu wa kimagharib.huo mji ndipo alipolala mtume muhammd na ahli zake watukufu.na waswahaba zake watukufu(r.a)
Nimefurahia sana, sasa Mgalatia mimi kilichobaki tu ni kumpata mtoto mmoja mrembo wa kiarabuNimeipenda sana hii safari ya wasio Waislam wakielezea na wakionesha wepesi wa safari yao kutokea jiji la Jeddah kuelekea Madinah.
Tena sasa kuna "virtual tour" ya Madinah, bofya chini uta dowload app, utajionea kama vile upo mubashar (live) Madinah.